Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Kama na wewe unaungana kutetea hawa wazee wa hovyo...
Daah mkuu takushusha vyeo aiseee
Sinaga upande, natetea kilicho sahihi kimaadili, we kuumizwa kwako na ke kupitia mzee mmoja isiwe sababu ya kuwajumuisha wote. Ishi nao kwa akili vinginevyo keshokutwa utapigwa tukio na mtoto na vita itahamia huko.

Mwanamke ni kiumbe hatari sana usiwaendekeze watakuua kama sio kuanza kuchizika.
 
Ukweli ndo huo,vijana mmekuwa wahovyo sana,hela huna nakuvumilia nguvu nazo huna unataka nifanyeje?tulia acha kujipa stress kwa kitu ambayo haiishi.Kula kwa wakati wako na mwingine ale kwa wakati wake
Unalishwa naneno ya sumu.
Kingine kaa upande wa vijana wenzako kukemea haya mapepo ili tufikie malengi sawa..
.sio unatupinda nje nje bila hata kuzuga kidogo

Umefanya niwaze mbali sana sijui huyo mwenzangu ana hali gani huko aiseee
 
Sinaga upande, natetea kilicho sahihi kimaadili, we kuumizwa kwako na ke kupitia mzee mmoja isiwe sababu ya kuwajumuisha wote. Ishi nao kwa akili vinginevyo keshokutwa utapigwa tukio na mtoto na vita itahamia huko.

Mwanamke ni kiumbe hatari sana usiwaendekeze watakuua kama sio kuanza kuchizika.
Wazee ni hovyo wazee wa jf ni hovyo.
Wee kaa upande huo huo mkuu siku yakikupata utakuja hapa kuomba ushauri
 
Jamaa kachapiwa usiku mnene.... hehehehee...mkuu kuwa mpole, alafu wazee wanapenda kula tigo hao, dah pole .....
 
Yanipate yapi mkuu, nikae napoteza muda wangu kuwaza na kuteseka na mtu alieamua kutumia kiungo chake?

Jitahidi uvuke hiyo stage ya kuteseka na kuumizwa na mapenzi mkuu, mi huko nilishatoka.
Sawa mkuu nashukuru kwa ushauri wako mwamba huyu hapo ndo wewe kazana
 
Tafuta dem mwingine upige....
Unaonekana hujalala usiku wa leo, usije ukajinyonga....tafuta dem mkuu ukunje..
Ingia tagged apo
Mkuu usiombe yakukute narudia tena usiombe yakukute mkuu...

Mkuu kuna mambo yanafanyika kwa hawa viumbe daah acha tu

Kuna mambo hayafutiki yanakua kwa long term memory
 
Back
Top Bottom