Kwenye njia mbovu nikiwa mbele yako utatukana matusi yote, nakwepa shimo moja moja taratiiibu.
Kufukia mashimo hovyo majibu yake utayapata kwa fundi.Mi huwa natukana tusi moja tuu ....( ) halafu natafuta usawa wa kumpita.
Kimoyomoyo najisemea muache kutongoza kwenye magari mtagongwa 😅.
Ukikuta mwanaume anaendesha amempakia demu ambaye ndo anamtongoza hajakubaliwa bado, usiombe awe mbele yako anaendesha taratibu ili asifike haraka anabembeleza akubaliwe khaa...!!
Ila ukilibembeleza gari kama paka linajua kudeka kidogo tuu linalia hiiii hiiii 😅😆😆😆
Tupige basi valentine's Day trip!
Kufukia mashimo hovyo majibu yake utayapata kwa fundi.
Barabarani mwenye haraka unampisha aende, ila ukifata mihemuko ya mtu ane kufatia unaeza haribu gari , ajari n.kKwenye njia mbovu nikiwa mbele yako utatukana matusi yote, nakwepa shimo moja moja taratiiibu.
K Matata katika ubora wake....!Wuuhuuuuu now you are talking..... 😘😘😘😘
Aaaiiiilaaaavuuuuyuuuuuuuu aaahahahahahahaaaa
Utafikiri umeniuliza will you marry me .....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kabla hujamaliza mie nshamema Yeeeeeeesssssssa na kidole nshakiweka mdomoni kwako ili univalishe pete kwa lips. (Naipenda hii kupima kama mwanaume anaweza kulenga penyewe au mpaka apekeche pekeche na kupekenyua 😆😆😆😆😆)
Well bangi za Kasie hizi achana nazo.
About Valentine trip, if this is serious please let’s go chemba sipendi nzi wengi. Najua hii habari itafatiliwa na wengi na mie nataka tuende trip na kurudi salama 😋.
Let’s go inbox please, my answer is yes.
Yaani am exited utasema nimemaliza deni la vikoba 😆😆😆😆.
Wakikuona umekaa kusafiri safari ndefu wanakubambikia kesi.Wanavuna....usipokuwa makini kwenye 50kph zone lazima wakulambe
Nafanya kazi hata nikiwa nyumbani.Duh likizo yako ndefu!
Ilikuwa maeneo ya pale uchira.Duh wewe shujaa!
Hii mtu hata huipigii mahesabu ya kuivuta asee na vipato vyetu hivi. Twabaki kuziona tu
Sio kwamba upambane ufikie level za Kusaga au Mosha maanake wanamiliki gari za aina hizo
Ufisadi unaumiza watu wengi. Gari nzuri hiyo uipate kwa jasho lako 100% , lisilo na dhuruma hata kidogo. Maana unakuwa na amani naloMkuu hii ukitaka kuivuta ingia kwenye siasa uukwae uwaziri wa utalii au fedha na ufanye ufisadi haswa unaikamata.
K Matata katika ubora wake....!
Ha ha ha siasa shortcut sio. Hizi njia nyingine unaweza kuchukua miaka 30!