Na ile migongo kama tank haina shield unalitoboa chap tu.Aaah yale noma sana aisee, kutembea kwenye zone yako tu noma bado malori nayo yametunguliwa huko af yanakupiga taa kutoka nje ni kama unajipiga mtama kitu kama gema yani, overtaking ya kuchomolea hapa kwa hapa huwezi lazima ujipe nafasi kubwa upande 'tuta' moja moja kuhama lane ufanye overtaking kisha urudi kwa kuyapanda tena matuta daah, panachosha mnooo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Laiti barabaraba zote nchi hii zingekua na hali kama ya mkeka wa Tunduru - Songea, ama Dom - Kondoa - Babati - Arsh, Ama Igawa - Mafinga, safari zingekua starehe kwa wote dereva na abiria. Ila udereva wetu ni mahangaiko kweli kweli na iliqa ni usiku ndio mbaya zaidi, pot holes zisizotarajiwa, sharp humps daahNa ile migongo kama tank haina shield unalitoboa chap tu.
Laiti barabaraba zote nchi hii zingekua na hali kama ya mkeka wa Tunduru - Songea, ama Dom - Kondoa - Babati - Arsh, Ama Igawa - Mafinga, safari zingekua starehe kwa wote dereva na abiria. Ila udereva wetu ni mahangaiko kweli kweli na iliqa ni usiku ndio mbaya zaidi, pot holes zisizotarajiwa, sharp humps daah
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Ile barabara ni fupi, ila gari lazima uichoshe ni barabara mbaya sana. Japo nakumbuka JPM alitoa maelekezo kwa Eng Mfugale ijengwe kipindi cha kampeni. Nahisi inaweza ikawa kwenye michakatoNiliwasikia watu pale feri leo wanaiongelea hiyo kwamba kuna njia fupi ila rough road. So lami bado.
Ndio ile aliyompigia simu akiwa kwenye kampeni akasema " wewe jenga hizo hela nitajua nitakapozipata " sio?Ile barabara ni fupi, ila gari lazima uichoshe ni barabara mbaya sana. Japo nakumbuka JPM alitoa maelekezo kwa Eng Mfugale ijengwe kipindi cha kampeni. Nahisi inaweza ikawa kwenye michakato
Ongeza Shinyanga - Lamadi via Maswa / BariadiLaiti barabaraba zote nchi hii zingekua na hali kama ya mkeka wa Tunduru - Songea, ama Dom - Kondoa - Babati - Arsh, Ama Igawa - Mafinga, safari zingekua starehe kwa wote dereva na abiria. Ila udereva wetu ni mahangaiko kweli kweli na iliqa ni usiku ndio mbaya zaidi, pot holes zisizotarajiwa, sharp humps daah
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Ndio hiyo hiyo, ni njia fupi sana ile, kwanza ukiibuka unatokea town kabisa pale mwanza kati kama unatokea Sengerema.Ndio ile aliyompigia simu akiwa kwenye kampeni akasema " wewe jenga hizo hela nitajua nitakapozipata " sio?
Ongeza Shinyanga - Lamadi via Maswa / Bariadi
Sasa tunahitaji sana consistency kwenye ubora wa barabara zetu hizi kuanzia miradi mipya mpaka maintenance ya zilizopo zinazosimamiwa na Tanroads ndani ya mkoa mmoja hadi mkoa hadi mkoa. Mfano rahisi before kipindi cha kampeni barabara ya Dom - Mtera ilikua na mahandaki ya kufa mtu, same Tanroad mkoa ndio inasimamia Dom - Moro, Dom - Bahi, na Dom - Kondoa. Sasa hii ya Kondoa ni mpya so case yake ni tofauti kidogo, but hii ya Bahi na Dom -Gairo since zapitwa sana na wakubwa No. 1 included as barabara ndio namna yake pendwa zaidi ya kusafiri zimekua zikiangaliwa sana, tofauti na ile ya Dom - Mtera ni kama ilitelekezwa despite umuhimu wake (kiunganshi cha so called Great North Corridor - Cape Town - Cairo)Ongeza Shinyanga - Lamadi via Maswa / Bariadi
Basi magari mengi ya japan ni turbo na super charged tu.Yaris ni supercharged 1.6L chombo ina piston 3 tu! Ila ni balaa...Hii engine sio Natural Aspirated!
