Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sasa kwa mfano hii hesabu ya 6÷2x3 jibu lake ni lipi?Ulichokiandika unakielewa? Naona unazungumza kitu kimoja unajizungusha, sasa 2(3) na 2x 3 tofauti yake nini? mathematics formula ila uelewa ndo shida. .
I am too tired to argue, ila ingependeza tukafungua uzi watu wengi waliochangia hapa tukakutana ku discuss hesabu. Nimegundua kuna watu wengi tunapenda hesabu ila hatogombani tunaelekezana tu. .