Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Safari hii maza hachomokiKufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.
Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.
Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.
- Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Alli Mohamed Kibao
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ngongo kwasasa Kikatiti.
Mwaka 2003 au na nne miaka hiyo nipo Tanga najitafuta alitokea mgambo mmoja anaitwa kitu kama Lameck hivi watakaokumbuka watanirekebisha yule bwana alikua anatumwa tumwa hivyo hivyo,Nasikia sikia watu wakisema serikali hairogeki wala hailaaniki.
Safari hii maza hachomokiKufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.
Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.
Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.
- Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Alli Mohamed Kibao
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ngongo kwasasa Kikatiti.
Wao ni wahusikaAlbadiri, chungu na Misa za kulaani wauaji kila mahali kuonyesha wananchi wanakerwa na suala hili. Je Viongozi nao wanakerwa na suala hili la mauaji na utekaji?
Safari hii maza hachomokiKufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.
Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.
Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.
- Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Alli Mohamed Kibao
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ngongo kwasasa Kikatiti.
Wao ni wahusikaAlbadiri, chungu na Misa za kulaani wauaji kila mahali kuonyesha wananchi wanakerwa na suala hili. Je Viongozi nao wanakerwa na suala hili la mauaji na utekaji?
Ngoja tuoneNasikia sikia watu wakisema serikali hairogeki wala hailaaniki.
Dua haina Kabila😳😳😳
Kwani alikua kabila gani??
Sio hairogeki hata uchawi wenyewe haupo duniani,Nasikia sikia watu wakisema serikali hairogeki wala hailaaniki.
Mtanganyika!😳😳😳
Kwani alikua kabila gani??
True.unajua ndugu shetani alivyo anakufanya ufanye dhambi akukosanishe na Mungu.alafu ukose ulinzi wa kukulinda akutandike vizuriEheheheh 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Sasa mtu kamwaga damu ataomba maombi gani ya kujinasua na hayo mapepo?
Lazima yamnyonge
Wa gamboshi piaWazee wa Sumbawanga nao wamalizie sehemu yao.....
Hivi unajua kuvunja chungu kwa mazingira kama hayo ni hatari?Kufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.
Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.
Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.
- Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Alli Mohamed Kibao
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ngongo kwasasa Kikatiti.
Serikali ni wananchi.Mwaka 2003 au na nne miaka hiyo nipo Tanga najitafuta alitokea mgambo mmoja anaitwa kitu kama Lameck hivi watakaokumbuka watanirekebisha yule bwana alikua anatumwa tumwa hivyo hivyo,
Kavunje vibanda vile ,kakamate machinga soko la mgandini, basi tabia yake akitumwa anafanya sifa na kufuru za kufa mtu akidai anafanya kazi ya serikali,
Kabla ya kifo chake akiwa na askari polisi waliongoza kusimamia bomoa bomoa sehemu moja inaitwa beach kwa bibi/magaoni kitu kama hiko,
Bwana yule alifanya kazi kuliko tinga akikuta kijumba teke ,anairukia kwa misifa ,raia mmoja sniper wa mtaani akachukua manati kwa mbaali kabisa akalenga jicho pale pale jamaa aliona giza jicho limepasuka,
Alipotoka hospitali ndio unyama ukamzidi siku hiyo alivamia genge la matunda na mama ntilie beba misosi na matunda ,
Yule mwenye matunda mgosi mmoja akamwambia wewe si serikali hurogeki ngoja naenda nyumbani majibu utayapata.
The rest is history jamaa alianza kuumwa ghafla ugonjwa hauonekani baada ya wiki mbili akaanza kuoza kitandani , kwa kifupi alikufa akiwa kashaoza wa kunuka kabisaaaa,
Wahalifu hao wanajipa moyo kwamba wao ni sehemu ya serikali lakini likija na kuja haliangalio serikali linaangalia mtu tu
Hebu tuliza kichwa we jamaa kuna serikali gani bila watu? Ushawahi kusikia serikali ya mbuzi? Basi nakupa darsa popote pale ukisikia neno serikali jua ni watuSerikali ni wananchi.
Mgambo ni mtu binafsi sio serikali.