Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hapo ndipo anapojifichia mjerumani[emoji23][emoji23][emoji23] na kuondosha speed limit sababu ana autobhan! Kwake ujerumani ana barabara za ku support 300KPH+ ndio maana anafyatua gari zenye speedometer kubwa kuliko japan [emoji16]!

Ila bila turbocharging anaachwa uchi mapema tu na mjapani [emoji23]! Huwezi compare natural aspirated vs turbocharged engines.
Mjapani naturally aspirated zake sio za kuchukulia poa kabisa. Wenyewe wanazijua ndio maana VQ35DE ikapewa Best engine of the year award kwa miaka 6
 
Personally nimeobserve hii maneno last week usiku, J5 kuamkia Alhamisi si tukiwa na Subaru Forester XT 2.0 kuna mwamba alikua na Ipsum 2.4Ltr. Tuliburuzana buruzana nae hiki kipande cha kuanzia Sangasanga kuitafuta Doma alipoamua kufanya kazi sasa na kwenda zake daah alipepea mnooo hatukumuona tena, mbali na 'jiko' la chombo 'wehu' flani hivi wa dereva nao una nafasi kubwa kwenye matokeo. Dere wa Toyota Ipsum T...DFG salute kama upo humu nilikubali show yako
Mimi nina imani hio XT 2.0 naweza ichapa pia japo nina 1.8L nikijitia wazimu tu.
 
Mpaka Geita (wanapoenda wengi) 60km but free run inaendelea. Tumeenda nayo more than 200km nikafika. Sijui mbele huko kama pana uchawi.


Kuna vijiji hapo katikati watu wanatembea pembezoni so unachill kiaina but viko far between. Road quality is good.
Barabara ya Kamwanga Feri hadi Sengerema wameshaweka Lami?
 
Mimi nina imani hio XT 2.0 naweza ichapa pia japo nina 1.8L nikijitia wazimu tu.
Ha ha ha sasa mkikutana wehu tupu I doubt aisee, sijui stability ya Opa yako on ground ukiwa 160Kph plus, but this almost all Subies are very stable ni ishu ya dere kujitoa ufahamu tu na kuijua njia

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Hii speedlimiter ndio inaudhi ila hio engine ya Fuga inafika 260KPH bila shida. Hahahah Harrier ali risk sana, ile gari kwa ground clearance yake kuvuka 140KPH ni very risky
Alijitutumua ila abiria wangu wakawa wanamcheka tu wananitia uchizi kabisa...

Wese ndio balaa, ili nimwache nilishuka consumption mpaka 5.5kmpl nikasema potelea mbali inanigharimu ila namtia adabu. Baadaye nikaanza kuongozana na washkaji at 130kmph ndio kidogo nikamaliza safari na average ya 7.7kmpl

20210208_084021.jpg
 
Ha ha ha sasa mkikutana wehu tupu I doubt aisee, sijui stability ya Opa yako on ground ukiwa 160Kph plus, but this almost all Subies are very stable ni ishu ya dere kujitoa ufahamu tu na kuijua njia

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Sijawahi fika huko mkuu mwisho 130kph sababu ya usalama wangu tu mkuu ila still iko stable. Ikiwa na full passengers.
 
Alijitutumua ila abiria wangu wakawa wanamcheka tu wananitia uchizi kabisa...

Wese ndio balaa, ili nimwache nilishuka consumption mpaka 5.5kmpl nikasema potelea mbali inanigharimu ila namtia adabu. Baadaye nikaanza kuongozana na washkaji at 130kmph ndio kidogo nikamaliza safari na average ya 7.7kmpl

View attachment 1697355
Hilo dude liko stable sana katika speeds zote naona, Fuga!
Harrier inahamaga ukikunja kona kali kidogo tu inabiringika
 
Hata hao wengine wanazo hizo gari zenye ma HP mengi zikiwa in form of stock mfano: lexus RC-F 472HP ,lexus GS-F 467HP, Lexus LFA 553 HP, Nissan GT-R 600 HP etc

M3/M5 nyingi zinakua stock under warranty baada ya hapo wamiliki wengi wanazifanyia mods.

Baada ya warranty kuisha M3/M5 nyingi zinazokua mtaani ni modded.,wenye kuziacha gari zao stock ni wachache sana.
Jamaa anahisi engine za Toyota zote za HP ndogo?
 
haya Madude kweli yanakimbia, kuna mdau humu alisema anatoka Mwanza hadi Dar masaa 12, naweza kidogo nikaamini maana nimeona speed mpaka 299 Km/h bado mtu anapitwa kama kasimama.
kwa vile barabara zetu si nzuri sana ina maana kilomita 1200 ni masaa ma4 basi Bukoba Dar masaa 12 yawezekana
View attachment 1692181
View attachment 1692182
Kwa hiz speed kwenye pikipiki inabidi uvute bangi nyingi sana kabla hujaanza safari na uvae full gears 😂😂😂
 
Sijawahi fika huko mkuu mwisho 130kph sababu ya usalama wangu tu mkuu ila still iko stable. Ikiwa na full passengers.
Mkuu huitendei haki 1.8Ltr, I know sio vipande vyote vya kulaza mshale but zipo sehemu unalaza vizuuuri bila shida yoyote. Mwisho huo uusemao ni speed ninayotembea nikiwa na Vitz 1.0 Ltr na tena bila mafua yoyote. Dar - Dom, Dom - Dar maxi 7 Hrs na supu inanyweka Moro na observation ya 50Kph zones kukishakua kweupe plus michoro ya overtaking hapa na pale kwenye makazi, kwingineko michoro yafukiwa if safe to do so. Safari mara zote huanza around 5am kuepuka miyeyusho ya mabus

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huitendei haki 1.8Ltr, I know sio vipande vyote vya kulaza mshale but zipo sehemu unalaza vizuuuri bila shida yoyote. Mwisho huo uusemao ni speed ninayotembea nikiwa na Vitz 1.0 Ltr na tena bila mafua yoyote. Dar - Dom, Dom - Dar maxi 7 Hrs na supu inanyweka Moro na observation ya 50Kph zones kukishakua kweupe plus michoro ya overtaking hapa na pale kwenye makazi, kwingineko michoro yafukiwa if safe to do so. Safari mara zote huanza around 5am kuepuka miyeyusho ya mabus

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hahahah ipo siku nitajitoa ufahamu 😂😂😂 nitest kumaliza 180KPH maana limiter imewekwa kwenye 190KPH.

Shida ile speedometer yake ni ya digital kwahio huoni mwisho ila namba zinaongezeka tu 😁😁😁
 
Hahahah ipo siku nitajitoa ufahamu 😂😂😂 nitest kumaliza 180KPH maana limiter imewekwa kwenye 190KPH.

Shida ile speedometer yake ni ya digital kwahio huoni mwisho ila namba zinaongezeka tu 😁😁😁
Ikifika around 185/190kph engine inakata, nilipiga na Crown. Engine unaisikia kabisa kama ina-cease.
 
Back
Top Bottom