ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Mjapani naturally aspirated zake sio za kuchukulia poa kabisa. Wenyewe wanazijua ndio maana VQ35DE ikapewa Best engine of the year award kwa miaka 6Hapo ndipo anapojifichia mjerumani[emoji23][emoji23][emoji23] na kuondosha speed limit sababu ana autobhan! Kwake ujerumani ana barabara za ku support 300KPH+ ndio maana anafyatua gari zenye speedometer kubwa kuliko japan [emoji16]!
Ila bila turbocharging anaachwa uchi mapema tu na mjapani [emoji23]! Huwezi compare natural aspirated vs turbocharged engines.
Mimi nina imani hio XT 2.0 naweza ichapa pia japo nina 1.8L nikijitia wazimu tu.Personally nimeobserve hii maneno last week usiku, J5 kuamkia Alhamisi si tukiwa na Subaru Forester XT 2.0 kuna mwamba alikua na Ipsum 2.4Ltr. Tuliburuzana buruzana nae hiki kipande cha kuanzia Sangasanga kuitafuta Doma alipoamua kufanya kazi sasa na kwenda zake daah alipepea mnooo hatukumuona tena, mbali na 'jiko' la chombo 'wehu' flani hivi wa dereva nao una nafasi kubwa kwenye matokeo. Dere wa Toyota Ipsum T...DFG salute kama upo humu nilikubali show yako
Yah hio engine jamaa walitengeneza kwa kweli, one of the best Nissan engines in the market.Mjapani naturally aspirated zake sio za kuchukulia poa kabisa. Wenyewe wanazijua ndio maana VQ35DE ikapewa Best engine of the year award kwa miaka 6
Barabara ya Kamwanga Feri hadi Sengerema wameshaweka Lami?Mpaka Geita (wanapoenda wengi) 60km but free run inaendelea. Tumeenda nayo more than 200km nikafika. Sijui mbele huko kama pana uchawi.
Kuna vijiji hapo katikati watu wanatembea pembezoni so unachill kiaina but viko far between. Road quality is good.
Ni mtazamo tu masela msijenge chuki.Halafu hii style ya kujibu imefanya nijue wewe ni nani. Nilikuwa najiuliza umepotelea wapi?!
Ha ha ha sasa mkikutana wehu tupu I doubt aisee, sijui stability ya Opa yako on ground ukiwa 160Kph plus, but this almost all Subies are very stable ni ishu ya dere kujitoa ufahamu tu na kuijua njiaMimi nina imani hio XT 2.0 naweza ichapa pia japo nina 1.8L nikijitia wazimu tu.
Alijitutumua ila abiria wangu wakawa wanamcheka tu wananitia uchizi kabisa...Hii speedlimiter ndio inaudhi ila hio engine ya Fuga inafika 260KPH bila shida. Hahahah Harrier ali risk sana, ile gari kwa ground clearance yake kuvuka 140KPH ni very risky
Sijawahi fika huko mkuu mwisho 130kph sababu ya usalama wangu tu mkuu ila still iko stable. Ikiwa na full passengers.Ha ha ha sasa mkikutana wehu tupu I doubt aisee, sijui stability ya Opa yako on ground ukiwa 160Kph plus, but this almost all Subies are very stable ni ishu ya dere kujitoa ufahamu tu na kuijua njia
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kamwanga feri ndio kigongo-busisi? Kama ndio hiyo ni lami full mpaka sengerema and beyond. Lami nzuri sana.Barabara ya Kamwanga Feri hadi Sengerema wameshaweka Lami?
Unajitoa tu akili and with the right environmentMimi nina imani hio XT 2.0 naweza ichapa pia japo nina 1.8L nikijitia wazimu tu.
Hilo dude liko stable sana katika speeds zote naona, Fuga!Alijitutumua ila abiria wangu wakawa wanamcheka tu wananitia uchizi kabisa...
