Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Kwa kweli inakera sana!
Lakini hata hivyo wakati mwingine ni tatizo lao!
Kwa mfano sasa hivi kuna wimbi kubwa la wasichana na masingles wanaojipeleka kwa Wazee wenye uwezo wakiwa na nia ya kuwachuna!
Ukiwauliza wanakwambia Wazee wanajua kulea! Mara ng'ombe hazeheki maini.
Wazee wakiwaambia uwezo kitandani ni mdogo,wanaambiwa huko niachie mimi nitajua cha kufanya! Hata kama imelala? wanaambiwa nitaisimamisha!
Shida ni fedha mkuu!
Nakemea haya mapepo nyemelezi...
Nakemea nakemea..
Tuungane mkuu kukemea haya mapepo yaliyo wakuta dada zetu
 
Vipi kijana maisha yamekupiga mpaka unatukana mtu usiyemjuwa mtandaoni?

Wenzako wenye akili timamu wanatuomba connection wewe unatukana mtu usiyemjuwa, really?
Ana hasira za karibu msamehe kijana mwenzangu.
Yote haya ni nyie mkuu
 
Kuna zee moja lilinipa stress nitalikomoa vipi baada ya kugundua linanyatia mzinga wangu. Mke wake alikuwa mkubwa sana kwangu niliona noma kulipiza kisasi hapo, ikabidi nizame kwa mabinti zake kuondoa stress ili ngoma iwe droo. Mabinti zake walikuwa saizi yangu
 
Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali.

Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu Mwanamke/Mwanaume anampenda mwanaume/Mwanamke anayemuona na sio kumpenda Mwanamke/Mwanaume anayemsikia sababu asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo na kuona ni kuamini.

Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.

Kuna umri ukifika jiheshimu.

View attachment 3009782
Naona Wazee wamekupiga kitu kizito.
 
Tutake radhi kijana
Umesaidiwa huko na mzee mmoja umeona wazee wote ni wa hovyo
Mkuu 99.99% wazee wa humu ni hovyo.
Ni wachache watachomoka kwenye hili fagio la chuma.

Sitaki kuamini na wewe ni miongoni mwao najua wewe ni mtu na heshima zako
 
Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali.

Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu Mwanamke/Mwanaume anampenda mwanaume/Mwanamke anayemuona na sio kumpenda Mwanamke/Mwanaume anayemsikia sababu asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo na kuona ni kuamini.

Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.

Kuna umri ukifika jiheshimu.

View attachment 3009782
Kwa hiyo kijana mwenzako akikupigia huna shida ila shida ni mzee akipiga? Sex ni maamuzi binafsi, yani mke anafurahia wewe ndio unaleta unaa. Ukikaa vibaya anakuacha kabisa na kuhamia kwa huyo mzee.
 
Kuna zee moja lilinipa stress nitalikomoa vipi baada ya kugundua linanyatia mzinga wangu. Mke wake alikuwa mkubwa sana kwangu niliona noma kulipiza kisasi hapo, ikabidi nizame kwa mabinti zake kuondoa stress ili ngoma iwe droo. Mabinti zake walikuwa saizi yangu
Sasa hivi hawa ni kwenda nao mdogo mdogo tuta deal nao perpendicular

Sema daah inauma aiseee mkuu nimefanyiwa kitu very strange aiseee
 
Haya haya naona kunazidi kuchangamka hapa ndugu watazamaji labda niwape tu muhtasari,

Jamii forums ziimekuwepo vita mbali mbali sana humu ambazo kila pande ilijivunia ubingwa ,
Ashakum si matus, walianza kula tunda kimasihara , ghafla ikaja vita ya walimu hii nayo ilipiganwa kweli kweli, hatujakaa sawa ghafla masingle maza haoooo

Wakashambuliwa kweli kweli mpaka ikabidi single mother warudishe vikosi nyuma ,amani ikadumu kwa muda mchache nchini JAMII FORUMS we bwanaa weee kumbe VIBABU VYA HOVYO vilikua na agenda yao ya siri kisha kimnya kimnya wakasogeza majeshi mbele

We bwana weee kuja kustuka mademu wa vijana ch#p zimekua kilemba vizee unaambiwa mpaka viagra vimepanda bei baada ya wastaafu hao kuapa ama zao juu ya mbususu za vijana
 
Kwa hiyo kijana mwenzako akikupigia huna shida ila shida ni mzee akipiga? Sex ni maamuzi binafsi, yani mke anafurahia wewe ndio unaleta unaa. Ukikaa vibaya anakuacha kabisa na kuhamia kwa huyo mzee.
Kijana mwenzangu ata akifanya anafanya kimya kimya kwa ustarabu sio wazee mnafanya huku mnatunyanyasa Wtf
 
Back
Top Bottom