Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Hii tabia ya kupeleka wake zenu wakakae kwenu ni hatari sana, kuna Mzee alikuwa anamkaza Mkwe wake pindi mwanae wa kiume na Mke wake wakiwa wametoka.
Kamchezo kalikomaa hadi mzee akawa hataki tena mkwewe aondoke pale nyumbani
 
Daaah mkuu unachofanya sio haki sio haki kabisa..

Mnafanya vijana tusikae kwa amani.
Mbona kuna wazee wenzenu wametulia hawana hayo mambo.

Acha nifoke tu mkuu maana wanasema ili usikike lazima ufoke tena kwa sauti.

Wazee wa hovyo mnazinguwa kabisa na ipo hivi dawa yenu inachemka .

Mwaka huu laizima kieleweke.
Pole sana mkuu,ila mi naona wakulaumiwa ni huyo mwanamke wako ambaye hajitambui na haridhiki na unachompatia.kiufupi hakuheshimu.
Mimi nafikiri mwanamke akiwa anajitambua na kuwa na misimamo huyo mzee wa hivyo hawezi kumpata. Lakini kama mwanamke ni maharage ya Mbeya basi ni rahisi sana kukamatika kwa mzee wa hovyo[emoji23].
 
Dr Matola PhD
Mwenye phd yake. Humu ndani kuna mashangazi na watoto wa 2000 ila angalia mnachokifanya nyie mnataka ku overtake pote pote.

Maana hao mashangazi wa humu wanasema hawataki kulea wanataka wazee.

Tukienda kwa age mates wetu bado mnatubania.
Hii ni ubequal food chain ecosystem
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana ulileta Uzi wa kipuuzi wa mwanafunzi wa Mwalimu Nyerere College. Najua wewe humu JF huwa unataka kuwa na kila mwanamke. Achana na huo utoto. Mtu akimpa mzee K ni yake, unasumbuka na nini?
Imebidi nicheke mkuu. Mimi nimeleta habari kama ilivyo watu wakatoa maoni yao kama ilivyo kwa mada nyingine. Kwahiyo hata kama ni uovu tunyamaze kwa sababu unawalenga kundi fulani?

Kuhusu hayo ya kutaka kuwa na kila ke huko sipo na sipo hivyo mi ni mtu wa masikhara sana kwenye keyboard. Mengi humu naandika kuchangamsha jukwaa ila hayana uhalisia.

Kila mtu ashinde mechi zake tatizo umetafsiri habari niliyoileta kama dukuduku langu lakini sio niliileta kama navyoleta habari nyingine.
 
Imebidi nicheke mkuu. Mimi nimeleta habari kama ilivyo watu wakatoa maoni yao kama ilivyo kwa mada nyingine. Kwahiyo hata kama ni uovu tunyamaze kwa sababu unawalenga kundi fulani?

Kuhusu hayo ya kutaka kuwa na kila ke huko sipo na sipo hivyo mi ni mtu wa masikhara sana kwenye keyboard. Mengi humu naandika kuchangamsha jukwaa ila hayana uhalisia.

Kila mtu ashinde mechi zake tatizo umetafsiri habari niliyoileta kama dukuduku langu lakini sio niliileta kama navyoleta habari nyingine.
Acha wivu, tafuta K kwa kutotumia mgongo wa wazee. K ni zao wakikupa shukuru, wakikunyima usilaumu wazee. Una matatizo dogo
 
😀😀😃😃😃😃wamekutafunia ,sasa unalaumu wazee wa watu bure wakati demu wako alikua anasifia kitambi kule .Pole
 
... Vijana wa hovyo kila siku kulalamika kuhusu wazee kuhonga, ... kubalini tu pia msichana anaweza akampenda mwanaume yeyeto anayehisi atampa 'WATOTO ANAOTAKA' bila kujali umri!
... kwahiyo ninapochaguliwa mimi ninayekuzidi umri usilalamikie RUSHWA peke yake angalia na kioo!
😅
😁😁😁😁 Kazi ipo.

Na sisi tunakojoleana na mishangazi 😀
 
Back
Top Bottom