Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kweli kabisa. Ishawahi tokea kwenye barabara ya vumbi, rear end iligeuka aisee. Bahati nzuri tulikuwa na dereva mzoefu, ambaye alifanya hivyo ulivyosema. Kilikuwa kitendo cha kama dakika 1 hivi. Tukatoka salama.
 
Kweli kabisa. Ishawahi tokea kwenye barabara ya vumbi, rear end iligeuka aisee. Bahati nzuri tulikuwa na dereva mzoefu, ambaye alifanya hivyo ulivyosema. Kilikuwa kitendo cha kama dakika 1 hivi. Tukatoka salama.
Hatari sana.
 
Hapo kwenye kuendesha usafiri private sipendagi mafuta akanyage mwingne na mie nimo ndan, lazima nishuke tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…