Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Malori ni mafala mno, kuna siku kidogo waniue nimetoka peleka posa, narudi wakanipiga zile taa zao za juu macho yakagoma ona, kilichosaidia nilikua naijua barabara, ni pale segera kwenye zile lami nzuri

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Jamaa wanahisi barabara ni yao peke yao.
 
Jana usiku kabla ya Kabuku kuna mwenye lori ilikuwa atuue. Ingekuwa nimewahi sekunde tano tu leo nisingekuwa hapa naandika haya.
Ilikuwa kwenye kona na kwasababu giza lilishaingia nilikuwa mwendo fulani mdogo around 80kph nikaipita bodaboda inatembea pembeni.
Mbele kidogo naibuka kwenye kona naona Mita kadhaa mbele malori mawili yanaligi yananijia moja imejaa kwangu ilikuwa head-on collision! Nikawahi kufunga breki kali Lori linakuja tu nikaitoa gari pembeni ya barabara natizama bonde. Mwenye lori alikuja hadi Mita kama mbili tu akamlazimisha mwenzie akamchomekea kunikwepa mimi.
Wakati nahangaika hivi bodaboda nyuma yangu hajui nini kinaendelea akaniovateki akakutana na lori ikabidi yeye na abiria wake waingie kwenye bonde! Lori likaendelea na safari. Bodaboda waliinuka ila waliumia maana niliona wanachechemea huku wakijishika viuno! Mungu mkubwa.

Kiukweli mimi ningeshindwa kuvumilia huu upumbavu, ningepiga U-TURN na kumfatilia hiyo roli tukifika kwenye 50 namu overtake alafu nampiga pini... Alafu atajua kama hajui.

Na the rest itakua history [emoji111]🏼️.
 
Jana usiku kabla ya Kabuku kuna mwenye lori ilikuwa atuue. Ingekuwa nimewahi sekunde tano tu leo nisingekuwa hapa naandika haya.
Ilikuwa kwenye kona na kwasababu giza lilishaingia nilikuwa mwendo fulani mdogo around 80kph nikaipita bodaboda inatembea pembeni.
Mbele kidogo naibuka kwenye kona naona Mita kadhaa mbele malori mawili yanaligi yananijia moja imejaa kwangu ilikuwa head-on collision! Nikawahi kufunga breki kali Lori linakuja tu nikaitoa gari pembeni ya barabara natizama bonde. Mwenye lori alikuja hadi Mita kama mbili tu akamlazimisha mwenzie akamchomekea kunikwepa mimi.
Wakati nahangaika hivi bodaboda nyuma yangu hajui nini kinaendelea akaniovateki akakutana na lori ikabidi yeye na abiria wake waingie kwenye bonde! Lori likaendelea na safari. Bodaboda waliinuka ila waliumia maana niliona wanachechemea huku wakijishika viuno! Mungu mkubwa.

Pole sana big man.
 
Hapana bosi wangu,
Ist haliwezi kukimbia kama prado.
Prado lina kila advantage, lakini kama dereva wa prado yuko slow kwenye kufanya maamuzi kama kuovertake na pia ni muoga kuvuka 120 basi hapo hilo prado litakua linakimbia kama ist
Ha ha ha IST huwa mnavurugu sana! Hamuogopi mtu hata awe na V8 mnamjaribu.
 
Kuna mdau alipost watu wakabisha.
Ila leo nimejihakikishia kwa baadhi ya barabara zetu za tz na madereva pia.
Prado linaweza kimbia kama ist.
Nilipata safari ya ghafla nikajikuta ndani ya babywalker, baada ya kuchakata rough ya picha ya ndege nikajikuta nyuma ya prado.
Aisee huyu mjamaa nimefika naye moro.
Namshukuru dereva wa prado kwa kuwahi kunifikisha, nashukuru pia mwenye hii ist hayupo jf maana angeniua
Alafu hawa mapolisi wa mlandizi wanashida gani, saa mbili wanasimamisha kukagua insurance???
Kama Prado ameamua kwenda na 100kph ni kweli ukiwa na IST mnaweza kufika sawa.
 
Hasa hasa hawa wanaoendesha haya malori ya kokoto, daah wale jamaa wana fujo hatariiii

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app

Hao wa kokoto ni bangi kabisaa, kuna moja imegonda bajaj na bajaji ikagonga gari.... Ni pale kwenye roundabout ya kuingia kona ya kwrnda kijichi, jamaa wa lori sijui alikua anawahi wapi kwa ile speed ukizingatia kile kimteremko na sharp kona ya pale.

Semauhuni baada ya tukio akatokomea kusikojulikana. Hadi trafic anafika pale ajali ishasababisha follen yaaana.
 
Jana usiku kabla ya Kabuku kuna mwenye lori ilikuwa atuue. Ingekuwa nimewahi sekunde tano tu leo nisingekuwa hapa naandika haya.
Ilikuwa kwenye kona na kwasababu giza lilishaingia nilikuwa mwendo fulani mdogo around 80kph nikaipita bodaboda inatembea pembeni.
Mbele kidogo naibuka kwenye kona naona Mita kadhaa mbele malori mawili yanaligi yananijia moja imejaa kwangu ilikuwa head-on collision! Nikawahi kufunga breki kali Lori linakuja tu nikaitoa gari pembeni ya barabara natizama bonde. Mwenye lori alikuja hadi Mita kama mbili tu akamlazimisha mwenzie akamchomekea kunikwepa mimi.
Wakati nahangaika hivi bodaboda nyuma yangu hajui nini kinaendelea akaniovateki akakutana na lori ikabidi yeye na abiria wake waingie kwenye bonde! Lori likaendelea na safari. Bodaboda waliinuka ila waliumia maana niliona wanachechemea huku wakijishika viuno! Mungu mkubwa.
Pole Mkuu, Ndo maana huwa nasema matuta na tochi kwa Tanzania muhimu sana lasivyo wengi tutaangamia.
 
Back
Top Bottom