Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #201
Kichezeee huko huko kwa rika lao sisi watupe nafasi na hawa wetuWajiheshimu wakati 'kifimbo' bado kinacheza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichezeee huko huko kwa rika lao sisi watupe nafasi na hawa wetuWajiheshimu wakati 'kifimbo' bado kinacheza?
Pia na wewe ni mzee wa hovyo humu jf..Vijna wa siku hizi si mmeamua kudeal na mishangazi iweje muanze kutulalamikia wazee kwenye hili? Hel hamna mnataka kumiliki watoto wazuri nyie mtawamiliki kwa kupiga nao picha tu sie tunapiga vya ndani
Pole na kwako pia..Pole kwa mkasa uliokukuta
Ndo slogan zenyu za hovyo...hapo mshamalizaTafuteni hela
We mjinga yaan umefuga malaya badala ya kupambana nae unahangaika na mzee wa watuUnakuta mzee ananyemelea kipusa cha kijana wa watu ili aruke nacho. Binti yuko sawa na mabinti zake lakini zee la nyeti linasarandia lile. Mi huwa nawatia jambajamba wazee wenye tabia mbaya za namna hii. Kama vipi mkono unapigwa tu
Sasa unadhani n maskini tu ndio anachapiwa?Naitwa tajiri na wanakula duu wangu...
Huu unafiki wazi wazi
Usimuite mtu wangu malaya..We mjinga yaan umefuga malaya badala ya kupambana nae unahangaika na mzee wa watu
Kama huyo malaya wako alimdanganya mzee kuwa hana mume au mumewe alishakufa?
Acha ulevi wa mapenzi
Kwa matajiri ni mara chache mkuuSasa unadhani n maskini tu ndio anachapiwa?
Wanaume wote bila kujali umri wetu by nature tunapenda wasichana 'wabichi', hakuna anayetamanani mwanamke mzee. Achana na mambo ya rika , mwennye nguvu na uwezo na ale...Kichezeee huko huko kwa rika lao sisi watupe nafasi na hawa wetu
Wanawake wenu ndio wa hovyo maana wanataka vitu vizuri na pesa na nyie vijana wao hamna uwezo wa kuwapatia sasa wanaanza kujilengesha kwetu kwanini tusipite nao? Halafu msijali sisi hatupigi sana ni round moja tu haturudiiPia na wewe ni mzee wa hovyo humu jf..
Nyie alafu msichojua mimi nawa mark tuu hapa pembeni...
Siku matakapo ona mna BAN za nguvu msilalamike maana hii kuna sehemu nafikisha.
Hatulei wazee hivyo hapa
Ukute demu alishasema jamaa kafa kitaambo[emoji23].. msukule ndo unaenda pigana na wazee[emoji23]We mjinga yaan umefuga malaya badala ya kupambana nae unahangaika na mzee wa watu
Kama huyo malaya wako alimdanganya mzee kuwa hana mume au mumewe alishakufa?
Acha ulevi wa mapenzi
Unakera mkuu japo ulianza vizuri tuu..Wanaume wote bila kujali umri wetu by nature tunapenda wasichana 'wabichi', hakuna anayetamanani mwanamke mzee. Achana na mambo ya rika , mwennye nguvu na uwezo na ale...
Ifike kipindi mjiheshimu wazee wa hovyoWanawake wenu ndio wa hovyo maana wanataka vitu vizuri na pesa na nyie vijana wao hamna uwezo wa kuwapatia sasa wanaanza kujilengesha kwetu kwanini tusipite nao? Halafu msijali sisi hatupigi sana ni round moja tu haturudii
Daaah wakuu mbona mnashambulia hivi kwani kuna kosa nimewafanyia..Ukute demu alishasema jamaa kafa kitaambo[emoji23].. msukule ndo unaenda pigana na wazee[emoji23]
Inaonekana umepigwa na kitu kizito sana mkuu pole sana ndio maana tunawasisitiza NDOA NI UTAPELU KATAA NDOA lakini vijana hamuelewiUnakera mkuu japo ulianza vizuri tuu..
Ila unapoelekea unanikera sasa
Daaah mkuu nachukua pole yako japo ya kinafiki..Inaonekana umepigwa na kitu kizito sana mkuu pole sana ndio maana tunawasisitiza NDOA NI UTAPELU KATAA NDOA lakini vijana hamuelewi
Ni kweli mkuu. Sisi ni wananaume na tunatamani wasichana wabichi. Hiyo ipo tangu enzi na enzi na itabaki hivyohivo kama nature ya mwanamme. Hata kwene maandiko, unafikiri mfalme Suleiman aliokuwa na wake 700 alikuwa anao maajuza? Alikuwa anapiga kama Mfalme Muswati tu, watoto wabichi. mimi nasema tu kweli nature ya wanaume. Wote tunapenda wanawake wabichi....ila tunafuata upepo uliowekwa na jamaa tusionekane wa ajabu.Unakera mkuu japo ulianza vizuri tuu..
Ila unapoelekea unanikera sasa