Nimetokea kuichukia morogoro road.Kanuni yako umesema u neva go beyond 130Kph, umbali tunaousema hapa ni almost 200Kms wachilia mbali condition ya barabara (mabonde mabonde) yale, kuna vimji ya hapa na pale Maili 1, Picha ya Ndege, Kongowe, Mkuza, Mlandizi, Chalinze ndio unapumzikia kwenye 80 huko mbele kina Mdaula sijui Msoga n.k unapita na 100 fresh tu kupozea kwenye matuta tu lakini bado less than 2 Hrs ni almost impossible. Mchawi ni condition ya barabara. Kutoka Moro - Dom ama Iringa kwa umbali huo huo ni stori nyingine kabisa
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu zenye V form factor ni naturally Aspirated tu! Hizo za inline baadhi ndio zina turbo na ndio zina room ya kuwa modded!Basi magari mengi ya japan ni turbo na super charged tu.
Natural aspirated makampuni mengi wameshaanza kuachana nazo.
Sipende overtaking ya hapa na hapa.Aaah yale noma sana aisee, kutembea kwenye zone yako tu noma bado malori nayo yametunguliwa huko af yanakupiga taa kutoka nje ni kama unajipiga mtama kitu kama gema yani, overtaking ya kuchomolea hapa kwa hapa huwezi lazima ujipe nafasi kubwa upande 'tuta' moja moja kuhama lane ufanye overtaking kisha urudi kwa kuyapanda tena matuta daah, panachosha mnooo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Labda uwe barabara nyoofu sana. Kukata Semi 3 tu ni ishu! Lazma gari ikukuteSipende overtaking ya hapa na hapa.
Infact siziwezi kabisa.
Niki-overtake lazima nikuanzie mbali, hata kama gari ni 10 nazipiga zote.
Ila hii ya kuchomoa hapa na hapa siiwezi.
This mostly favors mtokeao maeneo close to Bagamoyo Road (Goba, Kawe, Mbezi Beach, Ununio, Tegeta, Mbweni n.k) Atokeae Tabata, Kitunda, Kinyerezi, Chang'ombe n.k akishapenya na Kifuru Malamba Mawili akatokea Mbezi heri akomae tu na Morogoro Rd aitafute Chalinze kwa mbinde kuliko mzunguko wa kuitafuta Bagamoyo Rd na foleni zake hadi afike Msata hoiiiiNimetokea kuichukia morogoro road.
Bora nikazungukie bagamoyo nikatishe msoga.
Ila kipande cha chalinze-mbezi mwisho sikipendi kufa.
Kuna muda unalazimika kupangua mmoja mmoja huku unaendelea kupunguza umbali maana hapo pa kuwapangua 5 na zaidi kwa pamoja itabidi usubiri umbali mrefu sana at timesSipende overtaking ya hapa na hapa.
Infact siziwezi kabisa.
Niki-overtake lazima nikuanzie mbali, hata kama gari ni 10 nazipiga zote.
Ila hii ya kuchomoa hapa na hapa siiwezi.
Hivi mnapataga muda wa kusalimianaga na kuulizana kuhusu magari yenu?kuna siku natoka mbeya naenda Arusha kupitia dodoma nipo na RX300 ubaoni inasoma 220kph, naanza kuiacha makambako akaja jamaa na crown na fujo za kutosha akijua hii harrier... nilichaomfanyia alinikuta mafinga pale ikabidi na yeye asimame anipe hi na kuuliza mawili matatu kuhusu hii machine maana alielewa show... kama una roho nyepesi hata uwe v8 nakubuluza tu maana sehemu ilinyooka kupiga 180+kph kwangu ni jambo la kawaida....
Juzi wakati narudi dar kuna sehemu karibu na segera baada ya kupita korogwe.Labda uwe barabara nyoofu sana. Kukata Semi 3 tu ni ishu! Lazma gari ikukute
Hii ni kawaida, kama ni route ya Dar - Moro - Iringa - Makambako, refueling stations na kuchimba dawa iwapo upo na familia zaweza kuwa points mnazowezakutana na kusemeshana. Kwa ruti hiyo Morogoro Total pale Msamvu, Total Mikumi ama Iringa pale Ipogolo weng huweka kituo briefly kabla ya kulisongesha. So kama mliburuzana sana huko nyuma si haba kusema 'hello' ha ha ha na salute ya heshima if need be kama umenyooshwa 😀 😀Hivi mnapataga muda wa kusalimianaga na kuulizana kuhusu magari yenu?
Kina kera sana kina foleni sana kile kipande. Unakuja pumua ukiiacha chalinze.Nimetokea kuichukia morogoro road.
Bora nikazungukie bagamoyo nikatishe msoga.
Ila kipande cha chalinze-mbezi mwisho sikipendi kufa.