Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
Hesabu bado ni janga la taifa unaandika ujinga halafu bado unajisifia hadharani[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hii hesabu ni ya shule ya msingi darasa la saba B!
Nikimkumbuka mwalimu wangu kwa sheria ya MAGAZIJUTO jibu sahihi ni 9
Yani ni hivi:
6÷2(2+1)=
6÷2x(2+1)=
6÷2x3=
(6÷2)x3=
3x3=9
Ni ajabu sana kuona watu mnajifnaya mmefika hadi chuo kikuu alafu tunawashinda sisi tulioishia darasa la saba na kimalizia na QT.
Scientific calculator ipo sahihi. Jibu ni 1
Sawa. Mimi sijasemea hayo, nimesemea hiyo expression kwa muktadha wa picha kama alivyoweka na usahihi wa jibu.Scientific calculator inategemea jinsi ulivyo feed namba zako, yenyewe haina Akili kama wewe yenyewe ni kitendea kazi kama vitendea kazi vingine na vinatii jinsi unavyotaka vitende. Scientific calculator sio mtu.
Maana ya mabano ni ufanye kwanza kilichomo ndani ya mabano na sio ufungue mabano, kuna tofauti kati ya kufungua mabano na kufanya kilichomo ndani ya mabano ingawa katika math expression fulani majibu yanaweza kuwa sawa lakini sio kwa expression zote hususan zile zinazojumuisha operations za jumlisha na toa.
Mfano katika expression hii 2(3+4), ukifanya kilichomo ndani ya mabano unapata; 2×7=14, na ukifungua mabano kwa njia ya (association??) itakuwa 2(3+4) inakuwa 2×3+2×4, hii ni sawa na [(2×3)+(2×4)]=14, hivyo kwa case hiyo utaona ukifanya kilichomo ndani ya mabano au ukafungua mabano unapata majibu sawa.
Hivyo "Ma" katika Magazijuto inataka uanze kufanya, kukokotoa au kurahisisha kwanza kile kilichomo ndani ya Mabano kwa expressions zinazo involve operations za kujumlisha na kutoa na sio "kufungua mabano".
Umetumia neno baya sana kuita watu "fedhuli", tukikuripoti unakula ban.
Umeandika ujinga,
Log(19x²+4)-2logx-2=0. solve for x
Naelezo mengi pumba tupu.Maana ya mabano ni ufanye kwanza kilichomo ndani ya mabano na sio ufungue mabano, kuna tofauti kati ya kufungua mabano na kufanya kilichomo ndani ya mabano ingawa katika math expression fulani majibu yanaweza kuwa sawa lakini sio kwa expression zote hususan zile zinazojumuisha operations za jumlisha na toa.
Mfano katika expression hii 2(3+4), ukifanya kilichomo ndani ya mabano unapata; 2×7=14, na ukifungua mabano kwa njia ya (association??) itakuwa 2(3+4) inakuwa 2×3+2×4, hii ni sawa na [(2×3)+(2×4)]=14, hivyo kwa case hiyo utaona ukifanya kilichomo ndani ya mabano au ukafungua mabano unapata majibu sawa.
Hivyo "Ma" katika Magazijuto inataka uanze kufanya, kukokotoa au kurahisisha kwanza kile kilichomo ndani ya Mabano kwa expressions zinazo involve operations za kujumlisha na kutoa na sio "kufungua mabano".
Umetumia neno baya sana kuita watu "fedhuli", tukikuripoti unakula ban.
Naelezo mengi pumba tupu.
Jibu sahihi ni 1.
Jibu sahihi ni 9Ulisoma hesabu za wapi?
Unaanza mabano.
Ukishafungua mabano jibu sahihi ni moja.
Calculate za Tecno zimemuiga baba yao mchina
We Jamaa muongo hujui hesabu, jibu sahihi ni tisa kama ndo walimu nyie basi ndo Mana wanafunzi wanabwelaAcha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract
So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
Kuna fake scientific calculatorAcha kufananisha scientific calculator na vitu vya ajabu
We Jamaa bhana unaandika kwa confidence, kumbe hamna kitu uongo mtupu hapo juuAcha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract
So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
Hapa Tumia law of logarithms ,tu kazi kwishaKama hizo za watoto ni mtihani kwa watu vipi za chuo kikuu??!!, haya mambo yanaanza sasa.
Log(19x²+4)-2logx-2=0. solve for x
Hii milinganyo miwili ni vitu tofauti ;Fafanua ili tuone!!, maneno kidogo na akili kiduchu.
Kama jibu ni 1 na kwa hii expression jibu litakuwa ngapi?? 6÷[2(2+1)]
Kwanza ninataka kujua level yako ya maths ili tuendelee na mjadala wenye tija.
Fanya hili swali:-
Jibu sahihi ni 9
Hapa Tumia law of logarithms ,tu kazi kwisha