Wazee wa miaka ya 90, huu wimbo wa Shambani kutoka - RTD unakukumbusha wapi?

Turushie kwenye santuri zako tusikie!
 
Hivi Mchezo wa redio ulikuwaga kila jumamosi na jumapili mchana bado upo? Yalikuwa ni maigizo

Chei chei Shangazi si bado ipo RTD?
 
Hiki ni kipindi cha ugua pole, Jumapili saa 3:00-4:00 kinafuatiwa na Zilipendwa cha Khalid Ponera. Saa 8:30 David Wakati anaingia na Nipe Habari.
P
Hahahahahaha daaaaaaah brother unavyovitaja hivyo vipindi na watangazaji wake, husuan huyo Khalid Ponera daaaaaaah aiseeee, yaaani picha ya mazingira ya zama zile yooote inanijiaaa aiseee
 
Mzee una madini adimu mnooo, Mola akupe maisha marefu, simulizi zako zinasisimua saaana yaani kama unaliona tukio Zima, kumbe unasimuliwa tuu
Hongera saaana
 
Mida fulani hivi ya mchana unasikia kibwagizo cha pokea salaam!! Enzi hizo redio ilikuwa ni moja tu inayosikilizwa! RTD!
Hahahahahaha hapo kwenye POKEA SALAAM
Watuma Salam maarufu wa enzi hizo uwanja wao wa kujidai
Kina Wajadi Fundi Wajadi (binadam mashaka), Damas Lusinde Nyingo na wengineo weeeeeengi
Aiseeee
 
Ila wewe ni muongo, yaani ulikuwa Tanzania au nchi za watu huko mbali sana!? Huu wimbo kipindi chake kilikuwa jioni.
 
Mkuu kweli huu wimbo ulikuwa unapigwa asubuhi? Mi nakumbuka ukipigwa jioni Idhaa ya Taifa. Kwangu mimi ndio ilikuwa mida ya kwenda ya kucheza mpira kwenye Uwanja wa Baba Anakataza!
Atakuwa amelewa huyu😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…