Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hizi mashine na 2/3/4GR wamezikatili sana...dakika moja tu umemaliza huna cha kufanya!
 
🤣🤣🤣 eti mwaisa..basta..
 
Mzee ulikua unauliziwa mpaka lengo la uzi likataka kubadilika.. Watu wanakukubali sana

Hadi kuna jamaa akasema watu wapeleke mapenzi Chit Chat.. Ha ha ha h

Mzee ulikua unauliziwa mpaka lengo la uzi likataka kubadilika.. Watu wanakukubali sana

Hadi kuna jamaa akasema watu wapeleke mapenzi Chit Chat.. Ha ha ha ha
Mkuu JF tunaishi kama ndugu na kwa upendo ndio maana unaona mtu akipotea ndugu zake wanaulizia kujua usalama wake. Kusema ukweli nimefarijika sana sana kuona upendo walioonesha kwangu. Ingawa hatufahamiani physically kuna connection we can't deny.
 
Mkuu JF tunaishi kama ndugu na kwa upendo ndio maana unaona mtu akipotea ndugu zake wanaulizia kujua usalama wake. Kusema ukweli nimefarijika sana sana kuona upendo walioonesha kwangu. Ingawa hatufahamiani physically kuna connection we can't deny.

Sure, ni kweli aisee.. Big up Bro.. Inabidi na sisi vijana tuige formula zako.

By the way trip ziendelee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…