Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Ahahahahahhaha alafu wewe kama sio mzee wa hovyo basi hapo badae utakuja kuwa mzee wa ajabu sana aiseeee...

Alafu ndo mambo yako haya Shimba ya Buyenze
Hapana kijana wangu. Miaka 78 sasa nilishamalizana na hizo hekaheka kitambo sana. Mi nimenyooka kama rula aisee 😁😁😁

Screenshot_20240622_152644_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom