Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Scientific Calculator:

6÷2(2+1)

6 ÷ [(2×2)+(2×1)]
6÷ [ 4 + 2]
6÷ 6
=1


Phone calculator

6 ÷ 2 (2+1)
6 ÷ 2(3)
3(3)
= 9

Calculator haijatumia kanuni ya magazijuto ila simu imetumia kanuni ya magazijuto ndio maana majibu yamekuja tofauti.

But both zipo right.

Kwa maoni yangu Smartphone calculator ndio ipo sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Scientific Calculator:

6÷2(2+1)

6 ÷ [(2×2)+(2×1)]
6÷ [ 4 + 2]
6÷ 6
=1


Phone calculator

6 ÷ 2 (2+1)
6 ÷ 2(3)
3(3)
= 9

Calculator haijatumia kanuni ya magazijuto ila simu imetumia kanuni ya magazijuto ndio maana majibu yamekuja tofauti.

But both zipo right.

Kwa maoni yangu Smartphone calculator ndio ipo sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kanuni (mnemonic) ya magazijuto ni utaratibu waliouweka wanamahesabu ni international recognised hivyo katika swali hilo usipofuata hiyo kanuni huwezi pata jibu sahihi linalokubalika universally. Hivyo jibu sahihi ni 9 na sio 1.
 
Kweli vilaza ni wengi Sana. Hesabu rahisi hivyo halafu kuna mtu. anakuambia jibu ni 1. Jibu ni 9 nyinyi vilaza.
 
Baada ya kulitazama hili nalo mkuu, clearly kwenye scientific calculator umeweka input tofauti na iliyopo kwenye simu. Mwenye macho ataelewa.

Kwa hayo machache naomba nikusihi, uhamie Burundi.

Hahaha! Mkuu umefanya nicheke sana, hasa huo umaliziaji wako.
 
hesabu ni janga la kitaifa, huwezi ukagawanya namba jibu likawa kubwa kuliko namba inayogawanywa!
Jibu ni 1 hiyo calc ya simu haina uwezo wa kufanya hiyo hesabu
[emoji23][emoji23]
 
Kwa bodmas jibu ni 9

Ilichofanya scientific calculator 2(2+1) imekifanya ni mabano yote.. So imefungua kwanza ndio maana jibu limekuja 1

Mfano ukichukua
6÷2(x+y)

Step inayofata itakuwa ni
6/(2x+2y)

X ikiwa 2 na y 1
Jibu ndio linakuwa ni 1
Braza nini hiki unatuletea [emoji23][emoji23] acha kukompliketisha mambo mkuu hesabu siyo ngumu kiasi hicho [emoji23]
 
Kwahiyo jibu ni ngapi ? Smartphone yangu inasema 9 pia.
 
Hapa hatupimani nani anajua zaidi bali ni suala la kuelimishana tu kwani hakuna anayejua kika kitu isipokuwa Mungu tu.

Haya hebu tuanze darasa:-

6÷2(2+1), hii ni sawa na kuandika, 6÷2×(2+1), kwa sheria ya MAGAZIJUTO (forget about BODMAS), lazima tuanze na expression iliyomo ndani ya mabano "MA" yaani (2+1) ambapo unapata 3, hivyo expression nzima inakuwa hivi; 6÷2×3; katika expression hiyo kuna matendo mawili; tendo la kugawanya na kuzidisha, kwa sherai ya MAGAZIJUTO ni LAZIMA uanze na kugawanya ndipo umalizie na kuzidisha kwani MA= Mabano, GA=Gawanya, ZI=Zidisha, JU=Jumlisha, TO=Toa, kwahiyo 6÷2×3 ni sawa na (6÷2)×3,

Yaani, 6÷2×3=(6÷2)×3= 3×3=9.

Kama unayohoja hapo karibu tujadiliane kwani kujadilana ni moja ya njia ya kujifunza, ni kitu ambacho wenzetu Wazungu hufanya na hivyo kujiongezea elimu, tofauti kwa sisi Waafrika ni mashindano ya nani anajua zaidi hatimaye siku zote tupo nyuma ya Wazungu.
Sasa mkuu mbona umerudi tena kwenye magazijuto[emoji23][emoji23]
 
Hivi kwa akili zako za kawaida 6 ikigawanya hizo namba jibu linakuja 9...hesabu hazina ujanja hapo jibu ni moja hakuna cha kwa bodmas jibu 9
Mzee we umefanyaje hesabu zako? Dah aisee wajuaji waliharibu sana hisabati [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom