Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwa muda nilioanza safari ni uwo ila badaa ya kutoka magomeni nilivyofika kimara kibo niliingia masijd kupata Swala ya Alfajir baada ya hapo ndio nikaanza safari, kwahiyo nimeanzia kuhesabu ule muda nilioondokea nyumbani na sio nilioanza safari baada ya kumaliza kuswali.
Ahaaa sawa kabisa
 
Jana nmepiga road trip dar to mbeya na mnyama crown athlete, itoshe kusema crown ni mnyama mkali. Kipande cha makambako mpaka wanging'ombe, ilembula hadi igawa check point nilikuwa nafuta kisahani every now and then. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kifanya hivyo.

Mambo yakikaa vizuri mbeleni nitatafuta sedan moja v6 ya kutambia barabarani na mimi. Kwa sasa nina kilitime hio naiendesha kifaza sana, haitaki mbwembwe.
 
Jana nmepiga road trip dar to mbeya na mnyama crown athlete, itoshe kusema crown ni mnyama mkali. Kipande cha makambako mpaka wanging'ombe, ilembula hadi igawa check point nilikuwa nafuta kisahani every now and then. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kifanya hivyo.

Mambo yakikaa vizuri mbeleni nitatafuta sedan moja v6 ya kutambia barabarani na mimi. Kwa sasa nina kilitime hio naiendesha kifaza sana, haitaki mbwembwe.
Pamoja sana. Vipo fuel consumption. Ilikua ya cc ngapi? Changamoto na tips za road trip safari ndefu ni zipi ulizokutana nazo?
 
Nina likizo mwezi wa 7 au wa 8 nataka road trip ya siku 5-6 (wiki moja).

Budget imenibana, Pamoja na mafuta (ukitoa service ya gari kabla sijatoka) iwe kati ya 750-900k hivi.

Sasa nina route mbili, moja ya kusini na kati na nyingine ya pwani na Arusha Arusha hivi.

Route ya kwanza:

Screenshot_20230505-123931.png



Hiyo Naanzia Dar to Kilwa Masoko. Nalala Usiku wa kwanza. Kesho yake natoka Kilwa naenda Lindi (Hapa Silali), kisha naenda NDANDA (Naweza kulala au kutolala).Siku ya tatu naenda SONGEA (Nalala) Kisha Makambako na Iringa silali naweza kulala Moro au nikavuka Dar. Jumla approximately kilometa 2000.


Route ya Pili.

Screenshot_20230505-124033.png


Hii ni nyepesi. Natoka Dar to Tanga. Nalala. Najua ni karibu ila nataka niende AMBONI CAVES na kama muda utaruhusu nitaenda MAGOROTO (bila gari nitaiacha Tanga).

Nikitoka Tanga nitaenda LUSHOTO hapo nitalala. Kesho yake mchana nitaenda MOSHI na ARUSHA. Kisha nitarudi Dodoma then Moro Dar.

Hii jumla kilometa 1700 hivi.

Sehemu nilizoweka herufi kubwa sujawahi kwenda au nilienda zamani sana zaidi ya 6 years+ kwahiyo nategemea kuzurura sana.

Vipi nime design vizuri according to my budget?

Nitajitahidi kulala sehemu affordable ili kuendana na budget, nitakua mwenyewe, nikifika mkoa usika muda mwingi nitakua nazurura bila gari ili nione mji na kusave wese pia.

Ushauri kwa wazoefu.
 
Nina likizo mwezi wa 7 au wa 8 nataka road trip ya siku 5-6 (wiki moja).

Budget imenibana, Pamoja na mafuta (ukitoa service ya gari kabla sijatoka) iwe kati ya 750-900k hivi.

Sasa nina route mbili, moja ya kusini na kati na nyingine ya pwani na Arusha Arusha hivi.

Route ya kwanza:

View attachment 2610769


Hiyo Naanzia Dar to Kilwa Masoko. Nalala Usiku wa kwanza. Kesho yake natoka Kilwa naenda Lindi (Hapa Silali), kisha naenda NDANDA (Naweza kulala au kutolala).Siku ya tatu naenda SONGEA (Nalala) Kisha Makambako na Iringa silali naweza kulala Moro au nikavuka Dar. Jumla approximately kilometa 2000.


Route ya Pili.

View attachment 2610770

Hii ni nyepesi. Natoka Dar to Tanga. Nalala. Najua ni karibu ila nataka niende AMBONI CAVES na kama muda utaruhusu nitaenda MAGOROTO (bila gari nitaiacha Tanga).

Nikitoka Tanga nitaenda LUSHOTO hapo nitalala. Kesho yake mchana nitaenda MOSHI na ARUSHA. Kisha nitarudi Dodoma then Moro Dar.

Hii jumla kilometa 1700 hivi.

Sehemu nilizoweka herufi kubwa sujawahi kwenda au nilienda zamani sana zaidi ya 6 years+ kwahiyo nategemea kuzurura sana.

Vipi nime design vizuri according to my budget?

Nitajitahidi kulala sehemu affordable ili kuendana na budget, nitakua mwenyewe, nikifika mkoa usika muda mwingi nitakua nazurura bila gari ili nione mji na kusave wese pia.

Ushauri kwa wazoefu.
Unatumia gari gani na ina engine gani mkuu?
 
Nina likizo mwezi wa 7 au wa 8 nataka road trip ya siku 5-6 (wiki moja).

Budget imenibana, Pamoja na mafuta (ukitoa service ya gari kabla sijatoka) iwe kati ya 750-900k hivi.

Sasa nina route mbili, moja ya kusini na kati na nyingine ya pwani na Arusha Arusha hivi.

Route ya kwanza:

View attachment 2610769


Hiyo Naanzia Dar to Kilwa Masoko. Nalala Usiku wa kwanza. Kesho yake natoka Kilwa naenda Lindi (Hapa Silali), kisha naenda NDANDA (Naweza kulala au kutolala).Siku ya tatu naenda SONGEA (Nalala) Kisha Makambako na Iringa silali naweza kulala Moro au nikavuka Dar. Jumla approximately kilometa 2000.


Route ya Pili.

View attachment 2610770

Hii ni nyepesi. Natoka Dar to Tanga. Nalala. Najua ni karibu ila nataka niende AMBONI CAVES na kama muda utaruhusu nitaenda MAGOROTO (bila gari nitaiacha Tanga).

Nikitoka Tanga nitaenda LUSHOTO hapo nitalala. Kesho yake mchana nitaenda MOSHI na ARUSHA. Kisha nitarudi Dodoma then Moro Dar.

Hii jumla kilometa 1700 hivi.

Sehemu nilizoweka herufi kubwa sujawahi kwenda au nilienda zamani sana zaidi ya 6 years+ kwahiyo nategemea kuzurura sana.

Vipi nime design vizuri according to my budget?

Nitajitahidi kulala sehemu affordable ili kuendana na budget, nitakua mwenyewe, nikifika mkoa usika muda mwingi nitakua nazurura bila gari ili nione mji na kusave wese pia.

Ushauri kwa wazoefu.
Vp mkuu nikupe kampani ili kuepusha kusinzia sinzia njiani!!
 
Pamoja sana. Vipo fuel consumption. Ilikua ya cc ngapi? Changamoto na tips za road trip safari ndefu ni zipi ulizokutana nazo?
Gari ilikua ni crown athlete cc 2500.
Dar tulipiga full tank lita 70. Tukaamsha popo hadi moro mjini tukapoa F2 florida kama 1hr. Trip ikasoma 176km (from kimara baruti ndo niliset trip 0). Moro nikalamba vichwa viwili nikarudi tena sheli kurudishia full tank, zikaingia 15ltrs (average 11km per litre).

From moro nikaamsha popo tena hadi iringa mjini, tukazama sheli moja ipo kushoto mbele ya ipogolo. Tukapata kahawa na bites. Pale nikaongeza wese la 50k, almost 17ltrs.

From iringa nikaamsha popo hadi mbeya soweto, trip ikasoma 816km, na fuel gauge ikawa below half tank. So kwa makadirio tulitumia almost 75 ltrs.

