Umeshamenya ile Audi!!???😀😀😀 Atakuwa anaendesha yeye, na hivi tutakuwa kwenye ka gari kapya.. akiendesha itakuwa salama zaidi maana naujua mguu wangu unawasha.. washa
Kesho mkuu, kufikia jioni usajiri na kila kitu kitakuwa tayari.. na hapo itabidi icheu kwanza trip ndefu non stop 😀😀Umeshamenya ile Audi!!???
Kesho nakuja Mbeya from Dodoma! Jumatatu utakuwepo tuonane?Nipo nyumbani green city .
Anayetaka aje kunichukua jamani..nitashukuru.
Umalize nini tena jamani 180 haitoshi? Angalia airbags hizo hazifanyi kazi.View attachment 1807871
Safari raha usiwe muoga bhana, njia nzuri ukitoka mikoan yaan utoke uipite Moro au uipite Tanga pia hata ukiipita Pwani kama unaenda Mtwara huko unatembea ila area hii ya Dar,Pwani,Tanga na Moro traffic na 50 nyingi sana.
Sijawahi imaliza hii huwa naishia 180 ila iko siku nitakalisha kisahani
Asante brother[emoji120][emoji120]Welcome back Saint Anne.
Akhsante kwa kujali [emoji120].Saint Anne chagua mkoa mmoja ukatulie wiki mzima kabisa baada ya mikumi. dodoma au mwanza, ukapumzike kidogo
Amen [emoji120]Saint Anne pole sana kwa msiba wa baba. Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi. Bwana alitoa, bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe milele. Amina.
Karibu.Kesho nakuja Mbeya from Dodoma! Jumatatu utakuwepo tuonane?
Bado siamini ktk hilo.Njia ya lindi songea kweli ni ndefu, ila haina mambo mengi
Songea masasi 468km ,masasi mingoyo 118 km, mingoyo dar 477km h hizo ni 1063km
Songea iringa 491 km iringa dar 501 km hizo ni 992km
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vyuma vimekaza jaman lolHii kitu inaboa
Au unafuata huduma mtu anakwambia sistaa hii chenchi si ninywe soda [emoji56]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu gari ni matunzo na kuzingati service zenye ubora..
Hii Nissan yangu ina Miaka 7...Gear box ni CVT na Mileage leo inasoma KM 160,200....nakilasiku inatembea km zisizpungua 8 mpaka 10 ze wa rough road.. Tena miliman...
Wazee wa Toyota ni kama wabunge wa ccm...huwezi kuwatenganisha na katiba ya mwaka 1977.. [emoji119][emoji119][emoji85][emoji85]
Nami nimeona hilo la airbags, nikajisemea hiiiiiii!!Umalize nini tena jamani 180 haitoshi? Angalia airbags hizo hazifanyi kazi.
Okay SawaKaribu.
Ngoja niangalie ratiba itakavyokuwa,
Nitakujulisha.
Usije ukawaacha rijikzwaan na majonzi mtaalamuView attachment 1807871
Safari raha usiwe muoga bhana, njia nzuri ukitoka mikoan yaan utoke uipite Moro au uipite Tanga pia hata ukiipita Pwani kama unaenda Mtwara huko unatembea ila area hii ya Dar,Pwani,Tanga na Moro traffic na 50 nyingi sana.
Sijawahi imaliza hii huwa naishia 180 ila iko siku nitakalisha kisahani
@Watu8Wazee wa road trip mtwara na lindi kunani huko?
Natafuta trip mwishoni mwa mwezi, nataka kujua yafuatayo
1. Uzuri wa barabara na changamoto zake
2. Vivutio na sehemu za kupunguza stress
Nilikuwa na tabia ya kufunga mkia kwenye high speed cars na Toyota Avensis Salon, toleo kwa ajili ya nchi za Ulaya, kisahani ni 260 Kph + 10
Muhimu ni kufunga tairi zenye kuhimili speed hiyo, (Masomo ya tyre speed code yapo mengi humu Jf)
Kawaida natembea 100kph, nikipitwa na gari kwa dharau, nami naunga tela, silipiti ila nahakikisha nipo nyuma yake hata afike 180kph.
Akizidisha 180kph ndipo huanza kumtafutia timing ya kumpita shaaa akiwa juu ya 200kph kisha mbele kidogo napunguza mwendo naacha apite halafu narudi na 100kph yangu.
Ligi zingine hata hazifai, hatari sana, nimekuwa mtu mzima sasa, da!
Wazee wa road trip mtwara na lindi kunani huko?
Natafuta trip mwishoni mwa mwezi, nataka kujua yafuatayo
1. Uzuri wa barabara na changamoto zake
2. Vivutio na sehemu za kupunguza stress