Na bado hujalipa mpaka leo? 😳😳😳😳😳Mi ilikuwa Jumamosi ile tena ni boxing day njia zote nyeupe ila pale sasa ni noma na nusu 🤣🤣🤣 nilivyoona wenzangu wanafungua nozzle namimi nikakaza mguu kidogo... Kuja kusanuka wazee waleee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado hujalipa mpaka leo? 😳😳😳😳😳Mi ilikuwa Jumamosi ile tena ni boxing day njia zote nyeupe ila pale sasa ni noma na nusu 🤣🤣🤣 nilivyoona wenzangu wanafungua nozzle namimi nikakaza mguu kidogo... Kuja kusanuka wazee waleee...
Sina mpango wa kulipa hadi February hapo. Labda wanishike usiku maana sitembei na gari bila giza kuingia.Na bado hujalipa mpaka leo? 😳😳😳😳😳
Gari lako ila linakutesa hivi [emoji16][emoji16][emoji16]Sina mpango wa kulipa hadi February hapo. Labda wanishike usiku maana sitembei na gari bila giza kuingia.
Askari ndio wananitesa 🤣Gari lako ila linakutesa hivi [emoji16][emoji16][emoji16]
Nextime usiache control number hewan hadi hapo nishajua namba ya gari, namba ya simu[emoji1]Hio ndio maana siwapendi hawa wapuuzi na deni ntalipa nikijiskia sio kipaumbele kwa sasa. Akikosa kosa anaamua kukubambikia lolote analoona rahisi kwake.
View attachment 2496283
Sawa broh nilipie kabisa mzee, mbona umeishia njianiNextime usiache control number hewan hadi hapo nishajua namba ya gari imeishia CHR namba ya simu imeishia 411 [emoji1]
.... Ila siku hizi kuna njia pale navy inatokea mikadi ya lami kabisa imekamilika kwahio huna sababu ya kwenda hadi ferry. Ukianza tu fence ya navy unakunja kulia.
German vs Japanese
hii inaitwa kacheze unakochezagaView attachment 2476181
German vs Japanese
hii inaitwa kacheze unakochezagaView attachment 2476181
Hao watakuwa wa ziwa rukwa maana perege wa nyasa ni wakubwa.Hapana mbeya niliwanunua wabichi nikanunua mafuta wakanikaangia huku nikisubiria [emoji1][emoji1][emoji1]
Ila hizo hino/fuso za injini nyuma zina body ngumu sana.Case hii ni lorry na mini bus. I nashangaa lorry kuchakaa hivyo sijui minibus itakuwaje. Ila hio minibus sijui ilipaa?
Hivi road ya mtera dom matengenezo yameisha?Hapana mbeya niliwanunua wabichi nikanunua mafuta wakanikaangia huku nikisubiria [emoji1][emoji1][emoji1]
Ukifata vibao sehemu masaa 4 utatumia masaa 7 hadi 8Hivi ndio madereva wote wanatakiwa kuwa, sidhani kama mwaka jana wote nimepigwa faini hata moja. Mimi ni mzee wa kufuata vibao.
Aaah! wapi mashimo kibaoHivi road ya mtera dom matengenezo yameisha?
Ile road haifai kutembea usiku sio kwa shimo zileAaah! wapi mashimo kibao
Pole mkuu ila hii sio sheria, hawaruhusiwi kuchukua chochote kutoka kwako, kuanzia driving license au car keys, wao wakuandikie fine, utagongana nayo mwisho wa mwezi kwenye address yakoHahahah nilishadakwa njia ya Ubungo CNG, walikuwa na mkuu wa kituo kwenye coaster kabisa 🤣🤣🤣 sitasahau ile siku nilipiga simu hadi nikachoka.
Mwamba kachukua funguo na kashanichorea. Chuma haina bima mzee ananiambia hadi ulipe bima lasivyo chombo inaenda kituoni.
Ilibidi nimpe wife ugonjwa wa kuzidiwa ndio akaniachia 😀
Mbona hakukuosea mkuu yuko sawaWanabambika kesi hawa, mi sikuona kibao, kukomalia akasema kwani sioni ni makazi ya watu kwanini nakimbia, speed yenyewe 60