Changamoto

-kukosa uzoefu wa safari za mara kwa mara, especially za usiku. Kuna wakati IT ana mazda verissa au toyota allion ila anakufua vizuri tu na crown yako sababu ya kutoijua vizuri barabara.
- changamoto ya pili, katika abiria wale wawili tuliopakia, mmojawapo alikua msumbufu sana. Tulisimama mara 3 njiani ili avute sigara kutoa alosto, pia alikua anataka nifukuzane na IT ili awahi anapoenda, next time sipakii abiria nimejifunza.

Tips

-Mchana nilipumzika vya kutosha, usiku sikuchoka sana. Pia kazi zangu ni za shift yani day and night so nina uzoefu mkubwa sana wa kukesha hivyo kutoboa usiku mzima ilikua rahisi.
-najitahidi kuwa active kwa kucheza na taa mara kwa mara, beam na full lights, linafanya macho yasipate fatigue hivyo unakua active.
-nilikunywa sana maji, nilifungua vioo full upepo ndani na miziki kama yote ili mradi niwe un comfortable nisilale.
 
Gari ilikua ni crown athlete cc 2500.
Dar tulipiga full tank lita 70. Tukaamsha popo hadi moro mjini tukapoa F2 florida kama 1hr. Trip ikasoma 176km (from kimara baruti ndo niliset trip 0). Moro nikalamba vichwa viwili nikarudi tena sheli kurudishia full tank, zikaingia 15ltrs (average 11km per litre).

From moro nikaamsha popo tena hadi iringa mjini, tukazama sheli moja ipo kushoto mbele ya ipogolo. Tukapata kahawa na bites. Pale nikaongeza wese la 50k, almost 17ltrs.

From iringa nikaamsha popo hadi mbeya soweto, trip ikasoma 816km, na fuel gauge ikawa below half tank. So kwa makadirio tulitumia almost 75 ltrs.

Changamoto

-kukosa uzoefu wa safari za mara kwa mara, especially za usiku. Kuna wakati IT ana mazda verissa au toyota allion ila anakufua vizuri tu na crown yako sababu ya kutoijua vizuri barabara.
- changamoto ya pili, katika abiria wale wawili tuliopakia, mmojawapo alikua msumbufu sana. Tulisimama mara 3 njiani ili avute sigara kutoa alosto, pia alikua anataka nifukuzane na IT ili awahi anapoenda, next time sipakii abiria nimejifunza.

Tips

-Mchana nilipumzika vya kutosha, usiku sikuchoka sana. Pia kazi zangu ni za shift yani day and night so nina uzoefu mkubwa sana wa kukesha hivyo kutoboa usiku mzima ilikua rahisi.
-najitahidi kuwa active kwa kucheza na taa mara kwa mara, beam na full lights, linafanya macho yasipate fatigue hivyo unakua active.
-nilikunywa sana maji, nilifungua vioo full upepo ndani na miziki kama yote ili mradi niwe un comfortable nisilale.
Umetisha mzee.

Sijapenda uyo abiria wako aisee.
 
Gari ilikua ni crown athlete cc 2500.
Dar tulipiga full tank lita 70. Tukaamsha popo hadi moro mjini tukapoa F2 florida kama 1hr. Trip ikasoma 176km (from kimara baruti ndo niliset trip 0). Moro nikalamba vichwa viwili nikarudi tena sheli kurudishia full tank, zikaingia 15ltrs (average 11km per litre).

From moro nikaamsha popo tena hadi iringa mjini, tukazama sheli moja ipo kushoto mbele ya ipogolo. Tukapata kahawa na bites. Pale nikaongeza wese la 50k, almost 17ltrs.

From iringa nikaamsha popo hadi mbeya soweto, trip ikasoma 816km, na fuel gauge ikawa below half tank. So kwa makadirio tulitumia almost 75 ltrs.

