Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Kusema kweli huu wimbo ni mzuri. Ni nani aliuimba? Na hiyo ni lugha gani? Nauonaga sana Facebook watu wakiposti viongozi wa zamani Africa.Nyimbo adimu kuzipata. Kuna moja walikuwa wanaipiga radio deutche welle hii nayo inanikumbushaga mbali sana. Bila shaka unaukumbuka na huu
View: https://www.youtube.com/watch?v=pO_CzxbhSNw
Bonge la songiFranklin Boukaka nadhani alikuwa raia wa Congo na bila shaka ni kilingala
asante JF, kidogo machozi yanidondoke. Hisia zimenipeleka miaka hiyo. Nimewakumbuka nilio kuwa nao na sasa hawapo duniani. my sister Caroline😭
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfmsMimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr
la kizalendo haswaaaaa!Bonge la songi
old is more than goldunanikumbusha mbali sana enzi niko mdogo ulikuwa unapigwa mida ya asubuhi,, pia kulikuwa na jumamosi cha watoto kiliitwa cheichei shangazi dah,, kingine cha mambo elimu kilikuwa saa nne asubuhi kina bahati na mawazo ,,alafu saa 9 alasiri kulikuwa na kipindi kiliitwa zindukaaa cha kina jama.. saa kumi kulikuwa na kipindi cha harakati,, duh alafu alfajiri kulikuwa na maneno hayooo
Duuh Mkuu umenikumbusha mbali sana!Nimetoka kuyaangalia Shamba darasa YouTube nimekutana na huu wimbo, Hongera Mkuu na pole kwa kufiwa na baba.Hata Mimi pia alifariki.
View: https://www.youtube.com/watch?v=_PCe60hMfmsMimi unanikumbusha redio ya cassette ya panasonic mida ya menu mchana RTD nikiwa na mama na marehemu babangu.
Kweli muda unakimbia sana.
Mshana Jr
Sisi vikongwe wa miaka ya 80 tunakomenti wapi?
Hahaha...mi nilijua club rahaleo showwwwNa kuna kipindi kinaitwa kabla ya KABLA YA LEO SHOW
Ajuaye Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salaamaa leo tunawapa polee...Hahahahahaha daaaaaaah yaani hizo nyimbo nazitafuta saaana, nashkuru leo nimeupata huu wa shambani, bado wa kile kipindi cha kutembelea wagonjwa hospital, nadhani ilikua jumamosi wanaimba WAKATI UMEWADIA WA SALAMU ZA WAGONJWA HOSPITALIIINI LEO TUNAWAPA POLEE
Pia hiyo ya Hongera mwanagu, Jamboo
Naona gitaa lake limeandikwa Co-Cabs.
Hahaha...mi nilijua club rahaleo showw
Kwenye ile 277 ya babu ulikuwa unalia vizuri sana huo mwimbo."... Wafanyakazi amkeni, mfanye kazi sasaaa...!
"Tusonge mbeleee...!"
Ahahahahaha! Old is gold!Kwenye ile 277 ya babu ulikuwa unalia vizuri sana huo mwimbo.
Maisha hayarudi nyuma aiseeeAhahahahaha! Old is gold!
Umeonae! Maisha ya zamani mimi huyaita "those old good days"!Maisha hayarudi nyuma aiseee