Umeona eh! Sijui kwanini watu huwa wanaichukulia poa mikoa ya nyanda za juu kusini!Sijaona anayetaka kupiga trip ya Mbeya,Songwe.
Hakuna anayevutiwa kutembea huko.?
Mwenyeji wenu nipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ambavyo wewe unaona vizuri bila miwani vivyohivyo na sisi tunaona vizuri mubashara tukivaa miwani.
Kama ambavyo wewe ukivaa miwani unaona nyota,na sisi tusipovaa tunaona nyota kama zote..hata kuona sura ya mtu halisi hatuwezi.
Nilipokuwa shule,kuna kipindi mapindi yalikuwa yananipita sielewi chochote na nipo darasani,tena siti ya mbele..kisa nimeweka mgomo kuchongesha miwani.
Hakuna nyota sikuiona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mkuu hata mimi nikivaa miwani hivyo ndivyo huwa ninaona! Mzee wangu naye ana tatizo kama langu la kutokuona mbali na anavaa miwani basi huwa naishia tu kujaribisha miwani zake siku moja moja ila sitaki kuchonga zangu sababu eti naogopa kujizoesha kuvaa miwani!
Waelewe hili
Mimi napenda tu miwani za urembo ila nikivaa huwa kama zinanitekenya pua! Hapo ndipo ninapoonaga shida naishia kupandisha juu navalia kichwani!Duuuh polen sana cc, vipi miwan ile mikanda yake haiumiz kweny masikio, mda mrefu?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Daah hapo kwenye V6 au V8 power hapo acha kabisa! Hamna mlio wa gari ninaouhusudu kama unaotoka kwa hizo engines!Duh mkuu kuna gari dereva anainjoi zaidi ya abiria. Pia driving ni hobby, kwenye road trip starehe yangu ya kwanza ni kuendesha,kusikia v6 au v8 power roars ni raha sana....nikizeeka nitamwachia dereva [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi siyakubali,Ila mie gari hii sijawahi kuikubali kiukweli,
Oohh sawa sawa mkuuKuna optician aliwahi niambia ukiwa na tatizo na usipolifanyia kazi unazidi kufanya tatizo linakuwa kubwa na linaweza athiri hata vitu vingine.
Sawa na gari, ikifa sensor moja na usipotibu tatizo, matatizo mengine yatazidi kujitokeza.
In the mean time, kavae miwani kwanza huku unajipanga kwa option nyingine nzuri zaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ha ha ha ha kuna dada aliniuliza mlango wako mbovu?! Nikamwambia sukuma tu mlango wa mkoloni mzito kidogo!
Nikija huko nitatafuta mwenyeji wa kunitembeza jijini,bila hivyo nitapotea mchana kweupe.Dah mara moja moja si unakuja Dar kufuata mizigo ya zile biashara zetu???
Unaweza ukatoka siku huko chimbo lako ukakuta magari yanapaa juu mkuu
Hata mimi nilikuwa mgumu sana kuchongesha miwani,,ila niliitafuta mwenyewe.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimepitia uzi mzima,hakuna aliyepiga trip ya Mbeya,,Umeona eh! Sijui kwanini watu huwa wanaichukulia poa mikoa ya nyanda za juu kusini!
Duuh hadi nakuonea wivu! Sipendi kukaa mkoa mmoja kwa muda mrefu aisee!Paka sasa hivi kwa haraka haraka tokaea January ni zaidi ya 12,000km, kwababu ndani ya mwezi mmoja huwa natembea kati ya 2000km -5000km. Na kuna wakati trip moja tu huwa ninaenda zaidi ya +2000km non stop. Mfano kwa mwezi huu peke yake nimetembea 3,500km .. na leo usiku nakiamsha from Dsm to Tabora then mwanza..
[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nje ya mada
Kuna uzi fulani ulianzishwa unauliza eti kwanini popo huwa ananing'ing'inia kichwa chini miguu juu huwa anaonaje vile! Kuna mmoja akajibu eti kama ambavyo wewe unamshangaa anaonaje akiwa kichwa chini miguu juu ndivyo na yeye anakushangaa unaonaje ukiwa hivyo aise nilicheka sasa ulivyomuambia hivyo ndiyo nikakumbuka hii comment!
Hahaha nikakumbuka ile comment yako iko juu kule sijui namba ngapi! Eti "unakutana na Porte namba E jamaa kapiga miwani meusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush hapo wenye namba D kushuka chini wote anawaona washamba tu" aisee nilicheka sana maana nilijikuta kichwani natengeneza picha ya aina ya huyo jamaa uliyemuelezea halafu yuko ndani ya Porte daah!Mtu yupo radhi anunue gari bovu mfano rav 4 na mba D kwa bei fulani, na akaacha kununu rav 4 hiyo hiyo namba B lakini nzima kwa bei ile ile..
Hii ndiyo Tz..[emoji119][emoji119]
Kuna siku mida ya saa 9 nlilipaki nyuma ya tanker la mafuta pale Kibaigwa nikajilaza nipunguze usingizi.Hatari sana, Usiku hamuoti barabara kweli????
Aise lini hiyo mkuuDuh Mkuu sijaona ukichangia lkn nakushukuru kwa kupiga LIKE nimeshangaa zimeingia mfululizo nikafikiri virus, kumbe umetwanga
ukipenda usafiri upo lkn ni wa Lorry zipo safari za kupeleka chakula kambi za wakimbizi UNHCR
tunaanzia Dodoma Singida Nzega Kahama mpaka Nyakanazi huko tukishusha chakula tunarudi tupi
ngoja ikikaribia safari nakushtua km upo interest
Mwezi wa nne nimeuza sura sana huku mpaka wakanitishia maisha 😂 😂Umeona eh! Sijui kwanini watu huwa wanaichukulia poa mikoa ya nyanda za juu kusini!
hakika ubungo sio ubungo ile, kibaha sio kibaha ile tena.Nikija huko nitatafuta mwenyeji wa kunitembeza jijini,bila hivyo nitapotea mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tulikuja Mbeya kimya kimya, tukabahatika mpaka kwenda na kataviNimepitia uzi mzima,hakuna aliyepiga trip ya Mbeya,,
Halafu sijaona aliyeanzia trip Yake Mbeya,,ina maana Mbeya wote hatuna magari mwee[emoji38].
Sent using Jamii Forums mobile app