Mkuu leo nimekuta wameliweka deni imagine toka jtatu ndio wanaweka leo, roho imeniuma mnoooHuyo amekuweka kiporo anaweza kuingiza hilo deni siku yoyote cha muhimu ni kukagua mara kwa mara kama umeandikiwa maana ikikaa wiki inaongezeka 7500
Ulisainishwa kwenye ile karatasi ya notification kwamba umekubali kosa?Mkuu leo nimekuta wameliweka deni imagine toka jtatu ndio wanaweka leo, roho imeniuma mnooo
Sure mzee beige inapendeza tofauti na blackSio uwongo inapendeza mno
Yeah hata Royal Saloon ukiingia ndani ni full mbao na maziwa maziwa yani biegeSure mzee beige inapendeza tofauti na black
Hapana, sikujua kama kuna hiyo karatasi mkuu, next time nitawaombaUlisainishwa kwenye ile karatasi ya notification kwamba umekubali kosa?
Hivi kumbe kuna utaratibu wa kusainishana makosa?Ulisainishwa kwenye ile karatasi ya notification kwamba umekubali kosa?
Ndio maana mimi sitaki kabisa kuandikiwa nibora nitoe 10k au hata 20k kuliko kupigwa cheti maana ukijisahau tu linafika 60000 mkuu,Mkuu leo nimekuta wameliweka deni imagine toka jtatu ndio wanaweka leo, roho imeniuma mnooo
Mi nilishawahi kutoa 5000, 10000 lakini sasahivi nimeacha mchungaji katuambia ni dhambi. Nifuate sheria au nikubali kutoa yote 30000 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ndio maana mimi sitaki kabisa kuandikiwa nibora nitoe 10k au hata 20k kuliko kupigwa cheti maana ukijisahau tu linafika 60000 mkuu,
Hivi kukagua kama unadaiwa unapiga menu ipi?Mkuu leo nimekuta wameliweka deni imagine toka jtatu ndio wanaweka leo, roho imeniuma mnooo
Safi sana mkuu kuliko hii minyama ya kuku na hujui zimeandaliwa vipi, naoga sana kula vibudu, samaki ni safi sanaHapana mbeya niliwanunua wabichi nikanunua mafuta wakanikaangia huku nikisubiria [emoji1][emoji1][emoji1]
Hizi road trips za January mmmmmmWakuu ijumaa asubuh nasafari ya kwenda handeni Tanga, njia ipi nipite? Natokea kahama, ipi nzuri ipi short cut au ushauri pls gari gari ni sedani premio new model ya 2008
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ingia google, andika hivi, kujua deni la gari yangu. Itakuletea kibox utajaza details zako za gariHivi kukagua kama unadaiwa unapiga menu ipi?
Kwa TARURA fata menu ya mpesa au airtel money. Chagua malipo ya serikali, then itaendelea kukuongozaWakuu hawa wazee wa parking / tarura, ili kujua gari yako inadaiwa kiasi gani unapiga menu ipi?
Ingia hiyo website ingiza registration namba itakuletea madeni yako na control number ya malipo Termis Web SystemWakuu hawa wazee wa parking / tarura, ili kujua gari yako inadaiwa kiasi gani unapiga menu ipi?
Asante sana mkuu, nimeangalia na sina deni. Maana nilipata wasiwasi baada ya wadau kueleza huko juu kwamba kuna mchezo wa kukuvizia siku hizi.Ingia hiyo website ingiza registration namba itakuletea madeni yako na control number ya malipo Termis Web System
Hivi ndio madereva wote wanatakiwa kuwa, sidhani kama mwaka jana wote nimepigwa faini hata moja. Mimi ni mzee wa kufuata vibao.Mi nilishawahi kutoa 5000, 10000 lakini sasahivi nimeacha mchungaji katuambia ni dhambi. Nifuate sheria au nikubali kutoa yote 30000 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Mi langu lishafika elf60 kwa sasa na sitembei na gari ng'o mchana, usiku only 🤣🤣🤣 maana mchana sitoboi.Ndio maana mimi sitaki kabisa kuandikiwa nibora nitoe 10k au hata 20k kuliko kupigwa cheti maana ukijisahau tu linafika 60000 mkuu,
Inyala hapo kimeumana meru tanker na coaster super rojaView attachment 2492360