Mkongwee
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 759
- 1,656
Hahahahahaha mie huwa najiuliza saaaaaana kwann TBC idhaa ya taifa wasirudishe hivi vipindi, halafu idhaa nyingine ndo waendelee na vurugu zao za kisasaa??Jumapili
Wakati umewadia wa salamu kwa wagonjwa hosipitalini wote tunawapa pole x2 halafu linasikika gitaa la solo (ndi ndindindi ndindi ndindindi ndindi)
Acheni kabisa tufanye kampeni ya kurudidha RTD wakuu