Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu ilula ni mbali sana na makazi ya watu kama vile yameharibu ule muonekano!

Ukitoka kile kijiji cha mahenge wanachouza karanga barabarani, sogea mpaka ilipokuwa kitonga comfort then sogea tena mpaka pale zege ya mlima inapoanzia..

Hakika hicho kipande kinavutia sana, ni miongoni mwa maeneo machache yanayopendeza sana!!!

Msimu wa mvua, unaweza kuyasikia maji ya mto Lukosi yakiporomoka huko kando ya barabara!!
 
Jiandae kushambuliwa na wazee wa mikonga [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kale kaujenzi pale kwenye mzani wa mikese, kameongeza jam balaa!!
 
Kuna kitu una mtafuta Extrovert ila nakushauri usiyajaribu maji.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ni team Toyota chief, ila mziki wa Rover 110 ni habari nyingine kabisa. Landcruiser kamzidi Landrover 110 kwenye durability basiii.[emoji1373]

Ila linapokuja suala la barabara za aina zote Rover ni mfalme tena ukute engine ya diesel (200TDi au 300TDi)
 
Hio mashine ya kwenda. Irudishe road ikapige masafa kidogo.
 
Landrover zile ambazo zinaingiza vumbi ndani na hazina ac zimezidiwa na Land Cruiser kwenye mbio na Luxury. Ila kwa 4x4 ya Landrover ni nzuri. But starting from 2022 hio notion itazikwa na LC300
 
upo sahihi ndg yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…