Changamoto

-kukosa uzoefu wa safari za mara kwa mara, especially za usiku. Kuna wakati IT ana mazda verissa au toyota allion ila anakufua vizuri tu na crown yako sababu ya kutoijua vizuri barabara.
- changamoto ya pili, katika abiria wale wawili tuliopakia, mmojawapo alikua msumbufu sana. Tulisimama mara 3 njiani ili avute sigara kutoa alosto, pia alikua anataka nifukuzane na IT ili awahi anapoenda, next time sipakii abiria nimejifunza.

Tips

-Mchana nilipumzika vya kutosha, usiku sikuchoka sana. Pia kazi zangu ni za shift yani day and night so nina uzoefu mkubwa sana wa kukesha hivyo kutoboa usiku mzima ilikua rahisi.
-najitahidi kuwa active kwa kucheza na taa mara kwa mara, beam na full lights, linafanya macho yasipate fatigue hivyo unakua active.
-nilikunywa sana maji, nilifungua vioo full upepo ndani na miziki kama yote ili mradi niwe un comfortable nisilale.
Jamaa anakupangia kabisa ufukuzane ili yeye awahi anapoenda. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anaandika mzee Joseph Magee Jandwa
__
Leo imetimia miaka 25 tangu ajali ya basi iliyosababisha vifo vya abiria 96 na majeruhi 9, ilipotokea jioni ya tar 3/5/1998. Kihistoria haijawahi kutokea ajali mbaya ya basi iliyoua watu wengi kama hiyo.

Mimi ni miongoni mwa wale 9 tulionusurika kwa neema ya Mungu. Ajali hii ilihusisha basi la kampuni ya NO CHALLENGE ambayo baada ya ajali ilibadili jina na kujiita TASHRIF. Ajali ilitokea Mkoani Tanga, Wilaya Muheza, kijiji cha Kibanda. Bus lenye namba za Usajili TZK 960 lilikuwa likitoka Tanga kuelekea DSM.

Kipindi hicho kulikuwa na mvua nyingi zilizobatizwa jina Mvua za El-Nino. Tulipofika kijijini hapo tulikuta mabasi mengi yamesimama kutokana na kujaa maji kwenye mto. Kuanzia mabasi makubwa hadi madogo kama Coaster, Hiace na gari binafsi.

Kijiji cha Kibanda kuna mto uitwao Msangazi. Ulikua umejaa maji. Basi letu lilijaribu kuvuka ng'ambo ya pili ili kuendelea na safari. Baadhi ya abiria wa mabasi mengine walidandia basi letu ili wavuke kuendelea na ratiba zao. Lakini halikuweza kufika ng'ambo. Lilisombwa na maji. Likasukumwa mtoni na kuzama kabisa.

Watu 96 wakapoteza maisha, wakiwemo wale waliodandia. Sehemu kubwa ya abiria walifia ndani ya basi kwa kushindwa kutoka. Wachache waliotokea madirishani walikufa kwa kusombwa na maji yenye kasi ya mto huo. Ilikua simanzi kubwa.

Pamejengwa mnara wa kumbukumbu ya wafu na majina yao. Lakini naambiwa vijana wa vyuma chakavu wamekwanyua kibao kilichokuwa kimeorodhesha majina ya wafu 72 waliotambulika na wengine 24 ambao hawakutambuliwa.

Katika wale 9 tuliosalimika, alikuwepo Mzee Ramadhani Kimbunga Dereva wa basi hilo. Bahati mbaya pamoja na kuokoka kwenye ajali hiyo alikuja kufa miezi michache baadae kwa kifo cha kawaida. Manusura wengine wawili nao walishafariki kwa nyakati tofauti, na tuliosalia hai mpaka sasa ni 6 tu.

Baada ya ajali hiyo kampuni ya NO CHALLENGE ikabadili jina kuwa TASHRIF. Ikumbukwe kabla ya hapo ilikua ikiitwa AIR SHENGENA. Ilipopata ajali ya kugonga treni Korogwe mwaka 1996 ikaitwa NO CHALLENGE. Na baada ya ajali ya maji Muheza ikaitwa TASHRIF. Nimeona niwakumbushe maana wengi wamesahau. Tujifunze kupitia kisa hiki ili kuepusha ajali nyingine za aina hii.!
 
Back
Top Bottom