Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ipo toka enzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio wivu naongea kitu real vijana tuna umia tunajikaza kisabun tuu ila moyoni tunabubujikwa na machoziHuyu mpuuzi na Half american ni wivu unawasukuma tu. Mambo ya Chura kukataza akinamama wasichote maji wakati hawezi kuyanywa na kuyamaliza. Vijana acheni wivu wa kijinga
Pole sana kijana, wewe unafikiri huwa wanawabaka?Sio kitu kizito ila hawajiheshimu mkuu.
Hivi kweli mtu una mke na watoto ndo wakufanya utopolo kama huo
hawa wazee wa hovyo watanyukwa tu mpaka waache kupakua mizinga ya vijanaHaya haya naona kunazidi kuchangamka hapa ndugu watazamaji labda niwape tu muhtasari,
Jamii forums ziimekuwepo vita mbali mbali sana humu ambazo kila pande ilijivunia ubingwa ,
Ashakum si matus, walianza kula tunda kimasihara , ghafla ikaja vita ya walimu hii nayo ilipiganwa kweli kweli, hatujakaa sawa ghafla masingle maza haoooo
Wakashambuliwa kweli kweli mpaka ikabidi single mother warudishe vikosi nyuma ,amani ikadumu kwa muda mchache nchini JAMII FORUMS we bwanaa weee kumbe VIBABU VYA HOVYO vilikua na agenda yao ya siri kisha kimnya kimnya wakasogeza majeshi mbele
We bwana weee kuja kustuka mademu wa vijana ch#p zimekua kilemba vizee unaambiwa mpaka viagra vimepanda bei baada ya wastaafu hao kuapa ama zao juu ya mbususu za vijana
Vibabu havijiheshimu mkuu ndo hawa hawa wanafanya mkongo na viagra kuwa adimu kumbe yote haya ni kufakamia vitoto vya 2000 mkuu hii inakera.Haya haya naona kunazidi kuchangamka hapa ndugu watazamaji labda niwape tu muhtasari,
Jamii forums ziimekuwepo vita mbali mbali sana humu ambazo kila pande ilijivunia ubingwa ,
Ashakum si matus, walianza kula tunda kimasihara , ghafla ikaja vita ya walimu hii nayo ilipiganwa kweli kweli, hatujakaa sawa ghafla masingle maza haoooo
Wakashambuliwa kweli kweli mpaka ikabidi single mother warudishe vikosi nyuma ,amani ikadumu kwa muda mchache nchini JAMII FORUMS we bwanaa weee kumbe VIBABU VYA HOVYO vilikua na agenda yao ya siri kisha kimnya kimnya wakasogeza majeshi mbele
We bwana weee kuja kustuka mademu wa vijana ch#p zimekua kilemba vizee unaambiwa mpaka viagra vimepanda bei baada ya wastaafu hao kuapa ama zao juu ya mbususu za vijana
Mkuu wewe huna baya kabisa huna baya sio kama kina matola daah.Ahsante kijana
In short uhovyo wa baadhi yetu watu wazima ni ile kutokukubaliana kuwa jua limeshazama tupishe nguvu mpya
Kabisa mkuu! Ni lazima tuyakemee.Nakemea haya mapepo nyemelezi...
Nakemea nakemea..
Tuungane mkuu kukemea haya mapepo yaliyo wakuta dada zetu
Sasa hivi tunasema ipo kasi ya acceleration ya g yaan wapo 9.8ms²Ipo toka enzi
Kobello wewe ni kijana mwenztu ila nashangaa kwanini upo upande wa hawa wazee wa hovyo...Pole sana kijana, wewe unafikiri huwa wanawabaka?
Au wenyewe wanapenda kwa hiyari yao?
Maana vijana siku hizi mna vitambi na pia wengi wenu mashoga. Pia ni wvivu sehemu zote.
HutowezaSasa hivi tunasema ipo kasi ya acceleration ya g yaan wapo 9.8ms²
Sasa tupo hapa kuzuia huu uzwazwa usifikie speed ya light
Wanakera mkuu wanakera sana mkuu..hawa wazee wa hovyo watanyukwa tu mpaka waache kupakua mizinga ya vijana
Tatizo la ccm mnawasingizia wazee? Ing'oweni ccm ndio mchawi wenu.Ana hasira za karibu msamehe kijana mwenzangu.
Yote haya ni nyie mkuu
Haya mambo mlianza nyie ndomana mimi na deal na nyie root.. nyie ndo source mkuu
Dr Matola PhDMkuu wewe huna baya kabisa huna baya sio kama kina matola daah.
Mkuu eleimu izidi kutolewa mkuu wangu
Hawajiheshimu kuwa nao makini..kumekuchaaa
Connection za Irene Uwoya.Kwa akili hizo za kijinga unaweza ukawa na connection gan!
Vyanzo vyote ni hawa wazee....hawaridhikiKabisa mkuu! Ni lazima tuyakemee.
Tutaweza tuu we support ila hili mpaka mama gwajima atafikishiwaHutoweza
HAPANA nakataa hili. Hata ndugu yangu lucas atakataaTatizo la ccm mnawasingizia wazee? Ing'oweni ccm ndio mchawi wenu.