Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nyie Vijana Kuweni Na Heshima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wazee wanajua kuhonga,sikuja hapa duniani kuteseka.Niteseke duniani na mbinguni neverDaah nasikitika sana kusema kuwa umeniangusha mno.
Sikutegemea ww kuwa upande wa hawa wazee wa hovyo...
Aiseeee nimecheka! 😂Vijana tunajikaza kisabuni kutafuta chochote kitu
Wenyewe wanajua ku pita nao tuu..
Mwaka huu tutapigana
Tutatukanana aiseee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 AiseeNgoja nipumzike sasa ila ujumbe umefika.....
Haiwezekani mi kutoka kidogo tuu nakuta mshani overtake
JidanganyeKwa matajiri ni mara chache mkuu
Mapenzi bhana ..... pumbafu kabisa.....Amedata anakwambia anaongea from the heart of his bottom
Pole sana aisee ila tafuta mtu mwingine pia usichoshe akiliNimekuta zee moja ka hovyo kutoka bodi moja kubwa hapa duniani linavizia mtu wangu..
Anajua kumwaga pesa hovyo hovyo aiseee hawa watu wap.mbv sana
Tena usipende mazoea nao watakufumua na wewe.Vibabu havijiheshimu mkuu ndo hawa hawa wanafanya mkongo na viagra kuwa adimu kumbe yote haya ni kufakamia vitoto vya 2000 mkuu hii inakera.
Yeye ujana wake kusema kulikua na vizee vya hovyo
Nilichogundu hiki kizazi cha wazee wa hovyo kimekuja sasa hivi nazani nia yao ni kutukomoa tu.
Kwanza wana slogani za ajabu kutetea huu uzwazwa wao
Wewe inakuuma nini? Oa uone kulivyo kwa moto. Kwani K ni zako? Kazi ya wazee ni kula dogodogo tuSio kitu kizito ila hawajiheshimu mkuu.
Hivi kweli mtu una mke na watoto ndo wakufanya utopolo kama huo
Achana na upuuzi huo. Au wewe ni shogaNilijua kuna watu watakuja kutetea huu uzwazwa wa wazee.
Mkuu ayajakukuta wewe ila sbri utayaona na utajua kituunguu na nynya zina tofauti gani
Uteseki wewe, unazitesa sehemu zako za siri.Hao wazee wanajua kuhonga,sikuja hapa duniani kuteseka.Niteseke duniani na mbinguni never
Acha kuumizwa na kitu ambacho si chako. K ni yao na wao ndiyo wana haki ya kuigawa kwa kikongwe, au mtoto. Je, unawasaidia kuziosha? Acha wivuMkuu sio wivu naongea kitu real vijana tuna umia tunajikaza kisabun tuu ila moyoni tunabubujikwa na machozi
Waeleze hao vichelema. Lazima wajue K ni zao na mnaotaka kuwapa RUKSA.Hao wazee wanajua kuhonga,sikuja hapa duniani kuteseka.Niteseke duniani na mbinguni never
Jana ulileta Uzi wa kipuuzi wa mwanafunzi wa Mwalimu Nyerere College. Najua wewe humu JF huwa unataka kuwa na kila mwanamke. Achana na huo utoto. Mtu akimpa mzee K ni yake, unasumbuka na nini?Nahusikaje hapa mkuu, ile ni taarifa niliweka kama ilivyo, na ni kwa nia njema kabisa ya kufikisha ujumbe.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Cha ajabu zaidi kuna wazee huku wanakula watoto wao wa kuzaa, wamama pia wanaliwa na watoto wao wa kiume, so painful.Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali.
Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu Mwanamke/Mwanaume anampenda mwanaume/Mwanamke anayemuona na sio kumpenda Mwanamke/Mwanaume anayemsikia sababu asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo na kuona ni kuamini.
Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.
Kuna umri ukifika jiheshimu.
View attachment 3009782
Watakuchapia tu. Acha wazee wajimwae. Wewe hangaika na wake zao tu. Wasichana ni kwa ajili ya Wazee na mishangazi ni kwa ajili yenu. Kubali matokeoHali mbaya wazee wana mambo ya ajabu..
Hata tongoza yao ni ya kukera sana aiseee yani hawa watu sijui wametumwa