Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wanahisi barabara ni yao peke yao.Malori ni mafala mno, kuna siku kidogo waniue nimetoka peleka posa, narudi wakanipiga zile taa zao za juu macho yakagoma ona, kilichosaidia nilikua naijua barabara, ni pale segera kwenye zile lami nzuri
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Jana usiku kabla ya Kabuku kuna mwenye lori ilikuwa atuue. Ingekuwa nimewahi sekunde tano tu leo nisingekuwa hapa naandika haya.
Ilikuwa kwenye kona na kwasababu giza lilishaingia nilikuwa mwendo fulani mdogo around 80kph nikaipita bodaboda inatembea pembeni.
Mbele kidogo naibuka kwenye kona naona Mita kadhaa mbele malori mawili yanaligi yananijia moja imejaa kwangu ilikuwa head-on collision! Nikawahi kufunga breki kali Lori linakuja tu nikaitoa gari pembeni ya barabara natizama bonde. Mwenye lori alikuja hadi Mita kama mbili tu akamlazimisha mwenzie akamchomekea kunikwepa mimi.
Wakati nahangaika hivi bodaboda nyuma yangu hajui nini kinaendelea akaniovateki akakutana na lori ikabidi yeye na abiria wake waingie kwenye bonde! Lori likaendelea na safari. Bodaboda waliinuka ila waliumia maana niliona wanachechemea huku wakijishika viuno! Mungu mkubwa.
Jana usiku kabla ya Kabuku kuna mwenye lori ilikuwa atuue. Ingekuwa nimewahi sekunde tano tu leo nisingekuwa hapa naandika haya.
Ilikuwa kwenye kona na kwasababu giza lilishaingia nilikuwa mwendo fulani mdogo around 80kph nikaipita bodaboda inatembea pembeni.
Mbele kidogo naibuka kwenye kona naona Mita kadhaa mbele malori mawili yanaligi yananijia moja imejaa kwangu ilikuwa head-on collision! Nikawahi kufunga breki kali Lori linakuja tu nikaitoa gari pembeni ya barabara natizama bonde. Mwenye lori alikuja hadi Mita kama mbili tu akamlazimisha mwenzie akamchomekea kunikwepa mimi.
Wakati nahangaika hivi bodaboda nyuma yangu hajui nini kinaendelea akaniovateki akakutana na lori ikabidi yeye na abiria wake waingie kwenye bonde! Lori likaendelea na safari. Bodaboda waliinuka ila waliumia maana niliona wanachechemea huku wakijishika viuno! Mungu mkubwa.
Sometimes nashukuru similiki bastola.Kiukweli mimi ningeshindwa kuvumilia huu upumbavu, ningepiga U-TURN na kumfatilia hiyo roli tukifika kwenye 50 namu overtake alafu nampiga pini... Alafu atajua kama hajui.
Na the rest itakua history [emoji111]🏼️.
Hasa hasa hawa wanaoendesha haya malori ya kokoto, daah wale jamaa wana fujo hatariiiiPole sana RR... Madereva wa malori uwa wako roughly mno, sijui uwa wanajionaje
Ukiwa na gari ndogo ukapiga uso kwa uso na Lori au bus...kutoka salama si rahisi.Dah jana kuna ajali mbaya imetokea Bariadi huko watu wawili wamefariki HAPOHAPO kwenye gari dogo, Mark X imepiga head collision na bus mchana kweupe. RIP
Siti zile za nyuma hasa upande wa dereva kwa Mark X au Crown zipo more secureUkiwa na gari ndogo ukapiga uso kwa uso na Lori au bus...kutoka salama si rahisi.
Mkuu Crown iliopiga mzinga Dodoma recently watu wanne walikufa hapo hapo. Alipona mmoja abiria alikaa mbele.Siti zile za nyuma hasa upande wa dereva kwa Mark X au Crown zipo more secure
Ha ha ha IST huwa mnavurugu sana! Hamuogopi mtu hata awe na V8 mnamjaribu.Hapana bosi wangu,
Ist haliwezi kukimbia kama prado.
Prado lina kila advantage, lakini kama dereva wa prado yuko slow kwenye kufanya maamuzi kama kuovertake na pia ni muoga kuvuka 120 basi hapo hilo prado litakua linakimbia kama ist
Kuilinda Toyota nayo ni shida ingine!View attachment 1709409
Hizi external parts za side mirror za magari hasa TOYOTA zinaibwa sana kwa kasi,tuweni makin kwenye parking
Kama Prado ameamua kwenda na 100kph ni kweli ukiwa na IST mnaweza kufika sawa.Kuna mdau alipost watu wakabisha.
Ila leo nimejihakikishia kwa baadhi ya barabara zetu za tz na madereva pia.
Prado linaweza kimbia kama ist.
Nilipata safari ya ghafla nikajikuta ndani ya babywalker, baada ya kuchakata rough ya picha ya ndege nikajikuta nyuma ya prado.
Aisee huyu mjamaa nimefika naye moro.
Namshukuru dereva wa prado kwa kuwahi kunifikisha, nashukuru pia mwenye hii ist hayupo jf maana angeniua
Alafu hawa mapolisi wa mlandizi wanashida gani, saa mbili wanasimamisha kukagua insurance???
Hasa hasa hawa wanaoendesha haya malori ya kokoto, daah wale jamaa wana fujo hatariiii
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kuilinda Toyota nayo ni shida ingine!
Atakubutua akuache hapo.Kiukweli mimi ningeshindwa kuvumilia huu upumbavu, ningepiga U-TURN na kumfatilia hiyo roli tukifika kwenye 50 namu overtake alafu nampiga pini... Alafu atajua kama hajui.
Na the rest itakua history [emoji111][emoji2533]️.
Pole Mkuu, Ndo maana huwa nasema matuta na tochi kwa Tanzania muhimu sana lasivyo wengi tutaangamia.Jana usiku kabla ya Kabuku kuna mwenye lori ilikuwa atuue. Ingekuwa nimewahi sekunde tano tu leo nisingekuwa hapa naandika haya.
Ilikuwa kwenye kona na kwasababu giza lilishaingia nilikuwa mwendo fulani mdogo around 80kph nikaipita bodaboda inatembea pembeni.
Mbele kidogo naibuka kwenye kona naona Mita kadhaa mbele malori mawili yanaligi yananijia moja imejaa kwangu ilikuwa head-on collision! Nikawahi kufunga breki kali Lori linakuja tu nikaitoa gari pembeni ya barabara natizama bonde. Mwenye lori alikuja hadi Mita kama mbili tu akamlazimisha mwenzie akamchomekea kunikwepa mimi.
Wakati nahangaika hivi bodaboda nyuma yangu hajui nini kinaendelea akaniovateki akakutana na lori ikabidi yeye na abiria wake waingie kwenye bonde! Lori likaendelea na safari. Bodaboda waliinuka ila waliumia maana niliona wanachechemea huku wakijishika viuno! Mungu mkubwa.