Moja ya gari zuri sana sema watu hawajaijulia. Nilikua nayo iyo chuma aisee.
Kwa nnavojua hazina tofauti zaidi ya badge. Vingine vyote vinashare kasoro suspensions. Runx ni sport. Allex sio.Kati ya hii RunX na Alex ipi unaipendekeza na tofauti yake ni ipi hasa? Hua zinanichanganya ila nawazia mojawapo hasa yenye 4wD
Kwa nnavojua hazina tofauti zaidi ya badge. Vingine vyote vinashare kasoro suspensions. Runx ni sport. Allex sio.
Mtu akisema sport suspension, inamaanisha gari iko stiff. Hainesi. Ngumu. Harsh ride. Wakati soft suspension inakua laini kama Crown.Mwamba usinichoke, hapo kwenye sport suspension na isiyokua nayo funguka kidogo.
Nataka ka gari ka gumu. Kuna muda Hadi nilikua napigia mahesabu Jimny.
Mwache achukue jimy adundishwe na makorogeshenMtu akisema sport suspension, inamaanisha gari iko stiff. Hainesi. Ngumu. Harsh ride. Wakati soft suspension inakua laini kama Crown.
Uchawi wa ugumu wa gari ni location uliyopo, matumizi na utunzani.
Ata ukipewa Tank kama sio mtunzaji, itakufa tu.
We unakaa wapi na matumizi makuu ni yepi kwani? Jimny muachie Extrovert
3 doors hapana.Mwache achukue jimy adundishwe na makorogeshen
Mtu akisema sport suspension, inamaanisha gari iko stiff. Hainesi. Ngumu. Harsh ride. Wakati soft suspension inakua laini kama Crown.
Uchawi wa ugumu wa gari ni location uliyopo, matumizi na utunzaji.
Ata ukipewa Tank kama sio mtunzaji, itakufa tu.
We unakaa wapi na matumizi makuu ni yepi kwani? Jimny muachie Extrovert
Dualis sishauri. Runx ipo chini, vipi njia haitakua na changamoto.Lami ipo kama 2.5 km Sasa Dualis ukiipeleka kidogo imeshaanza kusumbua bush.
Unyamwezi mno3 doors hapana.
Dualis sishauri. Runx ipo chini, vipi njia haitakua na changamoto.
Chukua Rav 4 second generation au 3rd, Suzuki 3rd generation itakufaa zaidiImenikinai mtu akija na 7M namuuliza uko serious?
Zile gari changamoto
Chukua Rav 4 second generation au 3rd, Suzuki 3rd generation itakufaa zaidi
mbambabay- songea- Iringa- moro to dar. (3gr kifuani)Usisahau ka video tajiri,Safari njema huku ukiwa na collection matata ya madilu na Ferreeee na kanda bongoman kwa mbaaali[emoji3] safari inakuwa fupi saana.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji253][emoji253][emoji1]Tajiri mi ni HipHop [emoji91]
Ila safarini pia sikosi ngoma ya papa lolo-fan fan [emoji28]
View attachment 2765500
Dualis ushaitoa au bado ipo?Sasa ipo Volvo na Dualis. kabla sijapeleka Dualis chuma chakavu, nimevutiwa na Alex au RanX.
Dualis ushaitoa au bado ipo?