Hahahahahaha mie huwa najiuliza saaaaaana kwann TBC idhaa ya taifa wasirudishe hivi vipindi, halafu idhaa nyingine ndo waendelee na vurugu zao za kisasaa??Jumapili
Wakati umewadia wa salamu kwa wagonjwa hosipitalini wote tunawapa pole x2 halafu linasikika gitaa la solo (ndi ndindindi ndindi ndindindi ndindi)
Acheni kabisa tufanye kampeni ya kurudidha RTD wakuu
Na The Mongolian Savage, njoo tulime ndizi huku achana na kubeba boksi supermarketUmfikie na ausikilize Pascal Mayalla mezani kwake
Inanikumbusha redio mkulima.
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfmsMimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr
Saaa 9 au 10 jioni. Asubuhi uliimbwa mwimbo kumekucha sasa kumekucha majogoo vijijini yanawika.Mkuu kweli huu wimbo ulikuwa unapigwa asubuhi? Mi nakumbuka ukipigwa jioni Idhaa ya Taifa. Kwangu mimi ndio ilikuwa mida ya kwenda ya kucheza mpira kwenye Uwanja wa Baba Anakataza!
Naafikiana na wewe kabisaHahahahahaha mie huwa najiuliza saaaaaana kwann TBC idhaa ya taifa wasirudishe hivi vipindi, halafu idhaa nyingine ndo waendelee na vurugu zao za kisasaa??
Jumapili
Wakati umewadia wa salamu kwa wagonjwa hosipitalini wote tunawapa pole x2 halafu linasikika gitaa la solo (ndi ndindindi ndindi ndindindi ndindi)
Acheni kabisa tufanye kampeni ya kurudidha RTD wakuu
"... Wafanyakazi amkeni, mfanye kazi sasaaa...!Saaa 9 au 10 jioni. Asubuhi uliimbwa mwimbo kumekucha sasa kumekucha majogoo vijijini yanawika.
Duh Mkuu umenirudisha kihisia miaka ya 80s nimetamani kutokwa machozi ila bad luck yalishakauka yote
Kweli wazee tunakumbuka mbali, ila siyo wazee wa miaka 90 aisee hatujafika huko, ndo tunajiandaa kustaafu kwa hiyari.
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfmsMimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr
Kwani uzee unaanzia miaka mingapi mkuu?Kweli wazee tunakumbuka mbali, ila siyo wazee wa miaka 90 aisee hatujafika huko, ndo tunajiandaa kustaafu kwa hiyari.
Umri ni ule serikali inasema ustaafu kwa hiyari ndo uzee unaanzia, ukigoma kuna kustaafishwa kwa lazima ukalee wajukuu. Ilà wassira sijui ni mzee au ngozi tuu mbàya.Kwani uzee unaanzia miaka mingapi mkuu?
Poa poa mkuu ngoja niwashtue bro maghayo na stress challengerr. Lakini nyie watu wa pwani legelege sana mnawaza kulima kweli kama moshi?😅🤣Na The Mongolian Savage, njoo tulime ndizi huku achana na kubeba boksi supermarket
Mzee shikamoo
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfmsMimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr
Mkuu unanikumbusha mlimani city nikifika out na madem zangu kula burgers, KFC na pizza.Mzee shikamoo
Mkuu unanikumbusha mlimani city nikitoka out na madem zangu kula burgers, KFC na pizza.
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfmsMimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr
WaaapiiiNyimbo nzuri zenye ujumbe mzuri; hao ndio wenye vipaji