Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hii hesabu ni ya shule ya msingi darasa la saba B!

Nikimkumbuka mwalimu wangu kwa sheria ya MAGAZIJUTO jibu sahihi ni 9

Yani ni hivi:

6÷2(2+1)=

6÷2x(2+1)=

6÷2x3=

(6÷2)x3=

3x3=9

Ni ajabu sana kuona watu mnajifnaya mmefika hadi chuo kikuu alafu tunawashinda sisi tulioishia darasa la saba na kimalizia na QT.
Hesabu bado ni janga la taifa unaandika ujinga halafu bado unajisifia hadharani
 
Scientific calculator ipo sahihi. Jibu ni 1


Scientific calculator inategemea jinsi ulivyo feed namba zako, yenyewe haina Akili kama wewe yenyewe ni kitendea kazi kama vitendea kazi vingine na vinatii jinsi unavyotaka vitende. Scientific calculator sio mtu.
 
Scientific calculator inategemea jinsi ulivyo feed namba zako, yenyewe haina Akili kama wewe yenyewe ni kitendea kazi kama vitendea kazi vingine na vinatii jinsi unavyotaka vitende. Scientific calculator sio mtu.
Sawa. Mimi sijasemea hayo, nimesemea hiyo expression kwa muktadha wa picha kama alivyoweka na usahihi wa jibu.
 
Maana ya mabano ni ufanye kwanza kilichomo ndani ya mabano na sio ufungue mabano, kuna tofauti kati ya kufungua mabano na kufanya kilichomo ndani ya mabano ingawa katika math expression fulani majibu yanaweza kuwa sawa lakini sio kwa expression zote hususan zile zinazojumuisha operations za jumlisha na toa.

Mfano katika expression hii 2(3+4), ukifanya kilichomo ndani ya mabano unapata; 2×7=14, na ukifungua mabano kwa njia ya (association??) itakuwa 2(3+4) inakuwa 2×3+2×4, hii ni sawa na [(2×3)+(2×4)]=14, hivyo kwa case hiyo utaona ukifanya kilichomo ndani ya mabano au ukafungua mabano unapata majibu sawa.

Hivyo "Ma" katika Magazijuto inataka uanze kufanya, kukokotoa au kurahisisha kwanza kile kilichomo ndani ya Mabano kwa expressions zinazo involve operations za kujumlisha na kutoa na sio "kufungua mabano".

Umetumia neno baya sana kuita watu "fedhuli", tukikuripoti unakula ban.

Umeandika ujinga,
 
Maana ya mabano ni ufanye kwanza kilichomo ndani ya mabano na sio ufungue mabano, kuna tofauti kati ya kufungua mabano na kufanya kilichomo ndani ya mabano ingawa katika math expression fulani majibu yanaweza kuwa sawa lakini sio kwa expression zote hususan zile zinazojumuisha operations za jumlisha na toa.

Mfano katika expression hii 2(3+4), ukifanya kilichomo ndani ya mabano unapata; 2×7=14, na ukifungua mabano kwa njia ya (association??) itakuwa 2(3+4) inakuwa 2×3+2×4, hii ni sawa na [(2×3)+(2×4)]=14, hivyo kwa case hiyo utaona ukifanya kilichomo ndani ya mabano au ukafungua mabano unapata majibu sawa.

Hivyo "Ma" katika Magazijuto inataka uanze kufanya, kukokotoa au kurahisisha kwanza kile kilichomo ndani ya Mabano kwa expressions zinazo involve operations za kujumlisha na kutoa na sio "kufungua mabano".

Umetumia neno baya sana kuita watu "fedhuli", tukikuripoti unakula ban.
Naelezo mengi pumba tupu.
Jibu sahihi ni 1.
 
Acha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract

So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
We Jamaa muongo hujui hesabu, jibu sahihi ni tisa kama ndo walimu nyie basi ndo Mana wanafunzi wanabwela
 
Acha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract

So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
We Jamaa bhana unaandika kwa confidence, kumbe hamna kitu uongo mtupu hapo juu
 
Fafanua ili tuone!!, maneno kidogo na akili kiduchu.

Kama jibu ni 1 na kwa hii expression jibu litakuwa ngapi?? 6÷[2(2+1)]
Hii milinganyo miwili ni vitu tofauti ;

6÷2*3=9

6÷2(3)=1

Kama kweli ulisoma hesabu na ukafaulu utakuwa umenielewa.
 
Kimeumana aisee uzi umetembea kishenzi.

Mwenye jibu sahihi hajulikani
 
Screenshot_20220904-093028.png
 
Hapa Tumia law of logarithms ,tu kazi kwisha


Najua wewe wajua, mimi nataka huyo ndiye afanye ili angalau nijue level yake ya Math ipoje baada ya hapo ndipo ninaweza kufanya naye mjadala.

Kwa mtu anayejua au rather aliyekuwa familiar na Maths hilo ni swali jepesi.
 
Back
Top Bottom