Maana ya mabano ni ufanye kwanza kilichomo ndani ya mabano na sio ufungue mabano, kuna tofauti kati ya kufungua mabano na kufanya kilichomo ndani ya mabano ingawa katika math expression fulani majibu yanaweza kuwa sawa lakini sio kwa expression zote hususan zile zinazojumuisha operations za jumlisha na toa.
Mfano katika expression hii 2(3+4), ukifanya kilichomo ndani ya mabano unapata; 2×7=14, na ukifungua mabano kwa njia ya (association??) itakuwa 2(3+4) inakuwa 2×3+2×4, hii ni sawa na [(2×3)+(2×4)]=14, hivyo kwa case hiyo utaona ukifanya kilichomo ndani ya mabano au ukafungua mabano unapata majibu sawa.
Hivyo "Ma" katika Magazijuto inataka uanze kufanya, kukokotoa au kurahisisha kwanza kile kilichomo ndani ya Mabano kwa expressions zinazo involve operations za kujumlisha na kutoa na sio "kufungua mabano".
Umetumia neno baya sana kuita watu "fedhuli", tukikuripoti unakula ban.