Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kama ambavyo wewe unaona vizuri bila miwani vivyohivyo na sisi tunaona vizuri mubashara tukivaa miwani.
Kama ambavyo wewe ukivaa miwani unaona nyota,na sisi tusipovaa tunaona nyota kama zote..hata kuona sura ya mtu halisi hatuwezi.
Nilipokuwa shule,kuna kipindi mapindi yalikuwa yananipita sielewi chochote na nipo darasani,tena siti ya mbele..kisa nimeweka mgomo kuchongesha miwani.
Hakuna nyota sikuiona.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nje ya mada

Kuna uzi fulani ulianzishwa unauliza eti kwanini popo huwa ananing'ing'inia kichwa chini miguu juu huwa anaonaje vile! Kuna mmoja akajibu eti kama ambavyo wewe unamshangaa anaonaje akiwa kichwa chini miguu juu ndivyo na yeye anakushangaa unaonaje ukiwa hivyo aise nilicheka sasa ulivyomuambia hivyo ndiyo nikakumbuka hii comment!
 
images

Waelewe hili
Sure mkuu hata mimi nikivaa miwani hivyo ndivyo huwa ninaona! Mzee wangu naye ana tatizo kama langu la kutokuona mbali na anavaa miwani basi huwa naishia tu kujaribisha miwani zake siku moja moja ila sitaki kuchonga zangu sababu eti naogopa kujizoesha kuvaa miwani!
 
Duh mkuu kuna gari dereva anainjoi zaidi ya abiria. Pia driving ni hobby, kwenye road trip starehe yangu ya kwanza ni kuendesha,kusikia v6 au v8 power roars ni raha sana....nikizeeka nitamwachia dereva [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah hapo kwenye V6 au V8 power hapo acha kabisa! Hamna mlio wa gari ninaouhusudu kama unaotoka kwa hizo engines!
 
Kuna optician aliwahi niambia ukiwa na tatizo na usipolifanyia kazi unazidi kufanya tatizo linakuwa kubwa na linaweza athiri hata vitu vingine.

Sawa na gari, ikifa sensor moja na usipotibu tatizo, matatizo mengine yatazidi kujitokeza.

In the mean time, kavae miwani kwanza huku unajipanga kwa option nyingine nzuri zaidi.
Oohh sawa sawa mkuu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hata mimi nilikuwa mgumu sana kuchongesha miwani,,ila niliitafuta mwenyewe.

"Unaingia darasani Mwalimu anatiririka tu ubaoni,unasikia tu"hii inakuja hivi"hapo wenzio wanatikisa vichwa kuitikia,wewe unabana macho ili uone na kuona huwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paka sasa hivi kwa haraka haraka tokaea January ni zaidi ya 12,000km, kwababu ndani ya mwezi mmoja huwa natembea kati ya 2000km -5000km. Na kuna wakati trip moja tu huwa ninaenda zaidi ya +2000km non stop. Mfano kwa mwezi huu peke yake nimetembea 3,500km .. na leo usiku nakiamsha from Dsm to Tabora then mwanza..
Duuh hadi nakuonea wivu! Sipendi kukaa mkoa mmoja kwa muda mrefu aisee!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nje ya mada

Kuna uzi fulani ulianzishwa unauliza eti kwanini popo huwa ananing'ing'inia kichwa chini miguu juu huwa anaonaje vile! Kuna mmoja akajibu eti kama ambavyo wewe unamshangaa anaonaje akiwa kichwa chini miguu juu ndivyo na yeye anakushangaa unaonaje ukiwa hivyo aise nilicheka sasa ulivyomuambia hivyo ndiyo nikakumbuka hii comment!
[emoji38]

Nje ya mada:
Kuna dada miwani yangu ishamdondosha, alikuwa anaona vitu vinapanda na kushuka .
Amechukua akapigie picha,mimi nilimwambia hawezi kuvaa,akabisha.

Alivyorudi akanishangaa eti naonaje na nawezaje kutembea!
Wakati huo na mimi namshangaa imemdondoshaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu yupo radhi anunue gari bovu mfano rav 4 na mba D kwa bei fulani, na akaacha kununu rav 4 hiyo hiyo namba B lakini nzima kwa bei ile ile..

Hii ndiyo Tz..[emoji119][emoji119]
Hahaha nikakumbuka ile comment yako iko juu kule sijui namba ngapi! Eti "unakutana na Porte namba E jamaa kapiga miwani meusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush hapo wenye namba D kushuka chini wote anawaona washamba tu" aisee nilicheka sana maana nilijikuta kichwani natengeneza picha ya aina ya huyo jamaa uliyemuelezea halafu yuko ndani ya Porte daah!

Bongo sijui kwanini wanahusudu namba mpya! Wakati kuna gari kama LC 70 series namba A ziko vizuri na zinapiga kazi kuliko hata baadhi ya hizi namba D!
 
Hatari sana, Usiku hamuoti barabara kweli????
Kuna siku mida ya saa 9 nlilipaki nyuma ya tanker la mafuta pale Kibaigwa nikajilaza nipunguze usingizi.

Ndoto ikaja niko kibati halafu kuna kuna kicheche cha tanker la mafuta naenda kukivagaa. Kukurupuka usingizini na kufungua macho naona lori lilelile nililoliota liko mbele yangu sasa live. Panic yake mzee, mpaka kuja kugundua nilikuwa naota nimeshateseka sana.

Nikalaza vizuri kiti nikaendelea kulala. [emoji23]
 
Duh Mkuu sijaona ukichangia lkn nakushukuru kwa kupiga LIKE nimeshangaa zimeingia mfululizo nikafikiri virus, kumbe umetwanga
ukipenda usafiri upo lkn ni wa Lorry zipo safari za kupeleka chakula kambi za wakimbizi UNHCR
tunaanzia Dodoma Singida Nzega Kahama mpaka Nyakanazi huko tukishusha chakula tunarudi tupi
ngoja ikikaribia safari nakushtua km upo interest
Aise lini hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom