Mkuu,Taabu kwelikweli,
Hivi mtu akiandika 2a sio sawa na 2×a ??!!, kama ni sawa sasa utapingaje kwamba 2(2+1) sio sawa na 2×(2+1) ??!!, kumbuka katika Magazijuto "Ma" inakutaka ukokotoe kwanza kilichomo ndani ya mabano na sio kuingiza kitu ndani ya mabano kutoka nje kwani ndani ya mabano kuna Operator (+sign) inayojitosheleza kufanya operation ya + within the brackets.
Hivyo:-
6÷2(2+1)=6÷2×(2+1)=6÷2×3=(6÷2)×2=9. Hapa ni sheria ya Magazijuto ndiyo inayofanya kazi.
Yani huyu jamaa kumuelewesha unaweza ukajikuta mpaka mwenyewe unachanganyikiwaWe jamaa hujui hesabu hafu mbishi kama shipa.
Taabu kwelikweli,
Hivi mtu akiandika 2a sio sawa na 2×a ??!!, kama ni sawa sasa utapingaje kwamba 2(2+1) sio sawa na 2×(2+1) ??!!, kumbuka katika Magazijuto "Ma" inakutaka ukokotoe kwanza kilichomo ndani ya mabano na sio kuingiza kitu ndani ya mabano kutoka nje kwani ndani ya mabano kuna Operator (+sign) inayojitosheleza kufanya operation ya + within the brackets.
Hivyo:-
6÷2(2+1)=6÷2×(2+1)=6÷2×3=(6÷2)×2=9. Hapa ni sheria ya Magazijuto ndiyo inayofanya kazi.
Unatakiwa ujue kutengeneza mathematical expression kutokana na swali husikahiki 6÷2(2+1) na hiki ni vitu viwili tofauti 6÷2×(2+1) kwamba onaona hiyo isiyo na alama ya zidisha huyo mtu alipata uvivu wwa kuiandika sio.
Ukiona hivi 2(2+1) ni sawa na uambiwe kuna makundi mawili ya watu lakini katika hayo makundi mawili kuna wanaume wawili na mwanamke mmoja kila kundi, kwaiyo badala ya mtu kuandika hivi ((2+1)+(2+1)) akarahisisha kwa kuandika 2(2+1).
Kwa kupitia mfano huu ni sawa uulizwe una machungwa 6 alafu unatakiwa uwagawie hao watu walioko kwenye hayo makundi mawili je kila mmoja atapata machungwa mangapi bila kujali kama ni mwanamke au ni mwanaume?
Utakachotakiwa kufanya ni kujua kwanza idadi ya watu kwaiyo utajiuliza kama kuna makundi mawili ya watu ambapo kila kundi lina wanaume 2 na mwanamke 1 je jumla wote watakua wangapi? Utapata ni sita baada ya hapo utachukua idadi ya machungwa uliyonayo utagawanya kwa hao watu sita ambapo kila mmoja atapata chungwa moja.
jibu litakuja 9 endapo utachukua hayo machungwa ugawanye kwa idadi ya makundi ambapo ni 2 upate 3 alafu uje uzidishe na idadi ya watu waliopo kila kundi ambapo ni 3 kila kundi utapata 9 kitu ambacho ni impossible kwa akili za kawaida.
Kifupi tu ukiona hivi 2(2+1) ujue hiyo 2 ya nje inawakilisha kwamba kuna makundi mawili ya hivyo vitu vya ndani, kwamba kuna makundi mawili ya (2+1), kwaiyo huwezi ukafanya ulivyofanya wewe, utajiona upo sahihi kutokana na akili zako ila kiuhalisia ni kosa kubwa sana ilipaswa ujue kwanza jumla ya idadi ya vitu vilivyomo kwenye makundi yote mawili kwanza kisha uendelee na tendo lingine.
Nawasilisha kwako, kama hujaelewa hapa tena basi unahitaji maombi.
