Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #181
Huyu dr ana shida sanaCCM Tena!? 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dr ana shida sanaCCM Tena!? 😂
Mkuu tusije onana wabaya na kulaumia sawa lakini...Vijana wenyewe wako busy na mijimama na mijishangazi kutafuta unafuu wa maisha. Acha na sie tuhangaike na 2000s babies
Nilijua tuu huu utopolo utakao uandika ahahahah hovyo kabisa .Huna hela
Hupigi show fresh
Unalia lia sana
Inaweza kuwa sababu ya kuachwa.
Be a MAN
Unainvest Kwa binti asiyekuwa mke wako ??????!!!Mkuu unajua mi nimetoka nae wapi..
Mkuu usiongee tu ujui how nime invest kwa mtu alafu anatokea mzee mmoja haeleweki kutokea bodi ya wapi huko anaanza kuweka vigezo vya ajabu ili amle duu wangu 🥺🥺
Saaafi ndo inavotakiwa show show hakuna kulaza damu gapa.Kuna mzee mmoja alikuwa anamfukuzia baby mama wangu kipindi hicho na yule mzee alikuwa na binti yake pisi tu ila kutokana na mazinigira sikuwahi mfukuzia mana mtaa mmoja. Siku nilokuja gundua yule mzee anamfukuzia baby mama wangu ndipo nilipoanza mashambulizi kwa binti yake nilipambana sana mpaka nkamla na mzee akaja gundua aisee yule mzee mpaka kesho ananichukia snaa though mwanzo alikuwa anaishi kinafki akiniona salam nying utan huku akijua anafukuzia baby mama wangu.
Kama hauna kifua chakuyavumilia maumivu usiyatafute maumivu, muosha uoshwa.
Poa tajiriAhahaha sawa sawa kijana..
Nachokukubali ni mwelewa pia upo cool kumwelekeza mtu 🙏🙏
Shida ipi...Unainvest Kwa binti asiyekuwa mke wako ??????!!!
Kuna shida
Nimekuta zee moja ka hovyo kutoka bodi moja kubwa hapa duniani linavizia mtu wangu..Fundi manyumba 😂😂
Umepatwa na nini aisee. Mbona unaandika uzi af una comment pekeako
Sio kuhonga ila ni ufataki wa hali ya juu.. kwanini aihinge mishangazi huko..... Vijana wa hovyo kila siku kulalamika kuhusu wazee kuhonga, ... kubalini tu pia msichana anaweza akampenda mwanaume yeyeto anayehisi atampa 'WATOTO ANAOTAKA' bila kujali umri!
... kwahiyo ninapochaguliwa mimi ninayekuzidi umri usilalamikie RUSHWA peke yake angalia na kioo!
😅
Kama hauna hela acha kulia lia,hapo ukiombwa laki tano tu unakimbiaVijana tunajikaza kisabuni kutafuta chochote kitu
Wenyewe wanajua ku pita nao tuu..
Mwaka huu tutapigana
Tutatukanana aiseee
Naitwa tajiri na wanakula duu wangu...Poa tajiri
Ishu ni kwanini watoke na vitoto vya 2000 why why....Kama hauna hela acha kulia lia,hapo ukiombwa laki tano tu unakimbia
Amedata anakwambia anaongea from the heart of his bottomFundi manyumba [emoji23][emoji23]
Umepatwa na nini aisee. Mbona unaandika uzi af una comment pekeako
FactKijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali.
Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu Mwanamke/Mwanaume anampenda mwanaume/Mwanamke anayemuona na sio kumpenda Mwanamke/Mwanaume anayemsikia sababu asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo na kuona ni kuamini.
Yote haya lawama tunawapa wazee wa hovyo. Wazee hawa tunaishi nao humu humu mtaani. Tunachati nao na tuna kula nao.
Kuna umri ukifika jiheshimu.
View attachment 3009782
Daah nasikitika sana kusema kuwa umeniangusha mno.Amedata anakwambia anaongea from the heart of his bottom