Wese ndio balaa, ili nimwache nilishuka consumption mpaka 5.5kmpl nikasema potelea mbali inanigharimu ila namtia adabu. Baadaye nikaanza kuongozana na washkaji at 130kmph ndio kidogo nikamaliza safari na average ya 7.7kmpl
View attachment 1697355
Abiria unapelekwa wapi sahizi 😂😂😂? Umefunga mkanda lakini
Jamaa anahisi engine za Toyota zote za HP ndogo?Hata hao wengine wanazo hizo gari zenye ma HP mengi zikiwa in form of stock mfano: lexus RC-F 472HP ,lexus GS-F 467HP, Lexus LFA 553 HP, Nissan GT-R 600 HP etc
M3/M5 nyingi zinakua stock under warranty baada ya hapo wamiliki wengi wanazifanyia mods.
Baada ya warranty kuisha M3/M5 nyingi zinazokua mtaani ni modded.,wenye kuziacha gari zao stock ni wachache sana.
Engine zote za Inline form factor ni rahisi kuzi mod tofauti na za V- Form factor!Kifupi 2jzgte ni engine yenye room kubwa ya improvement sio?
Kwa hiz speed kwenye pikipiki inabidi uvute bangi nyingi sana kabla hujaanza safari na uvae full gears 😂😂😂haya Madude kweli yanakimbia, kuna mdau humu alisema anatoka Mwanza hadi Dar masaa 12, naweza kidogo nikaamini maana nimeona speed mpaka 299 Km/h bado mtu anapitwa kama kasimama.
kwa vile barabara zetu si nzuri sana ina maana kilomita 1200 ni masaa ma4 basi Bukoba Dar masaa 12 yawezekana
View attachment 1692181
View attachment 1692182
Mkuu huitendei haki 1.8Ltr, I know sio vipande vyote vya kulaza mshale but zipo sehemu unalaza vizuuuri bila shida yoyote. Mwisho huo uusemao ni speed ninayotembea nikiwa na Vitz 1.0 Ltr na tena bila mafua yoyote. Dar - Dom, Dom - Dar maxi 7 Hrs na supu inanyweka Moro na observation ya 50Kph zones kukishakua kweupe plus michoro ya overtaking hapa na pale kwenye makazi, kwingineko michoro yafukiwa if safe to do so. Safari mara zote huanza around 5am kuepuka miyeyusho ya mabusSijawahi fika huko mkuu mwisho 130kph sababu ya usalama wangu tu mkuu ila still iko stable. Ikiwa na full passengers.
Hahahah ipo siku nitajitoa ufahamu 😂😂😂 nitest kumaliza 180KPH maana limiter imewekwa kwenye 190KPH.Mkuu huitendei haki 1.8Ltr, I know sio vipande vyote vya kulaza mshale but zipo sehemu unalaza vizuuuri bila shida yoyote. Mwisho huo uusemao ni speed ninayotembea nikiwa na Vitz 1.0 Ltr na tena bila mafua yoyote. Dar - Dom, Dom - Dar maxi 7 Hrs na supu inanyweka Moro na observation ya 50Kph zones kukishakua kweupe plus michoro ya overtaking hapa na pale kwenye makazi, kwingineko michoro yafukiwa if safe to do so. Safari mara zote huanza around 5am kuepuka miyeyusho ya mabus
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hahahahah mgongo wa chura una engine ya M4 hapo ndio utajua hujui 😂😂😂Hizo unakuta imewekwa mashine ingine. Sasa ukifukuza hio ukidhani ni mgongo wa chura uliozoea unaumbuka
Wewe ni mnyonge tafuta hata 4GR upate wa kuonea.Hahahah 200KM ni mkoa kwa mkoa hio kabisa 😂😂😂!!!
Hapo lazma mtunishiane vifua ila hata mie ningekalisha mapimbi kadhaa. Vanguard ilinifua last time 😁😁😁 yule boya alikuwa anaenda 150KPH
Ikifika around 185/190kph engine inakata, nilipiga na Crown. Engine unaisikia kabisa kama ina-cease.Hahahah ipo siku nitajitoa ufahamu 😂😂😂 nitest kumaliza 180KPH maana limiter imewekwa kwenye 190KPH.
Shida ile speedometer yake ni ya digital kwahio huoni mwisho ila namba zinaongezeka tu 😁😁😁