Kama nje ya bracket hakuna tendo basi hakuna haja ya kweka mabano mengineUnatakiwa ujue kutengeneza mathematical expression kutokana na swali husika
Kwa mfano wako wa machungwa ni hii 6÷(2(2+1))
Unahisi mwenzio anahitaji maombi but inshort wewe hapo ndio unahitaji maombi.hiki 6÷2(2+1) na hiki ni vitu viwili tofauti 6÷2×(2+1) kwamba onaona hiyo isiyo na alama ya zidisha huyo mtu alipata uvivu wwa kuiandika sio.
Ukiona hivi 2(2+1) ni sawa na uambiwe kuna makundi mawili ya watu lakini katika hayo makundi mawili kuna wanaume wawili na mwanamke mmoja kila kundi, kwaiyo badala ya mtu kuandika hivi ((2+1)+(2+1)) akarahisisha kwa kuandika 2(2+1).
Kwa kupitia mfano huu ni sawa uulizwe una machungwa 6 alafu unatakiwa uwagawie hao watu walioko kwenye hayo makundi mawili je kila mmoja atapata machungwa mangapi bila kujali kama ni mwanamke au ni mwanaume?
Utakachotakiwa kufanya ni kujua kwanza idadi ya watu kwaiyo utajiuliza kama kuna makundi mawili ya watu ambapo kila kundi lina wanaume 2 na mwanamke 1 je jumla wote watakua wangapi? Utapata ni sita baada ya hapo utachukua idadi ya machungwa uliyonayo utagawanya kwa hao watu sita ambapo kila mmoja atapata chungwa moja.
jibu litakuja 9 endapo utachukua hayo machungwa ugawanye kwa idadi ya makundi ambapo ni 2 upate 3 alafu uje uzidishe na idadi ya watu waliopo kila kundi ambapo ni 3 kila kundi utapata 9 kitu ambacho ni impossible kwa akili za kawaida.
Kifupi tu ukiona hivi 2(2+1) ujue hiyo 2 ya nje inawakilisha kwamba kuna makundi mawili ya hivyo vitu vya ndani, kwamba kuna makundi mawili ya (2+1), kwaiyo huwezi ukafanya ulivyofanya wewe, utajiona upo sahihi kutokana na akili zako ila kiuhalisia ni kosa kubwa sana ilipaswa ujue kwanza jumla ya idadi ya vitu vilivyomo kwenye makundi yote mawili kwanza kisha uendelee na tendo lingine.
Nawasilisha kwako, kama hujaelewa hapa tena basi unahitaji maombi.
😂😂😂nitabaki kusimamia kwamba 2(2+1) sio sawa na 2×(2+1) kwenye hii ya pili hiyo alama ya zidisha imeshatenganisha hiyo mbili
Huu ndo ujuaji zaidi kuliko wa mwenzako, O=open brackets 🤔Acha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract
So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
hiki 6÷2(2+1) na hiki ni vitu viwili tofauti 6÷2×(2+1) kwamba onaona hiyo isiyo na alama ya zidisha huyo mtu alipata uvivu wwa kuiandika sio.
Ukiona hivi 2(2+1) ni sawa na uambiwe kuna makundi mawili ya watu lakini katika hayo makundi mawili kuna wanaume wawili na mwanamke mmoja kila kundi, kwaiyo badala ya mtu kuandika hivi ((2+1)+(2+1)) akarahisisha kwa kuandika 2(2+1).
Kwa kupitia mfano huu ni sawa uulizwe una machungwa 6 alafu unatakiwa uwagawie hao watu walioko kwenye hayo makundi mawili je kila mmoja atapata machungwa mangapi bila kujali kama ni mwanamke au ni mwanaume?
Utakachotakiwa kufanya ni kujua kwanza idadi ya watu kwaiyo utajiuliza kama kuna makundi mawili ya watu ambapo kila kundi lina wanaume 2 na mwanamke 1 je jumla wote watakua wangapi? Utapata ni sita baada ya hapo utachukua idadi ya machungwa uliyonayo utagawanya kwa hao watu sita ambapo kila mmoja atapata chungwa moja.
jibu litakuja 9 endapo utachukua hayo machungwa ugawanye kwa idadi ya makundi ambapo ni 2 upate 3 alafu uje uzidishe na idadi ya watu waliopo kila kundi ambapo ni 3 kila kundi utapata 9 kitu ambacho ni impossible kwa akili za kawaida.
