MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wekeni hesabu za chuo kikuu, hizo ni za watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekeni hesabu za chuo kikuu, hizo ni za watoto
Scientific Calculator:
6÷2(2+1)
6 ÷ [(2×2)+(2×1)]
6÷ [ 4 + 2]
6÷ 6
=1
Phone calculator
6 ÷ 2 (2+1)
6 ÷ 2(3)
3(3)
= 9
Calculator haijatumia kanuni ya magazijuto ila simu imetumia kanuni ya magazijuto ndio maana majibu yamekuja tofauti.
But both zipo right.
Kwa maoni yangu Smartphone calculator ndio ipo sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ko imetoka wapi wewe hebu tumia lugha fasahaMagazijuto
6÷2(2+1)
Ma
2+1=3
Ga
6÷2(3)
Zi
2x3 ndo ameondoka mabano
Ju
Hakuna
To
Hakuna
Ko 6÷6=1
(C) All aboveChoose the most correct answer in Exam per question asked
(a)1
(b) 9
(c) None of the above
Baada ya kulitazama hili nalo mkuu, clearly kwenye scientific calculator umeweka input tofauti na iliyopo kwenye simu. Mwenye macho ataelewa.
Kwa hayo machache naomba nikusihi, uhamie Burundi.
Scientific calculator iko sahihiKuna scientific calculator na Calculator ya simu.
Zote zimepewa hesabu inayofanana lakini majibu yako tofauti!
View attachment 2337657
sisi tulosoma pure advance tumepata jibu ya kweli nayenyee ni 9 kama nimekosa mje mchukue cheti changu mkipige kiberiti...
We hujui hesabu mzee babaUnaanza kufanyia kwenye mabano kwanza, maana hiyo ni conditional.
Baadaye ndo Magazijuto.
Jibu sahihi ni 9
[emoji23][emoji23]hesabu ni janga la kitaifa, huwezi ukagawanya namba jibu likawa kubwa kuliko namba inayogawanywa!
Jibu ni 1 hiyo calc ya simu haina uwezo wa kufanya hiyo hesabu
Braza nini hiki unatuletea [emoji23][emoji23] acha kukompliketisha mambo mkuu hesabu siyo ngumu kiasi hicho [emoji23]Kwa bodmas jibu ni 9
Ilichofanya scientific calculator 2(2+1) imekifanya ni mabano yote.. So imefungua kwanza ndio maana jibu limekuja 1
Mfano ukichukua
6÷2(x+y)
Step inayofata itakuwa ni
6/(2x+2y)
X ikiwa 2 na y 1
Jibu ndio linakuwa ni 1
Sasa mkuu mbona umerudi tena kwenye magazijuto[emoji23][emoji23]Hapa hatupimani nani anajua zaidi bali ni suala la kuelimishana tu kwani hakuna anayejua kika kitu isipokuwa Mungu tu.
Haya hebu tuanze darasa:-
6÷2(2+1), hii ni sawa na kuandika, 6÷2×(2+1), kwa sheria ya MAGAZIJUTO (forget about BODMAS), lazima tuanze na expression iliyomo ndani ya mabano "MA" yaani (2+1) ambapo unapata 3, hivyo expression nzima inakuwa hivi; 6÷2×3; katika expression hiyo kuna matendo mawili; tendo la kugawanya na kuzidisha, kwa sherai ya MAGAZIJUTO ni LAZIMA uanze na kugawanya ndipo umalizie na kuzidisha kwani MA= Mabano, GA=Gawanya, ZI=Zidisha, JU=Jumlisha, TO=Toa, kwahiyo 6÷2×3 ni sawa na (6÷2)×3,
Yaani, 6÷2×3=(6÷2)×3= 3×3=9.
Kama unayohoja hapo karibu tujadiliane kwani kujadilana ni moja ya njia ya kujifunza, ni kitu ambacho wenzetu Wazungu hufanya na hivyo kujiongezea elimu, tofauti kwa sisi Waafrika ni mashindano ya nani anajua zaidi hatimaye siku zote tupo nyuma ya Wazungu.
Mzee we umefanyaje hesabu zako? Dah aisee wajuaji waliharibu sana hisabati [emoji23][emoji23]Hivi kwa akili zako za kawaida 6 ikigawanya hizo namba jibu linakuja 9...hesabu hazina ujanja hapo jibu ni moja hakuna cha kwa bodmas jibu 9