Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #161
Tupo pamoja mkuu .Aina noma sheikh
Yatapita tuu haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo pamoja mkuu .Aina noma sheikh
Hii imeendaaaPole, unabweka hadi umesahau unachoandika.
Tunajiheshimu sana. Shida wanatuomba sana hela. Tukiwakopesha hawalipi badala yake wanajichekesha chekesha mbele yetu na kusema waume zao hawatuma hela ili warejeshe. Kifuatacho, tukitupa neno tu, hao washavua hadi nguo za ndani. Tufanyeje?
Tunzeni wake zenu kwa mahitaji ya miili, mioyo na akili. Unahama nyumbani miezi sita hujatuma hata mia wala kurudi. Unategemea nini?
Wengine mpo mazingira ya nyumbani na wake zenu, lakini hamlali na wake zenu kisa mko busy na biashara kumbe michepuko tu. Wake zenu waliwe na nani kama siyo sisi na wahuni wenzenu?
Jifunzeni kuishi nao kwa akili siyo kupiga kelele.
Katika watu ambao 98% watakuja kuwa wazee wa hovyo wee jamaa uchomoki...Hii imeendaaa
Sina mwana umu.Ndio mkuu una shida mahali wewe..
Nilikua nakuchukulia mwanangu sana sana ahaha
Mkuu kwa kutoa laana upo vizuriKatika watu ambao 98% watakuja kuwa wazee wa hovyo wee jamaa uchomoki...
Nipo hapa
Sawa mkuu ndo mana nilikua nakuchukulia....Sina mwana umu.
Jitahidi unywe maji mengi ila maumivu yakizidi muone daktari.Tupo pamoja mkuu .
Yatapita tuu haya
Aah acha hizo bana mkuuKatika watu ambao 98% watakuja kuwa wazee wa hovyo wee jamaa uchomoki...
Nipo hapa
We dem mmoja tu unalia usiku kucha, ulibahatisha nn...Mkuu usiombe yakukute narudia tena usiombe yakukute mkuu...
Mkuu kuna mambo yanafanyika kwa hawa viumbe daah acha tu
Kuna mambo hayafutiki yanakua kwa long term memory
Hapana sio laana yaani kuna mtu unaona tuu...Mkuu kwa kutoa laana upo vizuri
Ni haki yako kuwa hivyo ila nikushauri kitu, kutofautiana mawazo na mitizamo sio sababu ya kuwaona watu ni wa hovyo.Sawa mkuu ndo mana nilikua nakuchukulia....
Ila kama unaona nimeenda beyond 🙏🙏🙏 mkuu
Naona kitendo hiki cha wazee wa hovyo kufanya mambo ya ajabu wee kimekufurahisha mkuuAah acha hizo bana mkuu
Zamani ipi mkuu.Hapana sio laana yaani kuna mtu unaona tuu...
Hata wewe hapo zamani nilijua ni mtu fulani hivi...
Kumbe una uhovyo ndani yake ahah
Mkuu unajua mi nimetoka nae wapi..We dem mmoja tu unalia usiku kucha, ulibahatisha nn...
Ndio unakomaa hivyo wakifika watano, unakuwa ngangari
Ahahahaha sawa mkuu...Ni haki yako kuwa hivyo ila nikushauri kitu, kutofautiana mawazo na mitizamo sio sababu ya kuwaona watu ni wa hovyo.
Ahahaha sawa sawa kijana..Zamani ipi mkuu.
Kama binadam nna mazuri na mabaya yangu na huu ndio ubinadamu.
CCM Tena!? 😂Tatizo la ccm mnawasingizia wazee? Ing'oweni ccm ndio mchawi wenu.
Vijana wenyewe wako busy na mijimama na mijishangazi kutafuta unafuu wa maisha. Acha na sie tuhangaike na 2000s babiesKijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali.
Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu Mwanamke/Mwanaume anampenda mwanaume/Mwanamke anayemuona na sio kumpenda Mwanamke/Mwanaume anayemsikia sababu asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo na kuona ni kuamini.
Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.
Kuna umri ukifika jiheshimu.
View attachment 3009782
Huna helaMkuu unajua mi nimetoka nae wapi..
Mkuu usiongee tu ujui how nime invest kwa mtu alafu anatokea mzee mmoja haeleweki kutokea bodi ya wapi huko anaanza kuweka vigezo vya ajabu ili amle duu wangu 🥺🥺