Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #261
Wazee wa hovyo wamepoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee kama hawa ndio wa kukamata na kuwapiga pipeHii tabia ya kupeleka wake zenu wakakae kwenu ni hatari sana, kuna Mzee alikuwa anamkaza Mkwe wake pindi mwanae wa kiume na Mke wake wakiwa wametoka.
Kamchezo kalikomaa hadi mzee akawa hataki tena mkwewe aondoke pale nyumbani
Mashangazi ni haki yetu😁😁😁😁 Kazi ipo.
Na sisi tunakojoleana na mishangazi 😀
Hapana wanatumia pesa kama kigezo cha kutafuna na kuwala rika letu...😀😀😃😃😃😃wamekutafunia ,sasa unalaumu wazee wa watu bure wakati demu wako alikua anasifia kitambi kule .Pole
Nakulaje wakati wote wanachukuliwa ana wazee wa hovyo kutoka mtaani na huku jf.Kabisa lo akomae nae awale kadri awezavyo
Bora wabibi mkuu hawa ni haki yetutatizo na wabibi siku hizi wanataka kuridhishwa, ila vibinti havina shida ya kukojozwa
Pole kwa wote mkuu...Pole yake sana mleta mada...
Mkuu hata ukiwa nae karibu.Ni wazee ila ni mwanaume mwenye hisia kama wewe kijana, kumbuka fimbo ya mbali haiuwi nyoka. Jitahidi tu usikae na mke wako mbali.
Mkuu usishangae mambo ndo yapo hivoDuh 🤔
Hapana na kwanini wao watangulize pesa mbele.Vibinti vya siku hizi vikashaona pesa akili zinahama unadhani ukivishauri vinakuelewa
AhahahahahNawachosha na nini tena na nimeelewa ujumbe wako mkuu?
Hajitambui huyoSawa mkuu.
Mkuu wa njinjo mbona kama ujiheshimuAcha wivu, tafuta K kwa kutotumia mgongo wa wazee. K ni zao wakikupa shukuru, wakikunyima usilaumu wazee. Una matatizo dogo
Nilikua nakuheshimu sana ujueSehemu zinatesekaje,dah intense orgasm ndo kutesa viungo?nafika orgasm huku moyo umerelax,pesa ipo shida ndogondogo hakuna.come on man!
Na wewe ni miongoni mwa wazee hovyo nini... husisha na vifungu vya Sheria za jamhuri, ... nje ya hapo ni kubwabwaja tuu!
😎
Ajawahi kujiheshimu hyu dactar[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wazee pia hawajiheshumu..Pole sana mkuu,ila mi naona wakulaumiwa ni huyo mwanamke wako ambaye hajitambui na haridhiki na unachompatia.kiufupi hakuheshimu.
Mimi nafikiri mwanamke akiwa anajitambua na kuwa na misimamo huyo mzee wa hivyo hawezi kumpata. Lakini kama mwanamke ni maharage ya Mbeya basi ni rahisi sana kukamatika kwa mzee wa hovyo[emoji23].