Kifupi tu ukiona hivi 2(2+1) ujue hiyo 2 ya nje inawakilisha kwamba kuna makundi mawili ya hivyo vitu vya ndani, kwamba kuna makundi mawili ya (2+1), kwaiyo huwezi ukafanya ulivyofanya wewe, utajiona upo sahihi kutokana na akili zako ila kiuhalisia ni kosa kubwa sana ilipaswa ujue kwanza jumla ya idadi ya vitu vilivyomo kwenye makundi yote mawili kwanza kisha uendelee na tendo lingine.
Nawasilisha kwako, kama hujaelewa hapa tena basi unahitaji maombi.
Hii 2(2+1) ni sawa na kusema (2+1)+(2+1) imerahisishwa tu😂😂😂
Au sio... Dah em peleka hizo expression katika sentensi. I mean zitoe katika numerical expression uziweke katika words expression. 2 (2+1) na 2 × (2+1).
Ama ziandike in expansin form hizo expression zote 2. Ya kwanza na ya pili kisha utuoneshe utofauti wake. Unaijua hesabu kweli wewe?
Na pili kama haziko sawa kwanini umezidisha? Mkichwa uko sawa kweli mwamba?
Kwa ufupi tu ukikutana na kitu cha namna hii x(ax+y) hiki ni kitu kimoja huwezi ukakitenganisha kamwe ukitenganisha jibu litakuja tofauti kama imejumuishwa na hesabu nyingine. Na hakuna haja ya kuweka mabano mengine kama hivi (x(ax+y)) ikisimama hivyo ilivyo inajieleza kabisaWewe ndiye unayehitaji maombi.
Unayo machungwa sita na unataka uyawagawie makundi mawili ya idadi ya watu waliomo waliomo ndani ya mabano je kila mtu atapata machungwa mangapi??
1---- Machungwa 6,
2----Idadi ya makundi 2.
3---Idadi ya Watu katika kila kundi ( 2+1)=3.
4--- Jumla ya watu 6.
5---kila mtu atapata machungwa mangapi??, idadi ya machungwa÷ idadi ya watu = kila mmoja atapata chungwa moja.
Mathematical representation ya jambo hilo ni hii hapa:-
6÷[2(2+1)]=1. na sio 6÷2(2+1).
Nje ya bracket hakuna tendo?Kama nje ya bracket hakuna tendo basi hakuna haja ya kweka mabano mengine
Ukishawekewa hivi 2(2+1) jua hicho ni kitu kimoja, wakati wa kufungua mabano lazima hiyo mbili ya nje iingie ndani ya hayo mabano ndio ufungue mabano, huwezi ukafungua mabano bila kuihusisha hiyo mbili ya nje.
Tuishie hapo tu naona una matatizo yako special, sasa kama expansion form ya kidato cha pili sijui cha kwanza zimekupiga knock out chochote nitakachokueleza kimekuzidi umri.Hii 2(2+1) ni sawa na kusema (2+1)+(2+1) imerahisishwa tu
Lakini 2×(2+1) inabaki kama ilivyo, Japo vyote vitaleta jibu sawa
ndo maana hesabu zikaandikwa kwa namba na sio maneno, wewe kaa na jibu lako na mimi nikae na langu, Na ndo maana scientific calculator original (ambayo siyo fake) itakuletea jibu 1 kwakua ile imeundwa kwaajili ya calculation kwaiyo inakwepa makosa yote ya kimahesabu. ila calculator ya simu ile ni ziada tu inaweza ikaleta majibu tofauti kwakua sio kazi ya simu kufanya calculation.Tuishie hapo tu naona una matatizo yako special, sasa kama expansion form ya kidato cha pili sijui cha kwanza zimekupiga knock out chochpte nitakachokueleza kimekuzidi umri.
