Old model zipo vizuri,Noah aina gani yenye uwezo wa kwenda Arusha na kurudi Mkuu? New model au old model?
Aaah kwa nini sikuiona hii mapemaIla Lushoto kuzuri sana aise ile mandhari mixer hali ya hewa daah! Hivi ile trip ya Chunya unaipiga lini?
hhahaha wewe umeogopa ile ya kwenda Ar hiyo ndo utaweza?Nitakuandalia ingine...nashindwa kuweka mapichapicha coz tulikuwa ka group wengine wamo humu.
Trip yetu ya Pasaka imeisha salama. Leo tunaanza kuchapa kazi.
Ooh haina neno. Ukienda usitusahau tu kwa mapichapicha.Hii bado sijapanga.
Hahaha yaani mimi sijui nikoje. Kila siku iitwapo leo huwa nina hamu ya kusafiri.Aaah kwa nini sikuiona hii mapema
Juzi nilikosa cha kufanya nikataman kusafiri nikaishia kufika handeni na kurudi
aisee tumefanana kabisaHahaha yaani mimi sijui nikoje. Kila siku iitwapo leo huwa nina hamu ya kusafiri.
Hivyo nikisema niziendekeze hamu zangu za kusafiri itanibidi nifanye kazi/biashara ambayo itanilazimu kusafiri kila siku. Sijawahi kuchoshwa na safari and infact nikikaa mkoa mmoja zaidi ya wiki bila kubadili mazingira huwa najihisi kuumwaumwa tu bila sababu yaani.
Nina trip ya Mwanza/Bukoba Jmosi twenzetuHahaha yaani mimi sijui nikoje. Kila siku iitwapo leo huwa nina hamu ya kusafiri.
Hivyo nikisema niziendekeze hamu zangu za kusafiri itanibidi nifanye kazi/biashara ambayo itanilazimu kusafiri kila siku. Sijawahi kuchoshwa na safari and infact nikikaa mkoa mmoja zaidi ya wiki bila kubadili mazingira huwa najihisi kuumwaumwa tu bila sababu yaani.
Nimeingia mjini Dar saa nne asubuhi na li prado mchagaTrip yetu ya Pasaka imeisha salama. Leo tunaanza kuchapa kazi.
Asante MkuuHa ha ha karibu mjini
Asante ma'am ngoja makamu wako nichape kazi
Geneva Of AfricaHotuba ya mama ilivyokuwa tamu, basi road trip imekuwa ni kutembea tu jioni taratibu kwa miguu nikifurahia hali ya hewa ya Arusha..[emoji39]View attachment 1745184
Hotuba ya mama ilivyokuwa tamu, basi road trip imekuwa ni kutembea tu jioni taratibu kwa miguu nikifurahia hali ya hewa ya Arusha..[emoji39]View attachment 1745184
Yeah kuna sehemu nyingi nzuri sana za kulia bata. I think kwa nchi nzima rock city ndiyo jiji linalofuatia kwa uzuri na uchangamfu baada ya salidalama.mwanza napenda bata lake , kila baada wiki 2 huwa nakuwa hapo, pale naanziaga the Cask natwanga samaki mmoja heavy..