Hapana mahali nilipobisha mkuu, labda u-point it out.Hio calculator ameset mkuu wewe elewa hivyo
Usibishane na kalkuleta itakuumbua ooho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mahali nilipobisha mkuu, labda u-point it out.Hio calculator ameset mkuu wewe elewa hivyo
Usibishane na kalkuleta itakuumbua ooho
Unafunguaje mabano bila kufanya multiplication na ipo?sisi wazee wa pure mathematics tumesema jibu ni 9 watu wa hkl tena div 0 wanakuja na majibu yao ya kiwaki tungeleta hesabu za kuassigns numbers to functions in a way that describes displacement, area, volume, and other concepts that arise by combining infinitesimal data ingekuwaje ?..Yan wanatutangazia indirectly kwamba yalitaga hesabu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Umewezaje fungua hayo mabano bila kuzidisha? Unless hapakuwa na namba ya kuzidishia kushoto kwa mabano[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hii hesabu ni ya shule ya msingi darasa la saba B!
Nikimkumbuka mwalimu wangu kwa sheria ya MAGAZIJUTO jibu sahihi ni 9
Yani ni hivi:
6÷2(2+1)=
6÷2x(2+1)=
6÷2x3=
(6÷2)x3=
3x3=9
Ni ajabu sana kuona watu mnajifnaya mmefika hadi chuo kikuu alafu tunawashinda sisi tulioishia darasa la saba na kimalizia na QT.
Hapa mkuu aangalia hapoTusisahau hata smartphones zina version ya standard and scientific calculator
Sijaona hiyo point of contention mkuu, nilichojaribu kusema ni kwamba, watu wanaona smartphones/PC kama vifaa vinavyofanya standard operations tu, na kusahau kwamba vinaweza kufanya operations kama kama scientific calculators sema kwenye modality tofauti.Hapa mkuu aangalia hapo
Okay humu hauwezi kufanya setting ila hio scientific calculator unaiset tu inakuletea majibu tofauti kabisa kutokana na ulivyoisetSijaona hiyo point of contention mkuu, nilichojaribu kusema ni kwamba, watu wanaona smartphones/PC kama vifaa vinavyofanya standard operations tu, na kusahau kwamba vinaweza kufanya operations kama kama scientific calculators sema kwenye modality tofauti.
Kimsingi nakubaliana na wewe kwamba jibu linaweza tokana na setting na inputs za mtumiaji 100%, and it is logically correct from a mathematical point of view.Okay humu hauwezi kufanya setting ila hio scientific calculator unaiset tu inakuletea majibu tofauti kabisa kutokana na ulivyoiset
Kama umesha jumlisha (1+2)=3 hupaswi tena kuandika hivi 6÷2(3) kwa maana ulipo jumlisha (1+2) hapo ni sawa uliondoa hizo brackets. Kwahyo ilipaswa baada ya kujumlisha iwe hivi 6÷2×3What you guys don't know is that this is ambiguous mathematics questions which can have multiple answer according to your interpretations. This means 1 and 9 can be both right answers, I will explain. .
If you calculate by smartphone calculator 6÷2(2+1)
Then due to basic programming it give result from left to right as
6÷2(3)= 9
3(3)=9
9 is a correct answer to this by applying the above formula. Those who got 9 got it right through explanation.
On other hand, scientific calculator calculate 6÷2(2+1) -
=6÷2(3)
=6÷6
=1
But 1 is correct answer by standard mathematics as this formula should be interpreted as “6 / (2 * (2 + 1))”, so the result is 1.
Hesabu huwa inatoa majibu mazuri kupitia mifano, got this somewhere:
I buy a snack for $2 and a drink $1, and I do this twice a week. How many weeks can I do this with $6?
$6 / 2($2+$1) = 1 (week)
mkuuu jibu ni 9....scientific calculator yangu....Unafunguaje mabano bila kufanya multiplication na ipo?
Jibu ni moja mkuu. Rejea factorization za form two
hawajui hesabu hao achana naoKama umesha jumlisha (1+2)=3 hupaswi tena kuandika hivi 6÷2(3) kwa maana ulipo jumlisha (1+2) hapo ni sawa uliondoa hizo brackets. Kwahyo ilipaswa baada ya kujumlisha iwe hivi 6÷2×3
Mathematics formula
yan me ndio nna hasira yan huwez kutoa mabanoMkuu sorry lakini nasikia hasira sana unaposhindwa hesabu ndogo kama hiyo, so kufungua mabano wewe unaelewa nini kama namba ilo nje ya mabano?
Sasa wewe unajua nini zaidi ya ujinga tu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetisha mkuu, ulisoma shule gani ili mwanangu asije tia maguu huko
Wewe nenda kaendelee kupambana na maiti ya Magufuli ndio unachowezaWewe utakuwa umesoma china, mwanangu sitaki asome hiyo sehemu uliyosoma hesabu za namba hii
Wewe kaendelee kusifia tozo tu huna unachojuaMkuu toka lini fisiemu wakawa na majibu sahih?
Mim siyo Sukuma gang kama wewWewe nenda kaendelee kupambana na maiti ya Magufuli ndio unachoweza
Acha kulia lia, tuliza mzukaSasa wewe unajua nini zaidi ya ujinga tu?
Ulichokiandika unakielewa? Naona unazungumza kitu kimoja unajizungusha, sasa 2(3) na 2x 3 tofauti yake nini? mathematics formula ila uelewa ndo shida. .Kama umesha jumlisha (1+2)=3 hupaswi tena kuandika hivi 6÷2(3) kwa maana ulipo jumlisha (1+2) hapo ni sawa uliondoa hizo brackets. Kwahyo ilipaswa baada ya kujumlisha iwe hivi 6÷2×3
Mathematics formula