Wazee wa Kimaasai na Meru kuvunja chungu kufuatia mauaji ya Ali Kibao

Wazee wa Kimaasai na Meru kuvunja chungu kufuatia mauaji ya Ali Kibao

Hebu tuliza kichwa we jamaa kuna serikali gani bila watu? Ushawahi kusikia serikali ya mbuzi? Basi nakupa darsa popote pale ukisikia neno serikali jua ni watu
Unakurupuka. Kasome tena comment yangu halafu unijibu
 
Kufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.

Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.

Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.

Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwasasa Kikatiti.
Tuombe Mungu hii kitu isiwafikie wazee wa kigoma ujiji, mpka majirani wa wauwaji wataipatapata
 
Nasikia sikia watu wakisema serikali hairogeki wala hailaaniki.
Kwani wanaroga au wanamlilia Mungu.

Serikali ikisema ua inabidi ujiongeze... Ww sio jokeri ndo mana Mungu akakupa utashi na akili
 
Mwaka 2003 au na nne miaka hiyo nipo Tanga najitafuta alitokea mgambo mmoja anaitwa kitu kama Lameck hivi watakaokumbuka watanirekebisha yule bwana alikua anatumwa tumwa hivyo hivyo,

Kavunje vibanda vile ,kakamate machinga soko la mgandini, basi tabia yake akitumwa anafanya sifa na kufuru za kufa mtu akidai anafanya kazi ya serikali,

Kabla ya kifo chake akiwa na askari polisi waliongoza kusimamia bomoa bomoa sehemu moja inaitwa beach kwa bibi/magaoni kitu kama hiko,

Bwana yule alifanya kazi kuliko tinga akikuta kijumba teke ,anairukia kwa misifa ,raia mmoja sniper wa mtaani akachukua manati kwa mbaali kabisa akalenga jicho pale pale jamaa aliona giza jicho limepasuka,

Alipotoka hospitali ndio unyama ukamzidi siku hiyo alivamia genge la matunda na mama ntilie beba misosi na matunda ,

Yule mwenye matunda mgosi mmoja akamwambia wewe si serikali hurogeki ngoja naenda nyumbani majibu utayapata.

The rest is history jamaa alianza kuumwa ghafla ugonjwa hauonekani baada ya wiki mbili akaanza kuoza kitandani , kwa kifupi alikufa akiwa kashaoza wa kunuka kabisaaaa,

Wahalifu hao wanajipa moyo kwamba wao ni sehemu ya serikali lakini likija na kuja haliangalio serikali linaangalia mtu tu
Daah aisee!!
Jamaa alizidi naye kuonea watu.
 
Back
Top Bottom