Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Nilisema kuna mda nitawataja wazee wa hovyo naona wanazidi kumiminika.

Huyu Kingsharon92 hovyo sana ni hovyo kiwango cha lami maana yupo huku na huku

Anataka kula watoto wa 200o lakini pia anataka kuwa na sisi huyu anashida sana ahaahah
 
Hebu kwanza twende tukawajibike
Saa kumi jioni baada ya kazi tukutane sehemu tulivu, nyama ya kitimoto konyagi Pembeni na maji baridi ili kujipongeza
Sawa mkuu mi leo nipo hapa kwa kazi hi ya kutokomeza hawa mapepo nyemelezi...

Uwe na siku njema mkuu
 
Nilisema kuna mda nitawataja wazee wa hovyo naona wanazidi kumiminika.

Huyu Kingsharon92 hovyo sana ni hovyo kiwango cha lami maana yupo huku na huku

Anataka kula watoto wa 200o lakini pia anataka kuwa na sisi huyu anashida sana ahaahah
Nitake radhi kijana mtoto wangu wa mwili ni mwaka 1988 sasa ukituhumu kuwa nataka vitoto vya 2000 ni kunitukana
 
Vibinti ndio havina adabu kabisa, baadhi yetu tunakomaa na watu wazima wenzetu, hatuna mda mchafu na vitoto. Vingi hata havijielewi, havina taste, viongo sana, etc.
Wewe ni miongoni mwa watu wenye heshima zao mkuu.

Nakufatilia sana . Kuwa na roho hiyo hiyo ya kusema ni vitoto.

Pia hamna huo mda. Ila kuna hawa wenzako kila siku wanazua mapya
 
Back
Top Bottom