Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hakuna tuhuma zozote ni inferiolity complex tu zinawasumbuwa.Dr Matola PhD
Hebu njoo tuhakiki hizi tuhuma za vijana
Unajuwa humu kwenye mapub wakati yeye kaagiza kisungura unakuta wewe una Grants yako na maAnko unawapa zile six pack zao za Whindhoek na Desperado, sasa hapo kijana anaona hatendewi haki kumbe mfumo ndio uko hivyo kuna umri wa kujitafuta.