Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kari bu kinywaji MkuuEneo ambalo nime delay ni Mgagao
Leo ilikuwa mnada wa mifugo
zile punda za kubeba mizigo
zilikuwa zimezagaa barabarani
Prado mchaga MkuuIli upate average ya 150kph, I mean avarage, inabidi uende over 180kph most of the way. Ulikuwa na gari gani?
526 kmMkuu acha utani 4.5hrs Dar to Arusha? 600km ina maana ulikuwa unaenda wastani wa 150kph!
[emoji3][emoji3]Acha tu.
Salama salimini
nimetoka alfajiri ya saa 11
saa 3 na nusu asubuhi nimeshafika..
nipo chimbo naomboleza..View attachment 1735210Hapo ulikua na mashine gani rod?
Miss you too....tumezika so tunaweza kuanza kurudi kwenye majukumu ya kawaida.
Ehe! Namna gani vipi mkuu
Hatari tupu, kama siku tatu zimepita hilo tukio chatoEhe! Namna gani vipi mkuu
Ayayaya nimeipita barabara ile.. ndipo nilipoweka average ile ya 134kmph. Nilikuwa naitafuta Runzewe nadhani. Yani unakaa 180 mpaka inaanza kufeel like 100, unatamani utoe limiter mshale uzunguke. One of the best roads to drive fast.Hatari tupu, kama siku tatu zimepita hilo tukio chato
Ile barabara walijenga.. aisee. Hawa ni mwendo kasi na utoto mwingiAyayaya nimeipita barabara ile.. ndipo nilipoweka average ile ya 134kmph. Nilikuwa naitafuta Runzewe nadhani. Yani unakaa 180 mpaka inaanza kufeel like 100, unatamani utoe limiter mshale uzunguke. One of the best roads to drive fast.
Alipatwa na nini huyo?
Chuma haizoeleki. Naona wamejifunza the hard way.Ile barabara walijenga.. aisee. Hawa ni mwendo kasi na utoto mwingi
Gari iliacha road, ikaingia mtaroniHead to head collision au alipinduka?