Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Tuliza akili mjukuu,Sio wivu madam ila wanachofanya ni too much aiseee..
Namaanisha wanachofanya sio fair.
Am talking from heart of my bottom
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliza akili mjukuu,Sio wivu madam ila wanachofanya ni too much aiseee..
Namaanisha wanachofanya sio fair.
Am talking from heart of my bottom
Wee inaelekea ni miongoni mwao.
Sio kwa maneno ya kibabe hivo.
Haya sasa tuachieni hawa watoto mkuu
Pole mkuuJapo wameedit title ila wazee wa jf hovyo sana...
.najua wanaweza niripot nipate BAN ila inakera sana.
.sio vyuoni sio mtaani.
Watoto hawana raha
Ngoja nipumzike sasa ila ujumbe umefika.....
Haiwezekani mi kutoka kidogo tuu nakuta mshani overtake
Sinaga upande, natetea kilicho sahihi kimaadili, we kuumizwa kwako na ke kupitia mzee mmoja isiwe sababu ya kuwajumuisha wote. Ishi nao kwa akili vinginevyo keshokutwa utapigwa tukio na mtoto na vita itahamia huko.Kama na wewe unaungana kutetea hawa wazee wa hovyo...
Daah mkuu takushusha vyeo aiseee
Unalishwa naneno ya sumu.Ukweli ndo huo,vijana mmekuwa wahovyo sana,hela huna nakuvumilia nguvu nazo huna unataka nifanyeje?tulia acha kujipa stress kwa kitu ambayo haiishi.Kula kwa wakati wako na mwingine ale kwa wakati wake
Hayamkuti nyani haya...Pole mkuu
Kuna mda unakua wa hovyo yaani hujiheshimu mkuu ahaha
Wazee ni hovyo wazee wa jf ni hovyo.Sinaga upande, natetea kilicho sahihi kimaadili, we kuumizwa kwako na ke kupitia mzee mmoja isiwe sababu ya kuwajumuisha wote. Ishi nao kwa akili vinginevyo keshokutwa utapigwa tukio na mtoto na vita itahamia huko.
Mwanamke ni kiumbe hatari sana usiwaendekeze watakuua kama sio kuanza kuchizika.
Mtu akikinzana na wewe hajiheshimu, upo sawa mkuu?Kuna mda unakua wa hovyo yaani hujiheshimu mkuu ahaha
Ndio mkuu una shida mahali wewe..Mtu akikinzana na wewe hajiheshimu, upo sawa mkuu?
Naona key board warrior unamnyuka mbaya wako ukiwa nyuma ya keyboardhawa wazee wa hovyo watanyukwa tu mpaka waache kupakua mizinga ya vijana
Acha mkuu maneno yakoJamaa kachapiwa usiku mnene.... hehehehee...mkuu kuwa mpole, alafu wazee wanapenda kula tigo hao, dah pole .....
Haya mambo mkuu ombea yasikukuteNaona key board warrior unamnyuka mbaya wako ukiwa nyuma ya keyboard
Yaani mtesi wako unamjua halafu unakuja kulialia huku badala ya kuchukua action tusikie tu taarifa Kwenye TV
KIJANA WA OVYO
Yanipate yapi mkuu, nikae napoteza muda wangu kuwaza na kuteseka na mtu alieamua kutumia kiungo chake?Wazee ni hovyo wazee wa jf ni hovyo.
Wee kaa upande huo huo mkuu siku yakikupata utakuja hapa kuomba ushauri
Sawa mkuu nashukuru kwa ushauri wako mwamba huyu hapo ndo wewe kazanaYanipate yapi mkuu, nikae napoteza muda wangu kuwaza na kuteseka na mtu alieamua kutumia kiungo chake?
Jitahidi uvuke hiyo stage ya kuteseka na kuumizwa na mapenzi mkuu, mi huko nilishatoka.
Tafuta dem mwingine upige....Acha mkuu maneno yako
Hata kama nimechapiwa ila gawajamla tigo.
Mkuu chunga maneno yako yanaamsha mshipa wa hasira
Aina noma sheikhSawa mkuu nashukuru kwa ushauri wako mwamba huyu hapo ndo wewe kazana
Mkuu usiombe yakukute narudia tena usiombe yakukute mkuu...Tafuta dem mwingine upige....
Unaonekana hujalala usiku wa leo, usije ukajinyonga....tafuta dem mkuu ukunje..
Ingia tagged apo