Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Hahahahaha enzi zetu tumekula sana bata bila stressTunakamataje fursa na tupo na msongo wa mawazo unaosababishwa na wazee hawa wachche ambao ujana wao walishindwa kuponda raha
Nywele afro kiatu raizon suruali bugaloo juu pima chini kadilia
Enzi hizo Congo Kinshasa iko on hit wapi dally kimoko
Wapi lokassa ya mbongo
Nene tchakou