Ngetyo
JF-Expert Member
- May 22, 2024
- 268
- 403
Usichokijua wewe usifikiri hakipo, ukiweza fika nikuoneshe sura na makazi yao.Mmmmh mkuu kwa wakiume kula wamama hapana ni uwongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichokijua wewe usifikiri hakipo, ukiweza fika nikuoneshe sura na makazi yao.Mmmmh mkuu kwa wakiume kula wamama hapana ni uwongo
Mtu anakula mama yake mzazi mkuu.Usichokijua wewe usifikiri hakipo, ukiweza fika nikuoneshe sura na makazi yao.
Siyo mama yake tu! Anakula mama yake na anakula dada yake { Mama na Baba mmoja}Mtu anakula mama yake mzazi mkuu.
Are you serious
Khaaa mkuu hii mbona ni laana sasa..hii ni topic nyingine itabidi unipe kisa kamili aiseee khaaaaSiyo mama yake tu! Anakula mama yake na anakula dada yake { Mama na Baba mmoja}
Waache wale vinono hahaha 🤣Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali.
Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu Mwanamke/Mwanaume anampenda mwanaume/Mwanamke anayemuona na sio kumpenda Mwanamke/Mwanaume anayemsikia sababu asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo na kuona ni kuamini.
Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.
Kuna umri ukifika jiheshimu.
View attachment 3009782
Ahahaha mkuu na wewe ni miongoni mwa wazee wa hovyo nini.Waache wale vinono hahaha 🤣
Watoto wenyewe wanajiachia tuu hata kama hukua na Nia ya kuchimba mgodi wanahamasisha sana, vijana wanaendesha baisikeliAhahaha mkuu na wewe ni miongoni mwa wazee wa hovyo nini.
Mbona kama unasapoti
Daaah mkuu piga vita kula vitoto..Watoto wenyewe wanajiachia tuu hata kama hukua na Nia ya kuchimba mgodi wanahamasisha sana
Nijukumu letu sote kujenga maadili kwenye Jamii zetu, changamoto inakuja pale anae onya hana kipatoDaaah mkuu piga vita kula vitoto..
Kemea hilo pepo mkuu wangu.
Wewe naimani sio mtu wa namna hiyo
Ndio mkuu watoto wana haribiwa sana na wazee wa hovyo ambao hawajawahi ridhikaNijukumu letu sote kujenga maadili
Kwa nini hao mnaowaita watoto wa kike wafakamiwe na Wazee?Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali.
Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu Mwanamke/Mwanaume anampenda mwanaume/Mwanamke anayemuona na sio kumpenda Mwanamke/Mwanaume anayemsikia sababu asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo na kuona ni kuamini.
Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.
Kuna umri ukifika jiheshimu.
View attachment 3009782
Jambo gan utafanya kijana,usipojitambua au kutambua majukumu yako kama mwanaume utatombewa mpaka akili ikae sawa,acha kutishatisha watu huku ndaniDr matola wewe siku hizi unashida.
Nina uhakika simu kashika mtu mwingine sio wewe.
Sisi hao mashangazi ni kitu kisicho shangaza ila sasa linapikuja suala la kuweka compitation na kijana ambaye unajua kabisa yupo anajitafuta hiyo sio fair kabisa.
Dr niseme tu inabidi ifikie wakati mjiheshimu la si hivyo tutakuja kufanya jambo la ajabu juu yenu
Vijana wengi wanajikaza kisabuni ila roho inawauma.
Mi leo nawasemea
Mpaka ufikie hatua ya kumiliki bastola hutakuja na malalamiko kama haya humu ndani na wewe utakua unakula mema ya nchi kama hawa wazee unaowalalamikia humu jukwaani kijanaMi nimepanga tamiliki pipe kwa ajili ya mahasidi kama hawa.
Una kuta mzee anakamia show kabisa na mikongo wanapaka.
Wazee mna nini nyie.
Vipi "Fundi" wamekugongea?Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.
Kuna umri ukifika jiheshimu.
Tumia tafsida mkuu...Jambo gan utafanya kijana,usipojitambua au kutambua majukumu yako kama mwanaume utatombewa mpaka akili ikae sawa,acha kutishatisha watu huku ndani
Ahahahah alafu unavowatetea sasa.awa wazee kuna mda tutawapiga pipe..
Mpaka ufikie hatua ya kumiliki bastola hutakuja na malalamiko kama haya humu ndani na wewe utakua unakula mema ya nchi kama hawa wazee unaowalalamikia humu jukwaani kijana
Ndio DPN nilicho fanyiwa kwa huyu malaika wangu ni ngumu kuamini ila daah ngoja kuna siku tuu.Vipi "Fundi" wamekugongea?
Wa kale walisema, "Fimbo ya mbali haiui Nyoka" Pole sana🙆🙆