Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Un even road surface ndio chanzo kikubwa cha tyre blowout hasa katika speed hizo kubwa
Tanzania hatuna barabara nyingi standard ,nyingi zimeungwa ungwa na zina matuta au rasta ambazo hazina kiwango. mnapo practice hizo speed kali kali at leats wekeni akiba ya hilo.
Uzuri pia ulitumia Tairi za uhakika, wazungu wana kitu kinaitwa fail safe , your blowed tyre just did that , ingekuea tairi ya kichina hapo unagepata na fair amount of damage kwenye gari pia , hazilipukagi kwa format nzuri
 
Panaitwa PPP a.k.a Triple P hatari sana hio Abuja
 

Nilipita pale na mtu asiee anaovertake hapa na hapa
Nilifika Iringa nimeloa jasho

Halafu anakuambia “si ulale “[emoji28]
 

Naona naikosea sana nafsi yangu kufanya kazi ya kukaa sehemu moja siku nzima

Am not happy at all

Sijui ntafikia lini kupiga road trips
 
Unatembelea ringi

Hhahaaa hii ilitukuta kijiji cha mwisho kabla haujaingia mafinga kutokea Makambako halafu usiku

Aisee kile kipande kina baridi acha kabisa
Kwenye baridi huwa nawasha heater kama lote 😀😀😀

Tyre ilichanika kama vitambaa na nipo mwisho wa sahani.. haikuwa na namna zaidi ya kutembelea tu
 
Kwenye baridi huwa nawasha heater kama lote [emoji3][emoji3][emoji3]

Tyre ilichanika kama vitambaa na nipo mwisho wa sahani.. haikuwa na namna zaidi ya kutembelea tu

Ile chombo ilikuwa namba B hata Heater haina [emoji23][emoji23][emoji23]

Hapo tushatumia spare tyre

Uzuri mwendo ulikuwa wa kawaida vinginevyo ingekua story nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…