Sure...Mombasa ni karibu sana. Muda wa lunch anakuwa kashafika.
[emoji4]Kuna siku nilitoka Dodoma saa 2 usiku saa 9 tukaingia Mwanza, moja kwa moja the cask. Na palikuwa pamewaka vibaya mno.
Asante Mzee JBourne59 kwa kuleta picha ya hili chimboPanaitwa "Chalinze" kama sikosei, katikati ya msitu huko Mpanda - Uvinza rd. Kuku choma, Nyama choma bei nafuu sana hapo! Wakimbizi walowezi kibao maeneo hayo.
Nikaliona moja ya basi ya kampuni kongwe Rukwa - Katavi - Tabora - KigomaView attachment 1800195
Hapa matuta, rasta na mashimo lazima yavaliwe na dereva atakua sio mara ya kwanza kupita barabara hiyoDar - Iringa 4.5hrs, distance 490km approx
Iringa - Mbeya 3 to 3.5hrs, distance 334km approx
Muda ni usiku, gari engine ni V6/V8 (gari nyingine hizi zenye engine za kawaida ni 9 to 9.5hrs)
Dar to Mbeya, vituo vya mafuta ni viwili (Mikumi na Makambako)
Min speed 120kph na mwendo huu ni hadi kule Iyovi, Max speed kisahani chote sehemu zinazoruhusu kama Ruaha Mbuyuni, Makambako hadi Iringa, Moro hadi Chalinze, sehemu kama Mikumi unajitoa ufahamu ile 50kph yao ya usiku unafanya kama huijui...
Sehemu speed kidogo inapungua Kitonga wakati wa kupanda approx 70 to 80kph...
Chimala hadi maeneo ya Nsonyanga Mbeya sababu ya barabara ina madimbwi na mashimo...
Mlandizi hadi pale mbele kidogo ya daraja la juu la treni, barabara ina mawimbi hatari...
Hii ilikuwa achieved wakati hapo Picha ya ndege hawajabomoa barabara, Kingolwira/Kingolwira Magereza hawajaanza chimba barabara, Iyovi hawajaanza kupanua barabara...
Nilikula sana kuku wa kienyeji kwa ugali wa muhogo, sijui kwanini hawapaboreshi na kuweka parking kubwa maana ukifika hapo lazima spidi irudi almost sifuri ndio ukatize kama huna uroho wa nyama, otherwise nawe utaweka foleni pembeni.Asante Mzee JBourne59 kwa kuleta picha ya hili chimbo
Mwezi unaoanza wiki kesho, nataka nipeleke ronya za kariakoo huko
Pana fursa sana huko, kisha december nianze utalii wa ndani kwa kutembelea mikoa yote nchini
[emoji120][emoji120]Nipo hapa nizakuzururisha had uchoke mwenyewe.
Mimi huko huwa sitembei bila mwenyeji..ntapotea mchana kweupe .hakika ubungo sio ubungo ile, kibaha sio kibaha ile tena.
Kama ulikaririki makontena na mti wa muarobaini lazima uangukie pua
Oh!Nimeshafanya sana route za huko
Mbeya - Songwe (Tunduma) - Sumbawanga hadi Mpanda
Kutoka Mpanda hadi Tabora
Kutoka Mpanda hadi Kigoma via Uvinza.
Gari inatakiwa iwe vizuri, vinginevyo unaweza kuchelewa kupata msaada ikitikea breakdown.
Mkuu unapotea nyumbani, hatari sana.Mimi huko huwa sitembei bila mwenyeji..ntapotea mchana kweupe .
Halafu mimi ni mbovu wa kukariri njia..hili ni tatizo hadi huku kijijini ninakoishi nilishawahi potea njia ya kurudi home.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ira-Mby Ni 380kmNdio maana Maxi nimeweka hizo 180Mins kwa anayemwaga moto mwanzo mwisho na kufukia matuta ya Tanangozi, Rungemba, Ifunda sijui Nyololo kote huko [emoji23][emoji23]. Kumbuka Ir - Mby ni parefu kidooogo (334Kms) than Moro - Ir (300Kms) only advantage ni Ir - Mby mkeka wake ni mtamu zaidi kuliko Moro - Iringa.
Yalikuwa makazi mapya halafu nilipita njia ambayo sijawahi kupita.Mkuu unapotea nyumbani, hatari sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Mwalimu anachora mambo ubaoni bila kuongea..yaani utasikia tu "enhe hii inakuwaje"??hapo wewe huoni chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikienda nitakutafuta dearaisee tuungane tunaweza tukapeana company
Hahaha nahisi ni vile nimesema huwa napandisha juu navalia kichwani though sidhani kama kuzivaa hivyo ni ubishoo. Binafsi siwezi kutoka bila kofia yaani napenda sana caps mimi shades huwa navaa mara moja moja tu.Duh kwani miwani ni ubishow? Siwezi kutoka bila shades