Insipectakomba
Member
- Aug 29, 2024
- 63
- 89
Wew hamuna alifanyiwa maajabu yule kiongozi hivi vitu vipo watu wanakutengeneza wew binafsi na siyo serikaliNajua alifia hotelini Morogoro, lkn wahuni wanasema ilikuwa coincidence tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew hamuna alifanyiwa maajabu yule kiongozi hivi vitu vipo watu wanakutengeneza wew binafsi na siyo serikaliNajua alifia hotelini Morogoro, lkn wahuni wanasema ilikuwa coincidence tu
Basi ndo utafahamu kupitia hili.Nasikia sikia watu wakisema serikali hairogeki wala hailaaniki.
Hata kwa Mzee wa Chato mlisema hivyo hivyo Kima nyie. Watu walishasema mapema Mzee wa Chato lazima atembee mkatanguliza dharau.Hao wazee watulie tu, waache fix, hakuna cha chungu wala nini
We jamaa umenikumbusha Jokeri la kwenye karata 😆😆🤣🤣🤣....Kwamba jamaa zetu wa Vyombo vya Dola ni kama Majokeri tu. Wanafanya kazi bila kushirikisha brain....Kwi kwi kwi kwiiii 🤣🤣.Kwani wanaroga au wanamlilia Mungu.
Serikali ikisema ua inabidi ujiongeze... Ww sio jokeri ndo mana Mungu akakupa utashi na akili
Hata kama na wao wameuawa. Chungu kitapiga familia zao.Inadaiwa mtu akitumwa na serikali kwenda kuuwa, naye nyuma yake huwa anatumiwa watu wamuue. Waliomuua mzee Kibao wo walishazikwa hata kabla ya mzee Kibao.
Chungu kilimaliza ukoo wa akina Zendelile....Kufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.
Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.
Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.
- Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Alli Mohamed Kibao
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ngongo kwasasa Kikatiti.
We Mwakijambo naona unakaza fuvu kweli.Kwamba huo usanii mjini haufiki, au lazima uwe porini tu?
Nazungumzia jambo linalotekelezeka ww unaniambia habari za Zito! Kwahiyo vitisho vya Zito ndio ushahidi wa hizo imani za kubumba?We Mwakijambo naona unakaza fuvu kweli.
Zitto Kabwe tu hapo alishaambie mjaribu kumgusa kama hajawapeleka nyie na familia zenu kuzimu fasta. Na unakufa kwa mateso makali sana. Si wewe ni mtu wa mfumi? Mfate Zitto huyo hapo ukatest mitambo.
Sasa ili ujue linatekelezeka au halitekelezeki si lazima ukajaribu? Yaani kama una mashaka sumu inaweza kuua au la si ujaribu kwa kuilamba? Sasa nenda kamteke na kumtesa Zitto Kabwe yuko pale anakusubiri halafu ulete majibu.Nazungumzia jambo linalotekelezeka ww unaniambia habari za Zito! Kwahiyo vitisho vya Zito ndio ushahidi wa hizo imani za kubumba?
Wewe Mwakijambo sijui Mwaushuzi mtafute aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Magu, Mr.Elias Malugu aliyewaletea dharau Wasukuma wa pale, atakwambia kama hayo mambo yapo au hayapo. Wala hayuko mbali, yuko pale kwao Bunda. Wamuulize eti Wasukuma walikufanyia nini?We Mwakijambo naona unakaza fuvu kweli.
Zitto Kabwe tu hapo alishaambie mjaribu kumgusa kama hajawapeleka nyie na familia zenu kuzimu fasta. Na unakufa kwa mateso makali sana. Si wewe ni mtu wa mfumi? Mfate Zitto huyo hapo ukatest mitambo.
Nangungu Lindi ndo kiboko yao.Wazee wa Sumbawanga nao wamalizie sehemu yao.....
Amka ww, yaani ili mimi nijue dawa fulani inafanya kazi ni lazima niijaribu, siwezi kuona matokeo kwa wengine? Achana na imani za kishirikina boss.Sasa ili ujue linatekelezeka au halitekelezeki si lazima ukajaribu? Yaani kama una mashaka sumu inaweza kuua au la si ujaribu kwa kuilamba? Sasa nenda kamteke na kumtesa Zitto Kabwe yuko pale anakusubiri halafu ulete majibu.
Mauchawi uchawiKufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.
Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.
Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.
- Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Alli Mohamed Kibao
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ngongo kwasasa Kikatiti.
Huku Halbadir kule wazee wa Hekima wa kimasai soon kiongozi mkuu ataanza kubabuka kama Mrema na ile Halbadir ya Muembe Yanga.Kufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi familia zao.
Uamuzi wa kuvunja CHUNGU umefikiwa baada ya kujiridhisha jeshi la Polisi limekuwa halitendi haki.
Soma Pia:
Naomba kuwasilisha.
- Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Alli Mohamed Kibao
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ngongo kwasasa Kikatiti.
Kuloga ni processWamasai nao na matunguli Wapo vizuri sasa mboni wamemshindwa yule Bibi anaewatimua?
Sasa mjini hao wamasai wanaowachanganyia miti ya migunga na molases mnaambiwa dawa ni wamasai?Kwamba huo usanii mjini haufiki, au lazima uwe porini tu?
Hii ndiyo ya kichaga sasa! hadi watu wanaambiwa wawe na watoto nje ya ukoo wapone chungu kikilia!Kuna watu wanaitwa "wakamba" aisee ni hatar chungu kikivunjwa bas kuanzia kesho yake kabla jua halijatus linaondoka na mtu ,kesho yake Tena kabla ya jua kutua linatua na mtu,kesho kutwa yake jua linatua na mtu,yaan mpaka ukoo unaisha ,na kama Kuna mtot ulizaa njee au yupo ndan ya ukoo naye kwisha.
Mlogeni yule Bibi sasaKuloga ni process
Kama ilivyo maombi