Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
KD na GD engine zote ni direct injection (D-4D).Wazee hivi kuna 2KD engine ambayo sio D-4D?
Kutokea huko kigamboni mpaka Barra beach ni kipande cha kutosha.....ila ungeenjoi sanaNdege beach tayari.. hiyo dynasty ndio naisikia sahii jamani.
Kweli, ukiwa mbali na city center mpaka upafikie ni mara 2 kila baada ya miezi. Sio kazi nyepesi..
Nimekuja wakati mbaya, jua linachoma sana.. nikawa siwezani kabisa, mbali nilipoenda ni Kigamboni’ huko Barra niliambiwa nisiondoke sijaenda. Na hata sikufanikiwa
Asante mkuu, kuna mtu alikuwa ananishawishi nichukue Hilux 2012 akisema sio D-4D. Wakati ubavuni naona badge ya D-4D.Zote ni D-4D
Direct Common Rail Injection
Hahaaaa owkeyy!Unishtue ukija, siku moja moja ule hela zangu.
Nami naanza mwezi wa pili sasa....Nyie watu siku hizi hampigi road rrip?! Naanza rasmi mwezi ujao
Kazungula border botswana kuingia zambia nchi nne zinakutana kwenye river zambeziEeh wapi hii?
Tunazipiga kama kawaida mkuu. Arusha nowNyie watu siku hizi hampigi road rrip?! Naanza rasmi mwezi ujao
Utasikia wese.Magari private yamepungua sana kwenye night trips. Barabara imepoa sana. Sasahivi ni unaongozana na mabasi safari nzima, private za kuhesabu.
Sababu itakuwa ni nini?
Barabara inafaa sana pale ambapo una safari ina vipande au vituo vingi, ratiba inayobadilika badilika na sehemu unazokwenda sio mjiniUtasikia wese.
Ila wadau wengi wameacha kutumia barabara kwa masafa marefu. Last time kuvuka mikoa mitano kwa barabara sijui ilikua mwaka gani
Yes mkuu hii sehemu poa sana,mara nguruwe mwitu kakatisha hapo kwenye Engen Garage, hapo mkuu kwangu ni kula kushoto towards Namibia 🇳🇦Kazungula border botswana kuingia zambia nchi nne zinakutana kwenye river zambezi
Zambia, botswana, namibia, zimbabwe
Acha chuma iendee wwHii mmenishinda, kipaji hiko sina.
umeme huuHii chuma ninayo namba BQT nmeiweka garage kwa ajili ya kusaidia vijana ila nimeielewa sana wallah.View attachment 2466079