Wewe naye umewavuruga tu watu hapa. Wambie warejee hesabu za factorization za form two, wataelewa kuwa mbili ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani, imekuwa factorized au tunaweza ita ni common factor
Mkuu,Hesabu bado ni janga la taifa unaandika ujinga halafu bado unajisifia hadharani
Mkuu achana kubishana na hawa vipanga wa HKLFafanua ili tuone!!, maneno kidogo na akili kiduchu.
Kama jibu ni 1 na kwa hii expression jibu litakuwa ngapi?? 6÷[2(2+1)]
Mkuu achana kubishana na hawa vipanga wa HKL
Katafute vitabu vya kidato cha pili. Mimi hapa pia ni mathematician sio kwamba ni layman kwenye hesabu.Hicho unachosema ni special case inayo involve operations za zidisha na gawanya lakini hiyo case hai apply kwenye expressions zenye mchanyiko wa operations (mfano operatiins za kujumlisha na kutoa).
Unachosema ni hiki, mfano;
2(2+1)=(2×2)+(2×1) ambapo hiyo ni sawa na 2×3=6, kwa maana hakuna tofauti kati ya 2×2+2×1 na 2×3, wewe umefungua brackets kwa kuzidishia hiyo 2 na mimi nimekokotoa ndani ya brackets kwanza halafu nikazidisha kwa 2, unapata jibu lile lile moja tu.
Tofauti ni pale operations za jumlisha na toa zinapokuwa involved hapo ni lazima u deal na kile kilichomo ndani ya mabano kwanza na sio kuzidishia hiyo factor.
Katafute vitabu vya kidato cha pili. Mimi hapa pia ni mathematician sio kwamba ni layman kwenye hesabu.
Kufungua mabano maana yake ni kufanyia kazi kilicho ndani ya mabano siyo kuzidisha na kilicho nje ya mabano. Jibu ni 9.6/2(3)=1 Sijui mnafeli wapi Mabano lazima yafunguliwe ndio tugawanye
Ukiona 2(3)Mamaae wote huko juu mmetupoteza sana mbona hatuoni jibu vizuri
Mnavunjaje 2(3), ili kuondoa bracket?
Naona utata uko hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu na sisi tujaribu:
6÷2(2+1)= 6÷2×3, kulingana na sheria ya BODMAS, yaani MAGAZIJUTO lazima uanze na 6÷2 na ndipo jibu lake uzidishe kwa 3; yaani (6÷2)×3=3×3=9.
Wewe utakuwa umesoma china, mwanangu sitaki asome hiyo sehemu uliyosoma hesabu za namba hiiHebu na sisi tujaribu:
6÷2(2+1)= 6÷2×3, kulingana na sheria ya BODMAS, yaani MAGAZIJUTO lazima uanze na 6÷2 na ndipo jibu lake uzidishe kwa 3; yaani (6÷2)×3=3×3=9.
Unajifanya unajua huku hujuiHivi kwa akili zako za kawaida 6 ikigawanya hizo namba jibu linakuja 9...hesabu hazina ujanja hapo jibu ni moja hakuna cha kwa bodmas jibu 9
Unajua maana ya kufungua mabano? Hiyo 2 ni sehemu ya mabano ndiyo maana hakuna operator yoyote kati ya hiyo 2 na mbano.Hivi kwa akili zako za kawaida 6 ikigawanya hizo namba jibu linakuja 9...hesabu hazina ujanja hapo jibu ni moja hakuna cha kwa bodmas jibu 9
Kidogo wewe umetoa ufafanuzi sahihi kidogo na wa kueleweka. What started? Magazijuto ilitohoa neno la ki sayansi. Kifupi malizana na mabano kwanzaWhat you guys don't know is that this is ambiguous mathematics questions which can have multiple answer according to your interpretations. This means 1 and 9 can be both right answers, I will explain. .
If you calculate by smartphone calculator 6÷2(2+1)
Then due to basic programming it give result from left to right as
6÷2(3)= 9
3(3)=9
9 is a correct answer to this by applying the above formula. Those who got 9 got it right through explanation.
On other hand, scientific calculator calculate 6÷2(2+1) -
=6÷2(3)
=6÷6
=1
But 1 is correct answer by standard mathematics as this formula should be interpreted as “6 / (2 * (2 + 1))”, so the result is 1.
Hesabu huwa inatoa majibu mazuri kupitia mifano, got this somewhere:
I buy a snack for $2 and a drink $1, and I do this twice a week. How many weeks can I do this with $6?
$6 / 2($2+$1) = 1 (week)
Mkuu lakini unajua maana ya hizi blackest [ ], it's like you're trying to find the absolute value which will always be positive valueNafunga Mjadala kama hamjaelewa hapa tena basi:
Baada ya kufungua mabano inafuata zidisha, namaanisha 2(3) = 2x3 hapo tuko wote? Siku zote ukifungua mabano kinachofuata ni ZIDISHA.
Sasa umekariri MAGAZIJUTO kuwa formula yake siku zote ukitoka mabano unafata gawanya kitu ambacho calculator ya simu imefanya. Ila sasa kwa hesabu au hisabati sio lazima uende gawanya formula inaweza kuwa MAZIGAJUTO narudia MAZIGAJUTO na sio MAGAZIJUTO kwa sababu MULTIPLICATION and DIVIDE are interchangeable. .
Kwa formula ya MAZIGAJUTO jibu ni 1, na ni sahihi kabisa kwa standard mathematics na ndio jibu mama.
Pia kwa formula ya MAGAZIJUTO jibu ni 9, na ni sahihi kabisa haujakosea, uko sahihi. .
Go back to my explanation above post 27 nimefafanua. .
Mkuu wewe una akili sahihi, sijapenda jamaa aliye replace () na [ ].Jibu ni 9
[emoji116]View attachment 2339197
JamiiForums tunajifanya ni home of great thinkers lakini mtu anajibu kuwa jibu ni 9 wtf6/2(3)=1 Sijui mnafeli wapi Mabano lazima yafunguliwe ndio tugawanye