2(2÷1) expansio form yake ni (2×2) + (2×1) wala sio utumbo ulio andika hapo juu. Vile vile hii 2×(2+1) ipo kwenye factor form kama 2(2+1) na inaweza kua expanded kama nyenzie (2×2) + (2×1). Kitendo cha kuniambia haibadiliki napata mashaka na uwezo wako wa hesabu 😂😂😂.
Acheni ujuaji kama kitu hamjui kaeni chini mskilize mjifunze. Kama mtu hata kujua expression uliyopewa ni factorized au expanded form unajinasibu vipi na hesabu mmmh?
Kingine hata swali langu hukujibu, badili hizo numerical expression to words expression, umeuchuna kwa aibu kwasababu hujui chochote hapo.
Ofcourse jibu la Calculator linafata Rule ya a÷2(b) kua ni sawa na a/(2b). Wala haikukiuka BODMAS rule. Isipokuwa kwenye hicho kiji'expressionSimu ipo sahihi zaidi (Jibu la calculator ni ya miaka ya 1917 so ni Wrong)
(3) inamaanisha thamani 2×3, ambayo ni 6. Kisha mlinganyo ni 6÷2×3. Kulingana na BODMAS ya kisasa, kuzidisha hakuji kabla ya mgawanyiko; Sheria inasema tuanzia kushoto kwenda kulia
6÷2 ni 3, na 3×3 ni 9. Kwa hivyo, jibu ni 9.
(According to modern interpretation of BODMAS)
Bodmas stands for B-Brackets, O-Orders (powers/indices or roots), D-Division, M-Multiplication, A-Addition, S-Subtraction
Uko mweupe sana kwenye mathematics, kila kauli unayo itoa inaonenya ni jinsi gani kwenye huu ukurasa haujui au umekariri kupindukia.ndo maana hesabu zikaandikwa kwa namba na sio maneno, wewe kaa na jibu lako na mimi nikae na langu, Na ndo maana scientific calculator original (ambayo siyo fake) itakuletea jibu 1 kwakua ile imeundwa kwaajili ya calculation kwaiyo inakwepa makosa yote ya kimahesabu. ila calculator ya simu ile ni ziada tu inaweza ikaleta majibu tofauti kwakua sio kazi ya simu kufanya calculation.
Kwa ninavyokuona hatuwezi kufikia huu maelewano kwenye huu mjadala ni sawa na 6 mkiwa wawili pande tofauti kuna atakayeona ni tisa na mweingine ni sita. kwaiyo huenda wote tupo sahihi kutokana na upande tuliokaa.
Yes nikisea unakariri sijakosea. Number ni symbol of communication kama zilivyo herufi. Wakati wengine wana 1 hadi 9 warumi nao wanazo za muundo wao na waarabu vivyo hivyo.ndo maana hesabu zikaandikwa kwa namba na sio maneno,
Again tena hii inaonesha hata neno Calculator hulijui maana ake.Na ndo maana scientific calculator original (ambayo siyo fake) itakuletea jibu 1 kwakua ile imeundwa kwaajili ya calculation kwaiyo inakwepa makosa yote ya kimahesabu
Sentensi kama hizi ndio zinaonesha hata kile unacho kizungumza hukijui. Tuacheni ubishi badala yake tukae chini tujifunze tuelewe.calculator ya simu ile ni ziada tu inaweza ikaleta majibu tofauti kwakua sio kazi ya simu kufanya calculation.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndiye unayehitaji maombi.
Unayo machungwa sita na unataka uyawagawie makundi mawili ya idadi ya watu waliomo waliomo ndani ya mabano je kila mtu atapata machungwa mangapi??
1---- Machungwa 6,
2----Idadi ya makundi 2.
3---Idadi ya Watu katika kila kundi ( 2+1)=3.
4--- Jumla ya watu 6.
5---kila mtu atapata machungwa mangapi??, idadi ya machungwa÷ idadi ya watu = kila mmoja atapata chungwa moja.
Mathematical representation ya jambo hilo ni hii hapa:-
6÷[2(2+1)]=1. na sio 6÷2(2+1).