wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Jungu halijawahi acha mtu salama.
Jirani jungu lilipigwa mpaka sasa famikia nzima wamefariki kabaki ndugu mmoja imebidi wamhamishe nyumbani pale baada ya yeye nae kuonza kuchanganyikiwa.
Mpaka sasa anatoka mbezi hadi huguruni kwa mguu na kurudi kila siku.
Inasemekana walishirikiana kudhulumu shamba la bana yao mdoho ndio akavunja jungu kwa wote walioshirikoana
Jirani jungu lilipigwa mpaka sasa famikia nzima wamefariki kabaki ndugu mmoja imebidi wamhamishe nyumbani pale baada ya yeye nae kuonza kuchanganyikiwa.
Mpaka sasa anatoka mbezi hadi huguruni kwa mguu na kurudi kila siku.
Inasemekana walishirikiana kudhulumu shamba la bana yao mdoho ndio akavunja jungu kwa wote walioshirikoana