Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Wewe naye umewavuruga tu watu hapa. Wambie warejee hesabu za factorization za form two, wataelewa kuwa mbili ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani, imekuwa factorized au tunaweza ita ni common factor


Hicho unachisema ni kweli lakini ni katika specific cases tu zinazo involve operations za × na ÷. huwezi kuwa na mathematical expression yenye operations zote (+, -, ×,÷) halafu hiyo sheria ika apply na BODMAS Isi apply, kumbuka hapo katika 6÷2(2+1) BODMAS ina apply.
 
Hesabu bado ni janga la taifa unaandika ujinga halafu bado unajisifia hadharani
Mkuu,
Amini nakuambia kama na wewe umemaliza hadi chuo na bado unasema jibu ni 1, basi ulikula hela za ada za bure toka kwa mzee wako
 
Hisabati ni lugha ya namba na Maumbo na watu hawajui tofauti kati ya lugha hii 6÷2(2+1) na lugha hii 6÷[2(2+1)] kwamba ni lugha tofauti za Hisabati.

6÷2(2+1)=9 na 6÷[2(2+1)]=1
 
Mkuu achana kubishana na hawa vipanga wa HKL


Hawa wanahitaji kufundishwa ili wasituaibishe wanapokutana na watu wa mataifa mengine kwani hii itakuwa ni aibu kwa taifa lote mtu tena aliyemaliza Chuo kikuu kushindwa hesabu kama hii;
6÷2(2+1), !!!!😏
 
Hicho unachosema ni special case inayo involve operations za zidisha na gawanya lakini hiyo case hai apply kwenye expressions zenye mchanyiko wa operations (mfano operatiins za kujumlisha na kutoa).

Unachosema ni hiki, mfano;

2(2+1)=(2×2)+(2×1) ambapo hiyo ni sawa na 2×3=6, kwa maana hakuna tofauti kati ya 2×2+2×1 na 2×3, wewe umefungua brackets kwa kuzidishia hiyo 2 na mimi nimekokotoa ndani ya brackets kwanza halafu nikazidisha kwa 2, unapata jibu lile lile moja tu.

Tofauti ni pale operations za jumlisha na toa zinapokuwa involved hapo ni lazima u deal na kile kilichomo ndani ya mabano kwanza na sio kuzidishia hiyo factor.
Katafute vitabu vya kidato cha pili. Mimi hapa pia ni mathematician sio kwamba ni layman kwenye hesabu.
 
Katafute vitabu vya kidato cha pili. Mimi hapa pia ni mathematician sio kwamba ni layman kwenye hesabu.


Najua wewe ni mathematician, lakini kumbuka kuna tofauti kati ya 6÷[2(2+1)] na 6÷2(2+1), kwakuwa kuna mixed operations katika hizo math expressions kitu kinacho govern hapo ni sheria ya BODMAS.

Usiniangushe mwanahisabati mwenzangu.🤣🤣
 
Nimefanya kwa Mac PC inasema 9, Windows inasema 9, Linux inasema 9
 
Mamaae wote huko juu mmetupoteza sana mbona hatuoni jibu vizuri

Mnavunjaje 2(3), ili kuondoa bracket?

Naona utata uko hapo.
Ukiona 2(3)

Maana yake ni 2x3

Sasa kwa kuwa nyuma ya 2(3) kuna tendo la 6÷

hivyo inakuwa 6÷2x3 =

Sasa kwa sheria ya MAGAZIJUTO lazima ufanye kwanza tendo la kugawanya ambayo ni 6÷2 kisha jibu utakalo pata uje uzudishe na 3

Yani hivi (6÷2)x3

Ambapo itakuwa 3x3 = 9
 
Hebu na sisi tujaribu:

6÷2(2+1)= 6÷2×3, kulingana na sheria ya BODMAS, yaani MAGAZIJUTO lazima uanze na 6÷2 na ndipo jibu lake uzidishe kwa 3; yaani (6÷2)×3=3×3=9.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetisha mkuu, ulisoma shule gani ili mwanangu asije tia maguu huko
 
Hebu na sisi tujaribu:

6÷2(2+1)= 6÷2×3, kulingana na sheria ya BODMAS, yaani MAGAZIJUTO lazima uanze na 6÷2 na ndipo jibu lake uzidishe kwa 3; yaani (6÷2)×3=3×3=9.
Wewe utakuwa umesoma china, mwanangu sitaki asome hiyo sehemu uliyosoma hesabu za namba hii
 
Hivi kwa akili zako za kawaida 6 ikigawanya hizo namba jibu linakuja 9...hesabu hazina ujanja hapo jibu ni moja hakuna cha kwa bodmas jibu 9
Unajua maana ya kufungua mabano? Hiyo 2 ni sehemu ya mabano ndiyo maana hakuna operator yoyote kati ya hiyo 2 na mbano.
 
What you guys don't know is that this is ambiguous mathematics questions which can have multiple answer according to your interpretations. This means 1 and 9 can be both right answers, I will explain. .

If you calculate by smartphone calculator 6÷2(2+1)
Then due to basic programming it give result from left to right as
6÷2(3)= 9
3(3)=9
9 is a correct answer to this by applying the above formula. Those who got 9 got it right through explanation.

On other hand, scientific calculator calculate 6÷2(2+1) -
=6÷2(3)
=6÷6
=1
But 1 is correct answer by standard mathematics as this formula should be interpreted as “6 / (2 * (2 + 1))”, so the result is 1.

Hesabu huwa inatoa majibu mazuri kupitia mifano, got this somewhere:

I buy a snack for $2 and a drink $1, and I do this twice a week. How many weeks can I do this with $6?
$6 / 2($2+$1) = 1 (week)
Kidogo wewe umetoa ufafanuzi sahihi kidogo na wa kueleweka. What started? Magazijuto ilitohoa neno la ki sayansi. Kifupi malizana na mabano kwanza
 
Nafunga Mjadala kama hamjaelewa hapa tena basi:
Baada ya kufungua mabano inafuata zidisha, namaanisha 2(3) = 2x3 hapo tuko wote? Siku zote ukifungua mabano kinachofuata ni ZIDISHA.
Sasa umekariri MAGAZIJUTO kuwa formula yake siku zote ukitoka mabano unafata gawanya kitu ambacho calculator ya simu imefanya. Ila sasa kwa hesabu au hisabati sio lazima uende gawanya formula inaweza kuwa MAZIGAJUTO narudia MAZIGAJUTO na sio MAGAZIJUTO kwa sababu MULTIPLICATION and DIVIDE are interchangeable. .
Kwa formula ya MAZIGAJUTO jibu ni 1, na ni sahihi kabisa kwa standard mathematics na ndio jibu mama.
Pia kwa formula ya MAGAZIJUTO jibu ni 9, na ni sahihi kabisa haujakosea, uko sahihi. .

Go back to my explanation above post 27 nimefafanua. .
Mkuu lakini unajua maana ya hizi blackest [ ], it's like you're trying to find the absolute value which will always be positive value
 
Back
Top Bottom